Line Yangu Ndo Inayofaa...

tuache kushinikiza ndoa ili Mungu mwenyewe atuunganishe. By mimi mwenyewe from observation

hii ni signature ya Miss Judith, hivi ni kweli kuwa Judith hujaolewa? Naomba kufahamu hili
 
mkuu watu hawajui hii ndo mtandao unaoongoza tz na sio voda kama wanavyojali, ile kipindi si ndo ilikuwa inaitwa Mobitel au sio ikaja ikawa Buzzy ni Bomba acha bwana, nilibuzzy vibaya mno ila kwa sasa TIGO natumia kwa raha zangu...haina limit mwezi mzima napiga 24 hour a day, 7days a week, 365 days a year....

sasa kama mtandao hakupi nafasi wala sababu ya kupumzika
basi mtandao huo haufai bana lol
 
tuache kushinikiza ndoa ili Mungu mwenyewe atuunganishe. By mimi mwenyewe from observation

hii ni signature ya Miss Judith, hivi ni kweli kuwa Judith hujaolewa? Naomba kufahamu hili

what is the matter?
 
hivi wewe si ndio nimeona mahali unalalamika kuwa umekula samaki asiye na shombo? sasa haya mambo ya kuchakachua line unadhani shombo litatoka wapi?
Miss Judith you make my day at the end...duh hapa kweli kila swali jibu lake lipo tu...sasa jamani bila shombo kweli kuna samaki hapo Miss Judith?
 
tuache kushinikiza ndoa ili Mungu mwenyewe atuunganishe. By mimi mwenyewe from observation

hii ni signature ya Miss Judith, hivi ni kweli kuwa Judith hujaolewa? Naomba kufahamu hili

Kumbe Thanks yako unataka kurusha tu mshare kwa Judith...ana mme wake huyo nitamwambia wewe jaribu utaona
 
mmh, hata mapolisi saa nyingine wanatabasamu kidogo, ila hii amri yako, basi ngoja nijinyamazie manake mie siwezi kujibu kitu bila kujua kwa nini natakiwa kujibu
hahahahaahahahaha loh, wala sio amri kisura wewe, naomba kujua kama umeolewa au la maana signature yako inanipa matumaini ya kuachana na ukapera mapema mwakani
 
hahahahaahahahaha loh, wala sio amri kisura wewe, naomba kujua kama umeolewa au la maana signature yako inanipa matumaini ya kuachana na ukapera mapema mwakani


Kaolewa au Hajaolewa haikuhusu wewe, mimi ndo mchumba wake na soon next year tunamuona Rev Masanilo atimize dreams zetu....
 
Miss Judith you make my day at the end...duh hapa kweli kila swali jibu lake lipo tu...sasa jamani bila shombo kweli kuna samaki hapo Miss Judith?

ni kweli shombo japo kidogo ni muhimu ila ikishachakachua line zote na shombo nalo usishangae kulisikia kwenye bomba. if you want to enjoy it, remain and practice as natural as possible
 
Kumbe Thanks yako unataka kurusha tu mshare kwa Judith...ana mme wake huyo nitamwambia wewe jaribu utaona
Mbona unamjibia swali bana? Mwache ajibu mwenyewe, husije mzibia au nizibia riziki

mbona wewe mkuu unatumia line ya TIGO? acha hizo jamani....
Mkuu mimi sio mteja wa huu mtandao kabisa,,,mimi nimkereketwa sana wa airtel ambao ni legal kiimani na kisheria
 
ni kweli shombo japo kidogo ni muhimu ila ikishachakachua line zote na shombo nalo usishangae kulisikia kwenye bomba. if you want to enjoy it, remain and practice as natural as possible

Miss Judith jamani maneno yako tu yananipa tumaini la kutaka kuacha kutumia line ya Tigo lakini je, ule mkutano wetu bado upo au tayari wajanja wamepindua?
 
hahahahaahahahaha loh, wala sio amri kisura wewe, naomba kujua kama umeolewa au la maana signature yako inanipa matumaini ya kuachana na ukapera mapema mwakani

haha, kama unataka kuachana na ukapera wewe muombe Mungu atakupa mke mwema maana yeye ni mwaminifu kwa wote wamwaminio. sasa haya ya kujua kama nimeolewa au la sio nzuri bwana tena hadharani namana hii?
 
Mbona unamjibia swali bana? Mwache ajibu mwenyewe, husije mzibia au nizibia riziki

Mkuu mimi sio mteja wa huu mtandao kabisa,,,mimi nimkereketwa sana wa airtel ambao ni legal kiimani na kisheria


Wazee wa One8 au sio, huuuuuuuuuu pole weye, Ulimuona R.kelly kwa ule wimbo put hand sijui nini nini acros the world? Alimwangalia amani kwa jicho la upotevu wa imani, si unamjua mzee wa kukojolea R.Kelly? bola Tigo mzee maana gharama zao nafuu...
 
Kaolewa au Hajaolewa haikuhusu wewe, mimi ndo mchumba wake na soon next year tunamuona Rev Masanilo atimize dreams zetu....
Mmh! wala wewe sio fiancee wake, unajipendekeza tu. Ngoja nikueendee kwa Bi. Kalembwana kule Kilombero nikakushushe busha ndio utakoma
 
Miss Judith jamani maneno yako tu yananipa tumaini la kutaka kuacha kutumia line ya Tigo lakini je, ule mkutano wetu bado upo au tayari wajanja wamepindua?

kwa kweli hiyo line ni haramu na ya kisodoma. napata nightmare na hangover za ajabu nikiona hata zile picha kule kwa wakubwa. tafadhari jamani kaka zetu kwa nini lakini mnakosea shabaha namana hii? we umeomba ttcl unaunganishiwa unawela tigo! kwa kweli jamani hapana. mkutano umevurugwa na mamabo haya ya kuchakachua line za simu, nadhani ninahitai kupumzuka niliombee taifa letu kwa Mungu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom