Leo msela mimi nimepika Wali Nazi na Mboga Nazi

Leo nimepika chakula kitamu mno hasa mboga maana ilikua na viungo vingi nyenye kuleta ladha

MAHITAJI NILIYOTUMIA
Mchele nusu kilo, mafuta ya kula, viazi mviringo viwili, nusu kuku, njegere, tui la nazi, paprika, black pepper, curry powder, soya source, pilipili ya kuwasha ya unga, majani ya coriander nyanya 3, hoho ya kijani na karot

Hoho na karot nimekata vipande vikubwa kidogo na kuku niliwaweka kwenye mafuta kwa dakika 2
View attachment 3145479

Majani ya coriander nilisaha pamoja na nyanya kwenye blender
View attachment 3145480

Viungo nilivyotumia ili kuleta radha nzuri kwenye chakula
View attachment 3145483

Mchele niliuosha kisha nikakausha maji
View attachment 3145484

Wali wa nazi upo tayari kuliwa umekauka vizuri kabisa
View attachment 3145486

Mboga yangu tamu ipo tayari kuliwa ni tamu mno, yenye radha na inanukia
View attachment 3145487

Nacheki movie ya atlas 2024 huku napiga msosi mtamu na wenye radha nzuri
View attachment 3145489View attachment 3145497
Boom limetema
 
Leo nimepika chakula kitamu mno hasa mboga maana ilikua na viungo vingi nyenye kuleta ladha

MAHITAJI NILIYOTUMIA
Mchele nusu kilo, mafuta ya kula, viazi mviringo viwili, nusu kuku, njegere, tui la nazi, paprika, black pepper, curry powder, soya source, pilipili ya kuwasha ya unga, majani ya coriander nyanya 3, hoho ya kijani na karot

Hoho na karot nimekata vipande vikubwa kidogo na kuku niliwaweka kwenye mafuta kwa dakika 2
View attachment 3145479

Majani ya coriander nilisaha pamoja na nyanya kwenye blender
View attachment 3145480

Viungo nilivyotumia ili kuleta radha nzuri kwenye chakula
View attachment 3145483

Mchele niliuosha kisha nikakausha maji
View attachment 3145484

Wali wa nazi upo tayari kuliwa umekauka vizuri kabisa
View attachment 3145486

Mboga yangu tamu ipo tayari kuliwa ni tamu mno, yenye radha na inanukia
View attachment 3145487

Nacheki movie ya atlas 2024 huku napiga msosi mtamu na wenye radha nzuri
View attachment 3145489View attachment 3145497
Naona chuzi limesiliba wali wote...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom