monotheist
JF-Expert Member
- Apr 30, 2017
- 829
- 1,448
Leo nimepika chakula kitamu mno hasa mboga maana ilikua na viungo vingi nyenye kuleta ladha
MAHITAJI NILIYOTUMIA
Mchele nusu kilo, mafuta ya kula, viazi mviringo viwili, nusu kuku, njegere, tui la nazi, paprika, black pepper, curry powder, soya source, pilipili ya kuwasha ya unga, majani ya coriander nyanya 3, hoho ya kijani na karot
Hoho na karot nimekata vipande vikubwa kidogo na kuku niliwaweka kwenye mafuta kwa dakika 2
Majani ya coriander nilisaha pamoja na nyanya kwenye blender
Viungo nilivyotumia ili kuleta radha nzuri kwenye chakula
Mchele niliuosha kisha nikakausha maji
Wali wa nazi upo tayari kuliwa umekauka vizuri kabisa
Mboga yangu tamu ipo tayari kuliwa ni tamu mno, yenye radha na inanukia
Nacheki movie ya atlas 2024 huku napiga msosi mtamu na wenye radha nzuri
MAHITAJI NILIYOTUMIA
Mchele nusu kilo, mafuta ya kula, viazi mviringo viwili, nusu kuku, njegere, tui la nazi, paprika, black pepper, curry powder, soya source, pilipili ya kuwasha ya unga, majani ya coriander nyanya 3, hoho ya kijani na karot
Hoho na karot nimekata vipande vikubwa kidogo na kuku niliwaweka kwenye mafuta kwa dakika 2
Majani ya coriander nilisaha pamoja na nyanya kwenye blender
Viungo nilivyotumia ili kuleta radha nzuri kwenye chakula
Mchele niliuosha kisha nikakausha maji
Wali wa nazi upo tayari kuliwa umekauka vizuri kabisa
Mboga yangu tamu ipo tayari kuliwa ni tamu mno, yenye radha na inanukia
Nacheki movie ya atlas 2024 huku napiga msosi mtamu na wenye radha nzuri