Leo msela mimi nimepika Wali Nazi na Mboga Nazi

monotheist

JF-Expert Member
Apr 30, 2017
829
1,448
Leo nimepika chakula kitamu mno hasa mboga maana ilikua na viungo vingi nyenye kuleta ladha

MAHITAJI NILIYOTUMIA

Mchele nusu kilo, mafuta ya kula, viazi mviringo viwili, nusu kuku, njegere, tui la nazi, paprika, black pepper, curry powder, soya source, pilipili ya kuwasha ya unga, majani ya coriander nyanya 3, hoho ya kijani na karot

Hoho na karot nimekata vipande vikubwa kidogo na kuku niliwaweka kwenye mafuta kwa dakika 2
IMG_20241106_114710.jpg


Majani ya coriander nilisaha pamoja na nyanya kwenye blender
IMG_20241106_114746.jpg

Viungo nilivyotumia ili kuleta radha nzuri kwenye chakula
IMG_20241106_111715.jpg

Mchele niliuosha kisha nikakausha maji
PXL_20241106_111739368.jpg

Wali wa nazi upo tayari kuliwa umekauka vizuri kabisa
PXL_20241106_114942167.jpg

Mboga yangu tamu ipo tayari kuliwa ni tamu mno, yenye radha na inanukia
IMG_20241106_121700.jpg

Nacheki movie ya atlas 2024 huku napiga msosi mtamu na wenye radha nzuri
IMG_20241106_123359.jpg
PXL_20240907_173216409.jpg
 
Leo nimepika chakula kitamu mno hasa mboga maana ilikua na viungo vingi nyenye kuleta ladha

MAHITAJI NILIYOTUMIA
Mchele nusu kilo, mafuta ya kula, viazi mviringo viwili, nusu kuku, njegere, tui la nazi, paprika, black pepper, curry powder, soya source, pilipili ya kuwasha ya unga, majani ya coriander nyanya 3, hoho ya kijani na karot

Hoho na karot nimekata vipande vikubwa kidogo na kuku niliwaweka kwenye mafuta kwa dakika 2
View attachment 3145479

Majani ya coriander nilisaha pamoja na nyanya kwenye blender
View attachment 3145480

Viungo nilivyotumia ili kuleta radha nzuri kwenye chakula
View attachment 3145483

Mchele niliuosha kisha nikakausha maji
View attachment 3145484

Wali wa nazi upo tayari kuliwa umekauka vizuri kabisa
View attachment 3145486

Mboga yangu tamu ipo tayari kuliwa ni tamu mno, yenye radha na inanukia
View attachment 3145487

Nacheki movie ya atlas 2024 huku napiga msosi mtamu na wenye radha nzuri
View attachment 3145489View attachment 3145497
Mkuu hiyo mboga unakula siku ngapi ?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom