Kwenu wanaume wema: Bado mpo na Mungu, awape maisha marefu sana sana!!

Mama Mwana

JF-Expert Member
Jun 6, 2023
2,433
7,775
Naona kuna mtiririko wa mada nyingi za kukataa ndoa, kwanza niseme mimi nimeolewa na mume ambaye sijutii, hakika sijutii kabisa kuolewa naye tulianzaje bas kisa hiki nina imani kitakua na namna flan ya kufundisha hata kutia moyo wale ambao mioyo ilishakufa zamani kuhusiana na ndoa au mahusiano thabiti

Fast forward hiki kisa kinanihusu mm japo kuna vitu sitaexpose sana na 95% kinanihusu mwenyewe.

Ilitokea siku moja nimekwenda mkoa fulani kwa ajili ya likizo, ni mwishoni mwa mwaka 2009, sjui nisemeje lakini sehemu niliokwenda nikakutana na huyu mwanaume ile kumuona tu kwa mara ya kwanza kuna kitu nikahisi hakiko sawa kwenye nafsi yangu na mwili wangu, nilikua natamani kumuona yan nimuone apite tu roho yangu iridhike, niko radhi khjitumisha dukan bila sababu ya msingi ili mradi tu nimuone na ilikua tukionana tu lazima atabasam bas mm mwenzie nakua hoi sijiwez.

Nikajikaza mtoto wakike nisonekane dhaifu tenambele ya stranger,lakini tukionana lazima tupeane eye contact halafu aniachie zawadi ya tabasam lake, bas nahisi hata yeye alikua amenielewa na hapo mwenyewe sio kua nilikua virgin siku mingi ilishakwenda hivi,nilishajua mapenzi n nn yanaumaje japo sio kiviiile lakini hizo exprience tayar nilishakua nazo so hakikua kitu geni then boom moyo unamuangukia mtu hata sjawah kujua ningekuja kukutana naye,bas mimi hapo kumbuka niko likizo ugenini,

Mungu sio athumani akanipa sound unaitwa nani nikamjibu, mimi sitaki kujua yeye anaitwa nani anafanya nn anaishi wapi eneo hilo mana tunaonana tu nyumba yetu ilikua barabarani so watu wengi hupita na movements n nyingi na maduka mengi hupatikana eneo hilo karibu na kwetu, hii siku sitaisahau mimi sina subiri nikufikirie sijui kuchelewesha wakat mtu ninayemwelewa ninaye mbele ya macho yangu.

Nikatabasamu akamwaga vyombo mimi nimetokea kukupenda sana nimeona leo nikuambie tu kilichopo moyoni, mimi meno yote niliyobarikiwa nje nikamkubalia nikaondokanzangu kurud nyumbani, sasa baada ya kurud nyumban ndio akili inarudi mahali pake nikaanza kujiuliza hivi mm n mzima au kitu gani, huyu mtu nimemkubali bila hata kumpa muda wa kumjua kama kaniona mgeni mtaani anitumie tu anibwage?

Sijui anaishi wapi sjui chochote kumhusu nimeanza lini kua mwehu wa kuhangaika na mapenzi? nimesahau kilichotokea nyuma? mimi ni mtu hua napenda kusema na nafsi yangu unaweza sema niko kimya kumbe nina kikao kizito cha kunihusu, bas najiuliza hayo huku majibu hutoka papo kwa papo, mpe muda utamjua, huwez jua watu hawafanani, lakini unakiri moyoni mwako unampenda s unajiona unavyobehave juu yake, kubali unampenda, mengine utayajua taratibuu!!


itaendelea.
 
sehemu ya pili


basi tukafungua ukurasa mpya wa mapenzi, najiona mshindi, baada ya kama siku kadhaa nilitakiwa kuondoka na mama yangu twende moshi kcmc kwa ajili ya check up ya bimkubwa, hapo hatuna muda wa kukaa na kuongea na mchumba mpya,namba ya sim sina wala yangu hana nikawa nawaza naondokaje sjamuaga nikawa namfikiria sana mara huyo namuona anapita nikatoka mbio i dont care nitaonekana wala nn yan sijal nawaza kumuaga baby anipe namba,kesho natakiwa kuondoka, naenda na muda nikamwambia mm kesho naondoka nipe namba yako ya simu tutakua tunawasiliana akagwaya why mbona haraka sana ni kwema nikamwambia kwema n masuala ya check up za bi mkubwa huo mkoa ndipo wazazi wangu walitaka maisha yao yauzeeni wamalizie hapo sisi tulikua tukiishi mkoa mwengine hivo nilikua na uhakika ningekuja tena na tena, tukabadilishana namba akaanza kaka wa watu kutiririka imekua ghafla sana lakini hana namna nikawa namjibu simple sikuyachukulia mambo kwa uzito yan usijal tutaonana japo nilimjibu hivo skua na uhakika wa kurudi lini tena lakini nilimjibu tu asione namkimbia mazima, tukaanza mawasiliano rasmi kila siku kila saa usiku silali kata kata wewe kwa sana mpaka kunakucha matokeo yakatoka mimi shule nikaona sina akili tena nikaongea na mama wanitaftie chuo mkoa ule niloenda likizo nisome nizoee mazingira nikatoa sababu zangu ili mradi tu niondoke swala likafika kwa baba akasema unauhakika nikamwambia ndia nataka chuo baba akafanya nichakato nikaanza chuo rasmi, nyie mapenzi nyie baby wangu huyo enzi hizo ni mission town tu hana kaz nzuri hana kazi mbaya lakini anahakikisha muda ninaotoka chuo anaujua ananisubiri na baiskeli getini tunatembea na mguu mpaka nyumban yeye ndio alinifundisha shortcuts kibao za kurudi kwa rondo,sikuwah kua na uhakika lakini nikiri moyoni mwangu nikitokea tu kumpenda na ikanifaya nisiwe namhoji mengi sana siwazi maisha yataishiaje na yeye mm nilikua nilishaunda ndoa mbele kwenye fika zangu wenyewe na majina ya watoto wetu tukishayatafuta, sasa tulijutahidi kufanya siri watu wasijue,maisha yakaenda ikawa akisikia kuna sehem kuna kaz anakwenda mwenyewe namtia moyo nyumban kulikua na chumba changu nakumbuka siku ameenda kubeba zege anarudi jion ananionesha hela alizopata hapo alifaya michakato ya kwenda jkt ananipa namwambia kaanazo mm baba ananitumia hela nikikwama nitakwambia namhudumia as if nimeolewa yan ile kutoka moyon na naona fahar kuyafanya yote fast forward nilimaliza chuo alikwenda kambini ukiacha na maisha sote tulikua na madhaifu kama wanadam lakini tuliyabeba tukaishi nayo, ilikuja kufikia hatua mambo yakawa hadharani watu wakajua nadate na fulani tena penzi shatashata wachawi wakaanza ni malaya hakufai maneno yakaenea hayoo kwa mzee, akatumwa bi mkubwa aje tena kwa kustukiza lakini haikua bahat hakuwah kutukuta hata mara moja nikachambwa sana sema sanwa gombezwa vya kutosha , mimi nikawa najua nn napata kutoka kwake so skujali, naye akaendelea na mishe za jkt sasa huo ukawa n mwanzo wa mtafarakano baina yetu kua mbali hatukuzoea lakini hatuna namna, akaenda mara apatikane mara hapatikani bas ni ugomvi wivu ni mm nawaza huyu ananifanyia kusudi kishapata mtu huko kanisahau mtoto wa mkwe alikua anashikilia msimamo sina mtu na mambo tu yanabana mara namwabia tuachane siwezi mm tunaachana
 
Naona kuna mtiririko wa mada nyingi za kukataa ndoa, kwanza niseme mimi nimeolewa na mume ambaye sijutii, hakika sijutii kabisa kuolewa naye tulianzaje bas kisa hiki nina imani kitakua na namna flan ya kufundisha hata kutia moyo wale ambao mioyo ilishakufa zamani kuhusiana na ndoa au mahusiano thabiti

Fast forward hiki kisa kinanihusu mm japo kuna vitu sitaexpose sana na 95% kinanihusu mwenyewe.

Ilitokea siku moja nimekwenda mkoa fulani kwa ajili ya likizo, ni mwishoni mwa mwaka 2009, sjui nisemeje lakini sehemu niliokwenda nikakutana na huyu mwanaume ile kumuona tu kwa mara ya kwanza kuna kitu nikahisi hakiko sawa kwenye nafsi yangu na mwili wangu, nilikua natamani kumuona yan nimuone apite tu roho yangu iridhike, niko radhi khjitumisha dukan bila sababu ya msingi ili mradi tu nimuone na ilikua tukionana tu lazima atabasam bas mm mwenzie nakua hoi sijiwez.

Nikajikaza mtoto wakike nisonekane dhaifu tenambele ya stranger,lakini tukionana lazima tupeane eye contact halafu aniachie zawadi ya tabasam lake, bas nahisi hata yeye alikua amenielewa na hapo mwenyewe sio kua nilikua virgin siku mingi ilishakwenda hivi,nilishajua mapenzi n nn yanaumaje japo sio kiviiile lakini hizo exprience tayar nilishakua nazo so hakikua kitu geni then boom moyo unamuangukia mtu hata sjawah kujua ningekuja kukutana naye,bas mimi hapo kumbuka niko likizo ugenini,

Mungu sio athumani akanipa sound unaitwa nani nikamjibu, mimi sitaki kujua yeye anaitwa nani anafanya nn anaishi wapi eneo hilo mana tunaonana tu nyumba yetu ilikua barabarani so watu wengi hupita na movements n nyingi na maduka mengi hupatikana eneo hilo karibu na kwetu, hii siku sitaisahau mimi sina subiri nikufikirie sijui kuchelewesha wakat mtu ninayemwelewa ninaye mbele ya macho yangu.

Nikatabasamu akamwaga vyombo mimi nimetokea kukupenda sana nimeona leo nikuambie tu kilichopo moyoni, mimi meno yote niliyobarikiwa nje nikamkubalia nikaondokanzangu kurud nyumbani, sasa baada ya kurud nyumban ndio akili inarudi mahali pake nikaanza kujiuliza hivi mm n mzima au kitu gani, huyu mtu nimemkubali bila hata kumpa muda wa kumjua kama kaniona mgeni mtaani anitumie tu anibwage?

Sijui anaishi wapi sjui chochote kumhusu nimeanza lini kua mwehu wa kuhangaika na mapenzi? nimesahau kilichotokea nyuma? mimi ni mtu hua napenda kusema na nafsi yangu unaweza sema niko kimya kumbe nina kikao kizito cha kunihusu, bas najiuliza hayo huku majibu hutoka papo kwa papo, mpe muda utamjua, huwez jua watu hawafanani, lakini unakiri moyoni mwako unampenda s unajiona unavyobehave juu yake, kubali unampenda, mengine utayajua taratibuu!!


itaendelea.
Ndoa si ya kila mtu ,wengine wakwee minazi na wengine wale "midege ya jeshi".
 
tunakaa siku kadhaa namfikiria anitafute nimemmiss lakini najifanya bandidu nakausha naumia moyoni akaja kupata kaz mimi nikawa nimemaliza chuo sasa kichwa kinapata moto kazi sina hapo baby yupo nje ya nchi, hakua mbahili kidogo alichojaaliwa alinitumia, lakini ikawa umbali unatuumiza tunagombana sana, tunablockiana sana wasap mara tunaunblock tunaanzana maisha yanakwenda sikutaka kujua anakojolea shimo gani huko aliko lakini alikua ananisumbua yan mnagombana bila sbaabu za msingi nilivumilia mpaka akarudi zawadi kibao mama yangu ikabidi aje akae sasa huku niliko, akaja kupata sponsorship nje ya nchi tena akakaa kwa muda mrefu kumbukeni miaka inakatika hapo sasa kipindi hiki cha pili ndio ilikua bab lao siku mbili tunaelewana siku mbili mtiti makelele kugombana nilipataga kaz sehek moja ya kujitolea nilikua nalia kama taahira sina raha nikaja kuona huyu atakuja kuniua kwa presha nikasema baba jeni bye bye block kila pahala na namba ya sim nikabadili, kwa hatua hio kwao walianza kunifaham pia japo hawakuthibitishiwa rasmi
 
pole hii ni expeerience yangu watu wema bado wapo
Yeah ,kwenye msafara wa Mamba ,Kenge hawakosekani ,kwahiyo kwenye dunia hii ya watu na viatu ,wapo watu wema wa kutosha.

Kuna Reel moja niliion mtandaoni ,jamaa alikuwa anamtest Mzee kutoka Mbeya anauza samaki ,akamsimamisha na kumwambia Mzee sina pesa naomba unipe samaki nile ,yule mzee akasimama akatoa mfuko akaanza kumfungia samaki ampe yule kijana ,kabla ya kumpa yule kijana akamwambia mzee hapana silikua napima moyo wako wa kusaidia watu basi na mimi nakupa hii elfu 20 ikusaidie ,yule mzee alilia hakuamini ,kwahiyo wapo watu wana roho nzuri na wema katikati ya hawa panya road.
 
Naona kuna mtiririko wa mada nyingi za kukataa ndoa, kwanza niseme mimi nimeolewa na mume ambaye sijutii, hakika sijutii kabisa kuolewa naye tulianzaje bas kisa hiki nina imani kitakua na namna flan ya kufundisha hata kutia moyo wale ambao mioyo ilishakufa zamani kuhusiana na ndoa au mahusiano thabiti

Fast forward hiki kisa kinanihusu mm japo kuna vitu sitaexpose sana na 95% kinanihusu mwenyewe.

Ilitokea siku moja nimekwenda mkoa fulani kwa ajili ya likizo, ni mwishoni mwa mwaka 2009, sjui nisemeje lakini sehemu niliokwenda nikakutana na huyu mwanaume ile kumuona tu kwa mara ya kwanza kuna kitu nikahisi hakiko sawa kwenye nafsi yangu na mwili wangu, nilikua natamani kumuona yan nimuone apite tu roho yangu iridhike, niko radhi khjitumisha dukan bila sababu ya msingi ili mradi tu nimuone na ilikua tukionana tu lazima atabasam bas mm mwenzie nakua hoi sijiwez.

Nikajikaza mtoto wakike nisonekane dhaifu tenambele ya stranger,lakini tukionana lazima tupeane eye contact halafu aniachie zawadi ya tabasam lake, bas nahisi hata yeye alikua amenielewa na hapo mwenyewe sio kua nilikua virgin siku mingi ilishakwenda hivi,nilishajua mapenzi n nn yanaumaje japo sio kiviiile lakini hizo exprience tayar nilishakua nazo so hakikua kitu geni then boom moyo unamuangukia mtu hata sjawah kujua ningekuja kukutana naye,bas mimi hapo kumbuka niko likizo ugenini,

Mungu sio athumani akanipa sound unaitwa nani nikamjibu, mimi sitaki kujua yeye anaitwa nani anafanya nn anaishi wapi eneo hilo mana tunaonana tu nyumba yetu ilikua barabarani so watu wengi hupita na movements n nyingi na maduka mengi hupatikana eneo hilo karibu na kwetu, hii siku sitaisahau mimi sina subiri nikufikirie sijui kuchelewesha wakat mtu ninayemwelewa ninaye mbele ya macho yangu.

Nikatabasamu akamwaga vyombo mimi nimetokea kukupenda sana nimeona leo nikuambie tu kilichopo moyoni, mimi meno yote niliyobarikiwa nje nikamkubalia nikaondokanzangu kurud nyumbani, sasa baada ya kurud nyumban ndio akili inarudi mahali pake nikaanza kujiuliza hivi mm n mzima au kitu gani, huyu mtu nimemkubali bila hata kumpa muda wa kumjua kama kaniona mgeni mtaani anitumie tu anibwage?

Sijui anaishi wapi sjui chochote kumhusu nimeanza lini kua mwehu wa kuhangaika na mapenzi? nimesahau kilichotokea nyuma? mimi ni mtu hua napenda kusema na nafsi yangu unaweza sema niko kimya kumbe nina kikao kizito cha kunihusu, bas najiuliza hayo huku majibu hutoka papo kwa papo, mpe muda utamjua, huwez jua watu hawafanani, lakini unakiri moyoni mwako unampenda s unajiona unavyobehave juu yake, kubali unampenda, mengine utayajua taratibuu!!


itaendelea.
Story yako mwanzon inafana Na yangu...tulikutana kanisan Ibada ilivoisha kwenye kusalimiana....the way alivokua ananiangalia while tunaongea made me fall in love with him hata siku alivokuja kunifungukia sikupoteza muda Kesho yake nilimpa jibu la yes
 
sikua na mawasliano na nilitaka kuanza upya maisha yangu niliona kabisa huko tunakoelea hakuna kitu tutafanya wakat huo akawa anafanya ujenzi anamshirikisha mama yake alikua ananitumia hela ananambia usizitumie ziweke hakikisha hata kama utakwama tumia kias unachojua utakirudisha sasa mimi nikiwaza hizo sentensi naona kabisa huyu atakuja kunihesabia vipande vya nyama kwenye kibakuli hafai hanifai, haniamini tumetoka mbali, wakat naamua kubadili namba nakumbuka nilikua na laki nne yake,ila hatukua na mawasiliano so akaacha kutuma hela, akawa anatuma kwa mama yake, anaye dada ake mmoja naona walikua wanaambiana tumegombana bas wifi anahangaika had anapata namba yangu ananipigie oh wifi pataneni na kaka msigombane akirudi atakuoa mm namchamba hovyohovyo wifi kwa hasira ukome kuingilia yasiyokuhus tena ukome aliekutuma mwambie amenikosa, kwa wakat huo nilishajaribu kuingia kwenye mahusiano lakini mm nilitaka mtu afanane na yeye yan mtu mpya tabia za ex ambaye sina uhakika kama nimemuacha mazima au la,hayajawahi kudumu nikaona huu upuuzi wa mapenzi niachie wahindi mm ngozi nyeusi yamenishinda, nikawa nafocus na maisha, nakula nashiba nyege zikija mm huyo usiku najifungia najimalizia haja zangu hayo ndio yalikua maisha yangu tena kwa taswira yake, nikaanza kuona maisha yanatakiwa yaende mahitaj yangu muhim niyatimize nina mdogo wangu wa mwisho tusaidiane na wazazi asome so nikaanza kilipa bills kidogo kichwan akili inawaza pesa pesa nishaanzakuona utam wa kufanya kazi nishaanza kuona mapenzi yanaipotezea muda hayana nafasi,nikisikia best anaolewa mm ndio kama napata kamshtuko oh kumbe ukiacha haya ninayoishi kina hatua zingine sjazipitia sasa wa kuniona mm nani happ nishakua mtu amabaye ukinipenda leo sawa ukiniacha saa hiyo hiyo ni sawa yan kama daladala tulikaa miaka mitatu bwii nikapata sugar daddy hehehe huyu nimuache hata nisimhadithie lakini kwa kiasi kikubwa kwa wakat huo alikua akinisev sana kipesa
 
Story yako mwanzon inafana Na yangu...tulikutana kanisan Ibada ilivoisha kwenye kusalimiana....the way alivokua ananiangalia while tunaongea made me fall in love with him hata siku alivokuja kunifungukia sikupoteza muda Kesho yake nilimpa jibu la yes
nilijua nimepatwa na kihoro cha mahaba yan naiambia nafsi my God ushakua malaya kumbe its normal
 
Yeah ,kwenye msafara wa Mamba ,Kenge hawakosekani ,kwahiyo kwenye dunia hii ya watu na viatu ,wapo watu wema wa kutosha.

Kuna Reel moja niliion mtandaoni ,jamaa alikuwa anamtest Mzee kutoka Mbeya anauza samaki ,akamsimamisha na kumwambia Mzee sina pesa naomba unipe samaki nile ,yule mzee akasimama akatoa mfuko akaanza kumfungia samaki ampe yule kijana ,kabla ya kumpa yule kijana akamwambia mzee hapana silikua napima moyo wako wa kusaidia watu basi na mimi nakupa hii elfu 20 ikusaidie ,yule mzee alilia hakuamini ,kwahiyo wapo watu wana roho nzuri na wema katikati ya hawa panya road.
kabisa watu wema bado wapo na ni kumshirikisha Mungu au kua na imani hiyo
 
Back
Top Bottom