Kwanini wananchi hatulalamiki kuboreshwa miundombinu ya magereza na vituo vya Polisi nchini Tanzania?

REJESHO HURU

JF-Expert Member
Mar 6, 2014
4,712
10,033
Ukipata bahati ya kutembelea magereza na vituo vya polisi vya hapa kwetu Tanzania hali ni mbaya majengo yamechoka, huko mahabusu sasa ndio balaa yaani ni ovyo ovyo as if huko ni mateso tu ebu serikali ikumbuke kuboresha mazingira kama inavyofanya kwenye afya na elimu basi hawa watu nao wakumbukwe kama wafadhiri hawewezi toa msaada kuboreshwa hayo mazingira tutumie mapato ya ndani tukumbuke magereza na polisi ni kwa Kila mtu na wanaoenda uko ni watanzania wenzetu waliochaga Kodi zao kipindi wapo uraiani, na wanaochangiwa Kodi na ndugu zao walio uraiani so na wao wanaitaji huduma bora

Ni aibu Dunia ipo kwenye matumizi ya akili bandia unaenda kituo cha polisi maelezo bado wanajaza daftari kwa mkono, haaa haaa kweli imeshindikana kesi zetu ukawepo mfumo wa kuziandikisha aibu sana

Kituo cha polisi unafika lile deski lao limechoka, vitu vimechoka unawaza hivi hawa wakuu wa hivi vituo wamepigwa marufuku kuomba wadau wasaidie kuboresha mazingira ya kazi yao kuomba mdau apige rangi, awaletee fenisha kituo kiwe na muonekano wa kisasa,

Uko magereza ndio balaa sasa jengo limejenwa kipindi cha uhuru lipo vile vile mafundi humo ndani wanao yani unawaza unasema my country people shida nini.

SIYO MWANAFUNZI NA MGONJWA WANAOITAJI HUDUMA BORA HATA MAHABUSU NA WAFUNGWA WANAOITAJI HUDUMA BORA

MY TAKE
hasa kwenye vituo vya polisi mikoa na wilaya mliopewa dhamana ya kuvisimamia nyie hamuitaji fungu kutoka serikali kuu kufanya ukarabati au mpaka mpewe oda mnatakiwa jiongeza mna wadau wengi sana wa maendeleo siyo muwe mnaomba mafuta tu boresheni na vituo vyenu au mpaka IGP atoe challenge kuwa mkuu wa kituo chochote atakaye shirikiana na jamii kuboreshwa kwa kituo anapandishwa cheo ndio mstuke

Kuhusu magereza hapa serikali kuu tizameni nguvu kazi wanayo nikuwezeshwa vifaa tu kiukweli hali ni mbaya sana
 
Ni vile kila mtu huwa anaona hapamuhusu lakini kila mtu ni mfungwa mtarajiwa ni matter of time hata ukiwa kiongozi mkubwa mambo yanaweza kubadilika kulingana na uongozi wa wakati husika ukalazimika kuingizwa gerezani kulingana na uliyoyafanya kipindi cha uongozi wako mfano sabaya hakuwahi kuwaza kwamba ipo siku anaweza kukaa gerezani lakini muda uliamua akaingia gerezani so it is a matter of time hujafa hujaumbika viongozi wetu inabidi wazingatie
 
Ni vile kila mtu huwa anaona hapamuhusu lakini kila mtu ni mfungwa mtarajiwa ni matter of time hata ukiwa kiongozi mkubwa mambo yanaweza kubadilika kulingana na uongozi wa wakati husika ukalazimika kuingizwa gerezani kulingana na uliyoyafanya kipindi cha uongozi wako mfano sabaya hakuwahi kuwaza kwamba ipo siku anaweza kukaa gerezani lakini muda uliamua akaingia gerezani so it is a matter of time hujafa hujaumbika viongozi wetu inabidi wazingatie
Inasikitisha sana, hata viongozi wetu wa siasa na wanaharakati wapo busy kupiga picha hospital na mashule sijawahi kuona clip ikisema hiki ndio kituo cha polisi X au hii ndio mahabusu X inakera sana
 
Ukipata bahati ya kutembelea magereza na vituo vya polisi vya hapa kwetu Tanzania hali ni mbaya majengo yamechoka, huko mahabusu sasa ndio balaa yaani ni ovyo ovyo as if huko ni mateso tu ebu serikali ikumbuke kuboresha mazingira kama inavyofanya kwenye afya na elimu basi hawa watu nao wakumbukwe kama wafadhiri hawewezi toa msaada kuboreshwa hayo mazingira tutumie mapato ya ndani tukumbuke magereza na polisi ni kwa Kila mtu na wanaoenda uko ni watanzania wenzetu waliochaga Kodi zao kipindi wapo uraiani, na wanaochangiwa Kodi na ndugu zao walio uraiani so na wao wanaitaji huduma bora

Ni aibu Dunia ipo kwenye matumizi ya akili bandia unaenda kituo cha polisi maelezo bado wanajaza daftari kwa mkono, haaa haaa kweli imeshindikana kesi zetu ukawepo mfumo wa kuziandikisha aibu sana

Kituo cha polisi unafika lile deski lao limechoka, vitu vimechoka unawaza hivi hawa wakuu wa hivi vituo wamepigwa marufuku kuomba wadau wasaidie kuboresha mazingira ya kazi yao kuomba mdau apige rangi, awaletee fenisha kituo kiwe na muonekano wa kisasa,

Uko magereza ndio balaa sasa jengo limejenwa kipindi cha uhuru lipo vile vile mafundi humo ndani wanao yani unawaza unasema my country people shida nini.

SIYO MWANAFUNZI NA MGONJWA WANAOITAJI HUDUMA BORA HATA MAHABUSU NA WAFUNGWA WANAOITAJI HUDUMA BORA

MY TAKE
hasa kwenye vituo vya polisi mikoa na wilaya mliopewa dhamana ya kuvisimamia nyie hamuitaji fungu kutoka serikali kuu kufanya ukarabati au mpaka mpewe oda mnatakiwa jiongeza mna wadau wengi sana wa maendeleo siyo muwe mnaomba mafuta tu boresheni na vituo vyenu au mpaka IGP atoe challenge kuwa mkuu wa kituo chochote atakaye shirikiana na jamii kuboreshwa kwa kituo anapandishwa cheo ndio mstuke

Kuhusu magereza hapa serikali kuu tizameni nguvu kazi wanayo nikuwezeshwa vifaa tu kiukweli hali ni mbaya sana
Wazo zuri na naomba nikuongezee, pamoja na ukarabati wa miundombinu wafanye pia maboresho ya huduma zinazotelewa humo selo na magereza. Mule watu wanaumwa usiku na hawatibiwi bila sababu ya msingi na wapo madaktari wa jeshi ambao hayo yanatakiwa kuwa majukumu yao. Mule watu hawapelekwi mahakamani bila kuchangia gharama za mafuta, which is very very bad. Ukiangalia transportation vehicles za jeshi la magereza utachoka nakwambia.
 
Bora polisi wanarudi makwao, wanaweza badili mazingira kidogo. Wafungwa sasa.
Kuwa mfungwa inakuwa ni hukumu haya mazingira mfungwa anayokutana nayo inakuwa kama hukumu ya pili
 
Wazo zuri na naomba nikuongezee, pamoja na ukarabati wa miundombinu wafanye pia maboresho ya huduma zinazotelewa humo selo na magereza. Mule watu wanaumwa usiku na hawatibiwi bila sababu ya msingi na wapo madaktari wa jeshi ambao hayo yanatakiwa kuwa majukumu yao. Mule watu hawapelekwi mahakamani bila kuchangia gharama za mafuta, which is very very bad. Ukiangalia transportation vehicles za jeshi la magereza utachoka nakwambia.
Yani wanaendesha mambo kizamani sana enzi za nchi inajitafuta kimiundo mbinu nk wao bado wamekomaa na mfumo ule ile

Ebu wangalie mahakana sasa zimebadilika kimiundombinu nk wanaoenda kisasa ila uko kwenye majeshi aisee inatia huruma kite hoi
 
Back
Top Bottom