Mowwo
JF-Expert Member
- Aug 15, 2015
- 1,189
- 1,811
Wakuu nimewaza
Kama uwanja/pitch inatumika kwa matumizi kama mikutano na matamasha kwanini pitch isichoke?
Mfano, matamasha ya kidini (waislam & wakristo) kwanini wanaruhusiwa kufanyia pale?
Uwanja unaingiza mapato makubwa wanashindwaje kumaintain mambo ya uwanja?
Je ni lini uwanja utakua maalum kwa kucheza soka badala ya haya matukio mbalimbali?
Kama uwanja/pitch inatumika kwa matumizi kama mikutano na matamasha kwanini pitch isichoke?
Mfano, matamasha ya kidini (waislam & wakristo) kwanini wanaruhusiwa kufanyia pale?
Uwanja unaingiza mapato makubwa wanashindwaje kumaintain mambo ya uwanja?
Je ni lini uwanja utakua maalum kwa kucheza soka badala ya haya matukio mbalimbali?