Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 127,924
- 244,493
Tukizijua sababu zile tutazuia TOTAL na GAPCO nao kukimbia .Kwa nini kampuni kama TOTAL inawekeza Tanzania?
Ukijua kwa nini TOTAL anawekeza kwenye bomba la mafuta bongo utaelewa kwa nini wengine wakimbie.Tukizijua sababu zile tutazuia TOTAL na GAPCO nao kukimbia .
Bila shaka wadau watazidi kutiririka .kumbu kumbu zangu , nakumbuka mwaka 2013 kukikuwa na uhaba wa mafuta hapa nchini, ikaonekana baadhi ya makampuni kama BP walikuwa hawuzi mafuta,wakati walikuwa wanayo kwa wakati huo, ndiyo serikali wakaifungia hiyo kampuni kwa muda usiyojulikana lakini baada ya mwezi, tukasikia kampuni imerusiwa kuendelea na biashara, lakini kwa masharti ya kushirikiana na Kampuni ya PUMA. mara baada ya muda nikayoona petrol satations zote za BP zimebadirishwa jina na nembo na kuwa PUMA-Energy. Swali langu nani mmiliki wa PUMA Energy? Tusaidiane hapo , kuhusu SHELL, sina data zake.
Basi haya mjomba .Ukijua kwa nini TOTAL anawekeza kwenye bomba la mafuta bongo utaelewa kwa nini wengine wakimbie.
Kuna wasiofuatilia mambo na wanaotaka kufananisha kila jambo na siasa.BP iliuzwa kwa Puma baada yukuterereka kiuchumi, hii ni baada ya ajali waliyopata huko Gulf of Mexico kwa kisima chao kuvujisha mafuta mengi baharini na kupigwa faini kubwa.
Hayo ni mawazo yako, hakuna sehemu mwenye mada kaingiza siasa, yeye anataka kufahamu sasa siasa iko wapi?Kuna wasiofuatilia mambo na wanaotaka kuunanisha kila jambo na siasa.
Unadhani kwanini walibadili jina ?BP ndio wamiliki wa Puma energy, hawajakimbia Bali jina tu limebadilishwa!! kokote unapoiona Pima energy jua kuwa umeiona BP(British Petroleum),
hlo swali kuna mamlaka zina jibu! lakin wenyewe wanaamini hawajabadili jina Bali wameinunua Puma energy. makao makuu ya Bp yalikuwa pale kurasini - njia ya kwenda kariakoo, baada tu ya kuinunua puma energy, ofisi zao na kila kitu kikabadilika na kuwa puma, yaan jina Bp likafutika fasta.Unadhani kwanini walibadili jina ?
unaionaje wakati umiliki ulibadilishwaBP ndio wamiliki wa Puma energy, hawajakimbia Bali jina tu limebadilishwa!! kokote unapoiona Pima energy jua kuwa umeiona BP(British Petroleum),
Huyo jamaa anayeitwa Jingalao ni kati ya wana jf niliowadharau sana , asikuumize kichwa .Hayo ni mawazo yako, hakuna sehemu mwenye mada kaingiza siasa, yeye anataka kufahamu sasa siasa iko wapi?
Sawa kama ni hivyo je ni dunia nzima wamebadilisha jina au ni tanzania tuhlo swali kuna mamlaka zina jibu! lakin wenyewe wanaamini hawajabadili jina Bali wameinunua Puma energy. makao makuu ya Bp yalikuwa pale kurasini - njia ya kwenda kariakoo, baada tu ya kuinunua puma energy, ofisi zao na kila kitu kikabadilika na kuwa puma, yaan jina Bp likafutika fasta.