ujoka
JF-Expert Member
- Nov 27, 2014
- 4,783
- 11,273
tuliagizwa tusifunge kama mafarisayo ili tuonekana hii ni project flani hivi ya siri , ukifunga unakua low profile utakiwi kujionyesha watu wanafu mpaka mwezi wanakunywa dry wanakula mara moja tu usiku kila baada ya siku tatu tena wanagonga msos mlain kama uji tu juisi na hawasemi hawa utawajua kama ukiwa kwa fast gangs zao wewe unaongelea maandiko gan mdogo wetuKufunga ni lazima kwahiyo waislamu wapo sahihi kiufupi hakuna watu wanaofuata maandiko kuwazidi waislamu,viongozi wa kikristo wanapotosha maandiko kiasi kwamba utakuta wanasigana na maandiko mwisho wa siku uislamu unakuwa kwa kasi