Mtu anapiga magimbi saa 11 alfajiri na uji mzito atashindwa vipi kukaa bila kula kuanzia asubuhi hadi sa 12 jioni.??!!Hakuna watu waroho kama wavaa kobaz yani ikifika mfungo wao wanakula kama mchwa.utakuta tambi,futari,karanga,uji,chai,tende mihogo ya kukaanga,juisi ya matunda.sasa wakianza kujamba utadhani kuna mtu anatapisha choo.
Political mileage...
Umetumia bunduki kumuua sisimiziWakristo wanafunga kama ibada,wengine mnabadili ratiba ya msosi kama kanuni inavyowalazimu mnaita kufunga.
sisi tunafunga kujipa uimara wa kupokea majibu ktk maombi tuliyoomba,na sharti ni kwamba kilichosalia kama mbadala wa sehemu yako kula unatakiwa utoe kama sadaka utakapovuviwa.
Umeshajiuliza kwanini magimbi,maviazi na mihogo hupanda sana bei wakati kimahesabu walaji wamepungua mtaani kipindi cha ramadaaan
Jibu ni moja,wadogo zetu mnakula sana kipindi hiki kuliko wakati wowote
Right kama wakristo kwa aina yao ya mfungo wangekuwa wanafunga siku 40 zote kila mmoja kwa kulazimishwa,nyinyi mchwa kipindi hiki cha kwaresma mngenunua sukari mpaka shilingi 500 kilo,bidhaa za vyakula zingekosa soko kabisa,watu hawali mzee wanafunga kweli kweli sio sarakasi hizo mnapiga.
Wabadilisha ratiba ya kula wakifungaWauza kitimoto wanasema biashara inakuwa mbaya ramadhan ikifika, sijui ni kweli?
So what?Kwaresma ni kwa baadhi ya wakristo sio wote, wakristo wa makanisa kibao hawana habari nayo, Ramadhan ni kwa waislam wote.
Ramadhani huwa inapewa uzito hata na serikali, huwa kuna hafla kibao za iftar zinaandaliwa na viongozi wa serikali hata walio wakristo
Ramadhan inakutanisha waislam wengi bila kujali matabaka, hafla za kufungua watakutana pamoja mawaziri, wasanii, watu wenye ulemavu, wagonjwa, n.k.
Ramadhan utawaona waislam wenye uwezo kiuchumi wakigawa vyakula bure watoto wa mitaani, wenye shida, n.k.
Si vyema kulinganisha vitu visivyolingana!Kwaresma ni kwa baadhi ya wakristo sio wote, wakristo wa makanisa kibao hawana habari nayo, Ramadhan ni kwa waislam wote.
Ramadhani huwa inapewa uzito hata na serikali, huwa kuna hafla kibao za iftar zinaandaliwa na viongozi wa serikali hata walio wakristo
Ramadhan inakutanisha waislam wengi bila kujali matabaka, hafla za kufungua watakutana pamoja mawaziri, wasanii, watu wenye ulemavu, wagonjwa, n.k.
Ramadhan utawaona waislam wenye uwezo kiuchumi wakigawa vyakula bure watoto wa mitaani, wenye shida, n.k.
Kwaresma ni kwa baadhi ya wakristo sio wote, wakristo wa makanisa kibao hawana habari nayo, Ramadhan ni kwa waislam wote.
Ramadhani huwa inapewa uzito hata na serikali, huwa kuna hafla kibao za iftar zinaandaliwa na viongozi wa serikali hata walio wakristo
Ramadhan inakutanisha waislam wengi bila kujali matabaka, hafla za kufungua watakutana pamoja mawaziri, wasanii, watu wenye ulemavu, wagonjwa, n.k.
Ramadhan utawaona waislam wenye uwezo kiuchumi wakigawa vyakula bure watoto wa mitaani, wenye shida, n.k.
Dini gani ya kwanza kujua na kuanza kufunga Kati ya hizo mbili ?Wewe wa juzi uijue funga kuliko uliyemkuta anafanya toba ya kufunga?Kufunga ni lazima kwahiyo waislamu wapo sahihi kiufupi hakuna watu wanaofuata maandiko kuwazidi waislamu,viongozi wa kikristo wanapotosha maandiko kiasi kwamba utakuta wanasigana na maandiko mwisho wa siku uislamu unakuwa kwa kasi
Mvuto uoneshwe wewe binadamu?anamaanisha mvuto wake
Waabudu mtu na masanamu kama kawaida umeleta ushuzi wenuWakristo wanafunga kama ibada,wengine mnabadili ratiba ya msosi kama kanuni inavyowalazimu mnaita kufunga.
sisi tunafunga kujipa uimara wa kupokea majibu ktk maombi tuliyoomba,na sharti ni kwamba kilichosalia kama mbadala wa sehemu yako kula unatakiwa utoe kama sadaka utakapovuviwa.
Umeshajiuliza kwanini magimbi,maviazi na mihogo hupanda sana bei wakati kimahesabu walaji wamepungua mtaani kipindi cha ramadaaan😁😁😁
Jibu ni moja,wadogo zetu mnakula sana kipindi hiki kuliko wakati wowote🤣🤣🤣
Right kama wakristo kwa aina yao ya mfungo wangekuwa wanafunga siku 40 zote kila mmoja kwa kulazimishwa,nyinyi mchwa kipindi hiki cha kwaresma mngenunua sukari mpaka shilingi 500 kilo,bidhaa za vyakula zingekosa soko kabisa,watu hawali mzee wanafunga kweli kweli sio sarakasi hizo mnapiga.
Unataka wafanyaje ili ufurahi?NB;Hawapo kukufurahisha.Sio ligi ni dedication ya imani, Wakatoliki wanaichukulia poa sana Kwaresma
Kuumer mamyor wewe kwani hata kubgoogle hujui mpaka ubishane na data?nani anajiunga na uislam miaka hii? Bora uwe mpagani tu kuliko kuwa muislam, maana dini hiyo ni abrakadabra tu wala hakuna Mungu huko
Endelea kujifunza.Huna ujualo.Mifungo yote haina maana yo yote iwe Kwaresma au Ramadhani! Zinafungwa kidini si kwa maana halisi ya kutubu dhambi na Kuacha!
Wakimaliza mifungo wanaendelea na kufanya uovu na dhambi za kila namna!
Machoni pa Mungu, ni kujitesa kwa njaa tu!
Matusi ya nini sasa?Kuumer mamyor wewe kwani hata kubgoogle hujui mpaka ubishane na data?