Kambi ya Fisi
JF-Expert Member
- Feb 3, 2018
- 13,578
- 22,124
WatanganyikaWalipora kwa nan
WatanganyikaWalipora kwa nan
Ungekuwa mpinzani mkubwa, usingeingia katika kundi la wanyonge wakata tamaa kisha ukawapa ushindi hao wezi.Kinyume chake, mimi ndiyo mpinzani mkubwa wa ujinga wa kusema CCM itatawa milele.
sayari Mars ndo penyewe hakimu Aliance,dpp Malaika Gabrieli🤣😅Nimesema kesi haitafika popote! uvuke mipaka na hata uende mpaka sayari ya Mars! Huniamini? Kafungue basi.
Si ulishaambiwa wameungana au unjisahaulishaWatanganyika
Kwa kuambiwa hivyo ambao ni ukweli na pia ili Wananchi wasinione mimi ccm nimepora Viwanja ningevirudisha na kuwaomba msamaha wananchiWewe ndio ungekuwa CCM, ungerudisha?
ZINAPATA MAELEKOKesi haitafika popote kwa sababu mahakama nazo ni mali ya CCM.
Waliwapora Waliovijenga ambao ni Wananchi Hebu tuambie lini ULIONA BANGO la ujenzi wa Hivyo viwanja na MKANDARASI ALIYEPEWA TENDA ya kuvijenga?Walipora kwa nan
Kama ni wananchi jua pia walikuwepo wanaccm ambao ni wananchi pia! Usifikir chadema pekee ndo wananchiWaliwapora Waliovijenga ambao ni Wananchi Hebu tuambie lini ULIONA BANGO la ujenzi wa Hivyo viwanja na MKANDARASI ALIYEPEWA TENDA ya kuvijenga?
Muone Wakili Peter KibatalaNinataka kufungua kesi kwa ajili ya kudai viwanja hivo, ninaombeni muongozo
kwani vilijengwa na chama gani?Wadau nimekuwa nazifuatia mali za CCM wakati wa mfumo wa chama kimoja cha siasa ilikuwa wananchi wote bila kujali ni mwanachama wa CCM au huna chama ni lazima uchangie Maendeleo.
Wakati wa ujenzi wa viwanja vya Sokoine Mbeya, Nelson Mandela Sumbawanga, Uwanja wa Kirumba Jijini Mwanza na sehemu nyingine wananchi walichangishwa fedha mazao, mifugo na nguvu zao ili kujenga viwanja hiyo na waliokaidi walichukuliwa hatua.
Baada ya Mfumo wa Vyama vingi kuingia CCM ilijimilikisha viwanja hivyo wakati hatukuwahi kusoma bango lolote la ujenzi wa viwanja hivyo na CCM haikuwahi kuvijenga Viwanja hivyo.
Swali kwa CCM, kwanini Uwanja wa Taifa wa Uhuru Dar haijajimilikisha wakati nao ulijengwa wakati wa Mfumo wa Chama Kimoja?
Ushauri kwa CCM
CCM ivirudishe viwanja ilivyojimilikisha serikalini kwani vilijengwa na wananchi sio Wana CCM na kama CCM inataka kumiliki viwanja ijitafutie maeneo, ipime kisha kwani kati ya Vyama vinavyopata ruzuku kubwa CCM inaongoza hivyo haiwezi kushindwa kujenga.
Endapo viwanja vilivyoporwa na CCM vikiwa vya Serikali vitatumiwa na wananchi wote tofauti na sasa kwani Mapato yake yatakuwa ya serikali badala yakuchukuliwa na CCM wakati haikuvijenga bali ilivipora.
CCM na vyama vingine vijenge viwanja vyao kwa kutumia Ruzuku zao.
Tulipoingia mfumo wa vyama vingi CCM ilikomba ndege ya rais na kuipa jina CCM ONE! Kilichoinusuru ndege siyo gari, walipoambiwa kila siku italipiwa maegesho kwenye uwanja wa ndege ikawashinda. Kutokana na mazoea ya uporaji imepora baadhi ya shule zilizokuwa za halmashauri za miji! Imepora viwanja alivyoviacha mkoloni kama Mkwakwani na vinginevyo.Wadau nimekuwa nazifuatia mali za CCM wakati wa mfumo wa chama kimoja cha siasa ilikuwa wananchi wote bila kujali ni mwanachama wa CCM au huna chama ni lazima uchangie Maendeleo.
Wakati wa ujenzi wa viwanja vya Sokoine Mbeya, Nelson Mandela Sumbawanga, Uwanja wa Kirumba Jijini Mwanza na sehemu nyingine wananchi walichangishwa fedha mazao, mifugo na nguvu zao ili kujenga viwanja hiyo na waliokaidi walichukuliwa hatua.
Baada ya Mfumo wa Vyama vingi kuingia CCM ilijimilikisha viwanja hivyo wakati hatukuwahi kusoma bango lolote la ujenzi wa viwanja hivyo na CCM haikuwahi kuvijenga Viwanja hivyo.
Swali kwa CCM, kwanini Uwanja wa Taifa wa Uhuru Dar haijajimilikisha wakati nao ulijengwa wakati wa Mfumo wa Chama Kimoja?
Ushauri kwa CCM
CCM ivirudishe viwanja ilivyojimilikisha serikalini kwani vilijengwa na wananchi sio Wana CCM na kama CCM inataka kumiliki viwanja ijitafutie maeneo, ipime kisha kwani kati ya Vyama vinavyopata ruzuku kubwa CCM inaongoza hivyo haiwezi kushindwa kujenga.
Endapo viwanja vilivyoporwa na CCM vikiwa vya Serikali vitatumiwa na wananchi wote tofauti na sasa kwani Mapato yake yatakuwa ya serikali badala yakuchukuliwa na CCM wakati haikuvijenga bali ilivipora.
CCM na vyama vingine vijenge viwanja vyao kwa kutumia Ruzuku zao.
Wakili Damas Mbogoro alishafungua kesi kuhusu uwanja wa majimaji Songea sikumbuki hukumu ilikuwa vipiTulipoingia mfumo wa vyama vingi CCM ilikomba ndege ya rais na kuipa jina CCM ONE! Kilichoinusuru ndege siyo gari, walipoambiwa kila siku italipiwa maegesho kwenye uwanja wa ndege ikawashinda. Kutokana na mazoea ya uporaji imepora baadhi ya shule zilizokuwa za halmashauri za miji! Imepora viwanja alivyoviacha mkoloni kama Mkwakwani na vinginevyo.