Kama wa ni afande wawafungwa MSHUKURU MUNGU ww na jeshi la zima moto na police MNAPEWA POSHO 300000 na pesa ya vinywaji 100000 ambayo kila mwezi hyo ninposho usimlaum mkeoKuna sie maafande wafungwa tunajinunulia hadi jezi lakini husikii tukilalama
Kwa nini mnawaanzishia thread NYINGI walimu?Ooh sijui mishahara, sijui maisha magumu, sijui nini,
Ebu njoeeni mtaani muone, si bora nyie mmesoma
Kaeni chini mfanye kazi kama mna hasira sana tengenezeeni chama chenu mchukue nchi
Na sisi tuwe kama majeshi mengine!! Unajua hata vyeo ni sawa kati ya polisi na magereza ila mishahara ni tofauti🤣Sasa mwalimu mwenye shahada anaanza na MSHAHARA wa 790000 basic take home 650000 mwenye degree huyo ASKARI MAGEREZA form iv division iv point ya 30 anaanza na MSHAHARA wa 490000 take home 420000+ 300000+ 100000 MUNGU akupe nn unatoka na 820000 kwa mwezi
Fika najuaNa sisi tuwe kama majeshi mengine!! Unajua hata vyeo ni sawa kati ya polisi na magereza ila mishahara ni tofauti🤣
Nyinyi mnalinda watu ambao tayari wamelindwa. Yaani wako kwenye ngome pia wako na vazi maalumu la kuwajua watu wako. Wenzenu wanalinda watu ambao hata hawajui wako wapi na wanavazi gani na mipaka yao ni ipi.Na sisi tuwe kama majeshi mengine!! Unajua hata vyeo ni sawa kati ya polisi na magereza ila mishahara ni tofauti🤣