- Thread starter
- #41
Aha nimekupata nadhn hii itamsaidia zaid kuliko kupoteza muda tena diplomaNdio, akisoma nje akahitimu matokeo yake yataangalia na TCU na kisha kupatiwa verification certificate ili atambulike kwamba ni mtaalamu halali.
Aha nimekupata nadhn hii itamsaidia zaid kuliko kupoteza muda tena diplomaNdio, akisoma nje akahitimu matokeo yake yataangalia na TCU na kisha kupatiwa verification certificate ili atambulike kwamba ni mtaalamu halali.
Mshaurini aanzie diploma.S
Sasa hapo ndo shida sijui utaratibu upoje hapo n yeye diploma anaona ngoja nzito
Atumie cheti cha form 4 asome CO kwanzsaw
SawaMshaurini aanzie diploma.
Tofauti na hapo ataenda vyuo vya magumashi mwisho wa siku itakuwa alikuwa anapoteza muda
Before kwenda matokeo yanatumwa TCU Kua verified then akitoboa hapo bas uhakika Tena ukitumia agent wa vyuo vya nje ni rahisiHapo nmekupata ko akienda nje akirudi atatambuliwa vizuri bila shida yeyote baada ya kumaliza kusoma
😁😁😁Hawa madogo ni shidaMwambie dogo aache ufala
Kuna ukwel sema ndio madogo wanalialia sanaMe nahis kusoma siku izi sio ishu haswa haya makozi ya miaka mingi plz plz hayo mambo yanapoteza mda na hela pia chochote unachofanya angalia kinaenda na mda then kitaingiza hela mda mchache after kumaliza ss MD fo this time halaf unakuta family ya kimaskin dah ila sw siwez ongea sn hayanihusu sn
Naomba chuo kizuri Kwa Uganda ambacho unadhani kitamfaa zaidAkasome uganda hapo ada yao ni affordable,anapiga zake emdii au anapiga zake radioloji safi anarudi
Weka minimum requirement of MEDICINE as per TCU ........tujue umetumia ubongo ama rectum kufikiriCATHOLIC UNIVERSITY OF HEALTH AND ALLIED SCIENCES (CUHAS)
Zanzibar School of Health
MOUNT UKOMBOZI HEALTH
China anasoma freshMpeleke china wana gharama nafuu, asome pre-medicine mwaka 1 kisha amalize miaka 4..
Ada inarange kiasi gani kw mwakaMpeleke china wana gharama nafuu, asome pre-medicine mwaka 1 kisha amali
Kuna rafiki mmoja kasomea huko, njoo pm nikumbe namba yake nadhani atakuelewesha vyema.Ada inarange kiasi gani kw mwaka
Kumbe Mimi nimesoma zamani sana hiyo div 2Kwa nn unasema hivo kwamba division 2 ni kilaza,haifai kumjaji mtu hivyo sema yashatokea tufanyaje sasa
Je watoto wetu, watajua mambo ya quantum numbers ?Akasomee ualimu huko. Asije kutuchoma sindani za kifafa.
Ndo icho nilicho mwambia juu hapo yaan usisome ilimradi angalia after iyo five year inakuwaje mtaani usije leta watu wenye stress za kutosha mpk kutaka kujinyongaFainali mtaani