Kwa matokeo ya Physics E, Chemistry D na Biology C anaweza kusoma lozi ya Afya kwa vyuo vya serikali au binafsi?

Me nahis kusoma siku izi sio ishu haswa haya makozi ya miaka mingi plz plz hayo mambo yanapoteza mda na hela pia chochote unachofanya angalia kinaenda na mda then kitaingiza hela mda mchache after kumaliza ss MD fo this time halaf unakuta family ya kimaskin dah ila sw siwez ongea sn hayanihusu sn
 
Me nahis kusoma siku izi sio ishu haswa haya makozi ya miaka mingi plz plz hayo mambo yanapoteza mda na hela pia chochote unachofanya angalia kinaenda na mda then kitaingiza hela mda mchache after kumaliza ss MD fo this time halaf unakuta family ya kimaskin dah ila sw siwez ongea sn hayanihusu sn
Kuna ukwel sema ndio madogo wanalialia sana
 
Back
Top Bottom