Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 39,099
- 66,175
Na kichwa chake kama punje ya mchele.Shida ni Wananchi huyu Msukuma ni mjinga sana tena sana hana akili hata moja.
Na kichwa chake kama punje ya mchele.Shida ni Wananchi huyu Msukuma ni mjinga sana tena sana hana akili hata moja.
Akili aliyonayo kidhimba hauna ndio maana kaajiri mpaka phd holdersYaani kwa wabunge aina ya musukuma, kishimba n.k, tuna hasara taslimu kama Taifa.
Haijadiliwi ajira na mali.Ni kuhusu akili na uelewa wa mambo na mazingira.Kwani wale watu walioajiri house-helps wote wana akili na uelewa mwingi?Akili aliyonayo kidhimba hauna ndio maana kaajiri mpaka phd holders
Rushwa rushwa rushwaSioni faida ya kuwa na wabunge aina hii bungeni,kazi yao kulipwa na kutukana au kudhalilisha wabunge makini ambao wanakwenda kinyume na mafisadi serikalini,kwa hali hii hii nchi itachezewa sana
Sasa wewe uelewa wako unamzidi nini kishimba ?kipi unakijua zaidi yake ?Haijadiliwi ajira na mali.Ni kuhusu akili na uelewa wa mambo na mazingira.Kwani wale watu walioajiri house-helps wote wana akili na uelewa mwingi?
Ni aibu kubwa sn mkuuHaijadiliwi ajira na mali.Ni kuhusu akili na uelewa wa mambo na mazingira.Kwani wale watu walioajiri house-helps wote wana akili na uelewa mwingi?
Na wapigakura wao ni shida.Shule huwa hawataki kwenda.Tazama takwimu za elimu mikoa ya Shinyanga,Mwanza,Simiyu,Geita na Tabora halafu uangalie Iringa,Kilimanjaro,Arusha na Manyara kama mifano.Rushwa rushwa rushwa
Kwa hiyo unataka nikuwekee kwa maandishi uelewa wangu unavyomzidi Kishimba?Aisee!Wewe ni kibogoyo sana.😎🙏Sasa wewe uelewa wako unamzidi nini kishimba ?kipi unakijua zaidi yake ?
Mtu kuwa tajiri haimanishi ni mwerevu,utajiri ni bahati pia.Akili aliyonayo kidhimba hauna ndio maana kaajiri mpaka phd holders
Siamini katika shule kuwa hawataki kusoma labda zamani sahivi hiyo mikoa ina wasomi wengi sn, tatizo kubwa ni rushwa na ushirikinaNa wapigakura wao ni shida.Shule huwa hawataki kwenda.Tazama takwimu za elimu mikoa ya Shinyanga,Mwanza,Simiyu,Geita na Tabora halafu uangalie Iringa,Kilimanjaro,Arusha na Manyara kama mifano.
SureMtu kuwa tajiri haimanishi ni mwerevu,utajiri ni bahati pia.
Huyo muheshimiwa ni hopeless kwelikweli.Sijui kama huwa anafikiri kabla ya kuandika jambo.Mtu kuwa tajiri haimanishi ni mwerevu,utajiri ni bahati pia.
Tuambie wewe hicho unachokiona kwake ambacho wengine hatukioni,sisi tunamuona ni mjinga ndio maana hatuoni chochote kutoka kwake cha maana.Sasa wewe uelewa wako unamzidi nini kishimba ?kipi unakijua zaidi yake ?
Wewe haumfahamu kishimba tunamjua na tuliofanya nae kazi kwa elimu zetu sio lolote kwa huyo mzee akili nyingi sana.Mtu kuwa tajiri haimanishi ni mwerevu,utajiri ni bahati pia.
Wasomi wengi lakini hawana uuwiano na wasio na elimu.Wajinga ni wengi mnoo ndiyo maana CCM inajivunia kuwa ndiyo wapigakura wao.Hili halina query wala hitaji la CAG.Siamini katika shule kuwa hawataki kusoma labda zamani sahivi hiyo mikoa ina wasomi wengi sn, tatizo kubwa ni rushwa na ushirikina
Hivi,hata mataahira huwa hawamteui kiongozi wao?Wewe haumfahamu kishimba tunamjua na tuliofanya nae kazi kwa elimu zetu sio lolote kwa huyo mzee akili nyingi sana.
Sheria zinazowahusu wao hawazibadilishi katu ili waendelee kunufaikaKigezo mojawapo cha kuwa Mbunge au Diwani ni kujua Kusoma na Kuandika.
Ikiwa kila kata ina Sekondari na bado tunachagua wabunge wa drs la 7, There's something wrong.
Nadhani issue siyo usomi issue ni mfumo uliwaweka akina msukuma na wajinga wengine, bahati nzuri Tanzania sijafika Kigoma pekee mikoa mingine yote nimefika, Tanzania inashida ya wasomi ndiyo wapumbavu kuliko hata wasiyosoma, mikataba ya hovyo inasainiwa na wasomi, wezi wa mali za umma ni wasomi hao hao, labda kama una utani na wasukuma, kama kumbukumbu zangu zipo sawa mikoa ya Shinyanga, Simiyu na Mwanza ni ngome ya CHADEMA kama ilivyo Arusha, Kilimanjaro, Mbeya na Dar, Dodoma na Pwani ndiyo mikoa pekee haijawahi kuwa na mbunge kutoka upinzani ndiyo mikoa masikini kupita kiasi, nakataa Geita, Kahama na Simiyu ina wasomi wengi sn pamoja na matajiri, akina Mkumbo, Mwigulu, Aweso, Ummy, Masauni, Jafo, Kijaji wanafaida ganni kwa nchi?Wasomi wengi lakini hawana uuwiano na wasio na elimu.Wajinga ni wengi mnoo ndiyo maana CCM inajivunia kuwa ndiyo wapigakura wao.Hili halina query wala hitaji la CAG.
Hakuna bunge pale watu wanasubiri maelekezo ya IkuluMtu kama Prof.Mhongo na Gwajima,majuzu kati wameongea hoja za maana sana Bungeni.angalia kama tungekuwa na Wabunge wa aina hiyo hata 300 mule Bungeni kwa miaka yote 5 wawe wanatoa hoja za namna hiyo lazima baadhi ya hoja zingefanyiwa kazi.