mwananyaso
JF-Expert Member
- Feb 19, 2017
- 2,969
- 3,348
Sioni faida ya kuwa na wabunge aina hii bungeni,kazi yao kulipwa na kutukana au kudhalilisha wabunge makini ambao wanakwenda kinyume na mafisadi serikalini,kwa hali hii hii nchi itachezewa sana
Mtu darasa la saba amepata uelewa na weledi kiasi kutokana na kuwepo bungeni kwa muda mrefu hadi ameamini ana weledi sawa na msomi wa shahada ya uzamivu. Kujiamini huko kwa kupitiliza kunaonyesha bado ni mjinga.Sioni faida ya kuwa na wabunge aina hii bungeni,kazi yao kulipwa na kutukana au kudhalilisha wabunge makini ambao wanakwenda kinyume na mafisadi serikalini,kwa hali hii hii nchi itachezewa sana
Ajue kusoma na kuandika.Katiba inasemaje kuhusu Criteria za kuwa Mbunge?
Yaani kwa wabunge aina ya musukuma, kishimba n.k, tuna hasara taslimu kama Taifa.Sioni faida ya kuwa na wabunge aina hii bungeni,kazi yao kulipwa na kutukana au kudhalilisha wabunge makini ambao wanakwenda kinyume na mafisadi serikalini,kwa hali hii hii nchi itachezewa sana
Kigezo mojawapo cha kuwa Mbunge au Diwani ni kujua Kusoma na Kuandika.Sioni faida ya kuwa na wabunge aina hii bungeni,kazi yao kulipwa na kutukana au kudhalilisha wabunge makini ambao wanakwenda kinyume na mafisadi serikalini,kwa hali hii hii nchi itachezewa sana
Kujua kusoma na kuandika.Katiba inasemaje kuhusu Criteria za kuwa Mbunge?
Tunapambana kupata katiba mpyaKatiba inasemaje kuhusu Criteria za kuwa Mbunge?
Hovyo kabisaLa Saba B
Si kweli,huyo ni mlopokaji tuMsukuma ana kipaji cha uongozi sema tu elimu ya darasani hana. Ana maono kumshinda professor.
Sidhani kama ni la saba.Hao watakuwa walipelekwa "orientation course" ya kuwaandaa kuanza chekechea ndiyo wakatorokea mjini.La Saba B
HakikaKigezo mojawapo cha kuwa Mbunge au Diwani ni kujua Kusoma na Kuandika.
Ikiwa kila kata ina Sekondari na bado tunachagua wabunge wa drs la 7, There's something wrong.
Na haijatoa muendelezo kwamba ni kusoma vizuri tena kwa madoido mengi na kujua kuandika kwa hati safi kwa kuelewa na kueleweka kwa lugha ya kiswahili na kiingereza. Na haijatamka kuhusu kujua hesabu na hisabati.Kujua kusoma na kuandika.
Shida ni Wananchi huyu Msukuma ni mjinga sana tena sana hana akili hata moja.Kigezo mojawapo cha kuwa Mbunge au Diwani ni kujua Kusoma na Kuandika.
Ikiwa kila kata ina Sekondari na bado tunachagua wabunge wa drs la 7, There's something wrong.
ameshawahi kuona kitu gani?Msukuma ana kipaji cha uongozi sema tu elimu ya darasani hana. Ana maono kumshinda professor.