Kusitishwa Msaada wa Marekani Uwe Mwanzo wa Kusitishwa Mingine

wewe umeng'ang'ana na wamarekani tu, tayari kuna nchi nyingine nazo zimesitisha sasa unasemaje?. Ukiukwaji wa sheria tulizokubaliana sisi wenyewe na viongozi kuapa kuzilinda ndio laana inayotupata sasa. Kiapo si cha kuchezea
 
Aliyezoea kubong'oa fasta hayupo, na wao hawajazoea kumbong'olesha mtu kwa nguvu! Anko Magu kagoma kubong'oa watu wachezee chetezo!:(
 
Natumaini wanaweza kuprint hii wakampenyezea mkuu aone; au ngoja nimpenyezee mwenyewe... :cool::cool::cool:
Tatizo sio misaada, tatizo ni uhusiano wa kidiplomasia na nchi nyingine duniani...we can't live like we are in an isolated island....

Wakati hatujapiga hatua yeyote kiuchumi mnataka kutuaminisha kuwa hamwataki Kwa sababu ya misaada Yao....hell no...

Mahaba upofu...
 
Tatizo sio misaada, tatizo ni uhusiano wa kidiplomasia na nchi nyingine duniani...we can't live like we are in an isolated island....

Wakati hatujapiga hatua yeyote kiuchumi mnataka kutuaminisha kuwa hamwataki Kwa sababu ya misaada Yao....hell no...

Mahaba upofu...

Ni vigezo gani umetumia kuhitimisha hivyo?

Hata bila kufanya utafiti ujio wa wageni nchini, tena wakuu wa nchi za nje na wanadeplomasia wanaoheshimika, ni ishara tosha kuwa mahusiano ya Tz na nchi za nje yako vizuri.

Isitoshe, nchi inapaawa kuwa na kiongozi mwenye msimamo wa kutetea maslahi ya nchi yake. Marekani ni mfano mzuri.
 
Sisi ndio tunawahitaji wao zaidi kuliko wao wanavyotuhitaji sisi huo ndio ukweli!
Haya mawazo jamani tutayaacha lini. Huo ni mfumo tu walitengeneza ila unaweza kuvunjwa na tukaishi kwa uhuru kama tutakavyo. Itakuwa taabu lakini baadae tutatoboa, sema unakuta watu wenye mawazo kama yako ndio wako ngazi za maamuzi. So sad
 
Haya mawazo jamani tutayaacha lini. Huo ni mfumo tu walitengeneza ila unaweza kuvunjwa na tukaishi kwa uhuru kama tutakavyo. Itakuwa taabu lakini baadae tutatoboa, sema unakuta watu wenye mawazo kama yako ndio wako ngazi za maamuzi. So sad
Ungenipa mifano ya nchi za Africa zilizofanikiwa kuvunja huo mfumo ningekuelewa vizuri na ulivyoandika itakuwa taabu mwanzoni baada ya kuvunja je unafikiri tupo tayari kuivumilia hiyo taabu?
 
Back
Top Bottom