😂😂😂😂Kura sifuri...? Hata ya mgombea isionekane?
Enewei.... siijui jinsia yako, ila unahitaji kuolewa bila kujali jinsia
Gentleman nafuatilia kwa karibu zaid wanainchi wachapa kazi nchini na asiwepo wa kuvuruga amani na utulivu wao wanapoendelea na shughuli zao kwa bidii🐒Mfuatilie mbunge wa Mbogwe... mfuatilie Nape... Na hata kauli zako wewe mwenyewe...
Kifupi ni kwamba wananchi wapige kura ama wasipige ccm mtashinda tu!
Sasa kama ndivyo? Kwanini mnahamasisha uchaguzi?
Waoneeni wananchi huruma. Hizo trillioni mnapanga kutumia kwenye uchaguzi elekezeni kwenye matumizi mengine!
Wapeni pia HAKI! Na mpunguze kuiba!Gentleman nafuatilia kwa karibu zaid wanainchi wachapa kazi nchini na asiwepo wa kuvuruga amani na utulivu wao wanapoendelea na shughuli zao kwa bidii🐒
mazuzu wanaibiwa kivipi?huenda ni mazuzu pekee ndio huibiwa kura gentleman 🐒