Kupata kura ziro kwenye uchaguzi ni uamuzi wa kidemokrasia wa wananchi na sio kuibiwa kura kama inavyopotoshwa na wanaokataliwa

Unaongelea hao wasimamizi walimu waliotishwa na ma - DED na ma-DC ili wapige kura kujaza masanduku au kujaza fomu za matokeo bila hata kuzihesabu ili kuisaidia ccm iliyozeeka na kuchuja?
Zama hizi utamdanganya nani?
Kama mnakubalika kwa nini hamtaki tume huru ya uchaguzi iwepo ili mshinde kwa haki?
Gentleman,
tume huru ya Taifa ya Uchaguzi Tanzania ipo kwa mijibu wa katiba, itaendelea kuwepo na kusimamia chaguzi zote za kikatiba Tanzania bila kuzingatia matakwa binafsi, mayowe wala makelele ya kibaka au tapeli wa kisiasa nchini,

Tume ya mapenzi na matakwa yako binafsi na chama chako ikasimamie chaguzi za familia yako pekee na sio ndio iwe ya waTanzania.

Hata hivyo,
Chaguzi zote za Tanazania zitaendelea kusimamiwa na waTanzania wenyewe na si vinginevyo.

Hili ukamueleze hata mwenyekiti wa chama chako 🐒
 
Gentleman,
Fujo kwenye kituo cha kupigia kura ni kinyume na sheria gentleman,
ni msimamizi wa uchaguz pekee ndio mwenye mamlaka ya kutangaza matokeo ya kura za wagombea wote na kumtaja mshindi,

na si vinginevyo 🐒
Kama ni hivyo mbona Tulia kakuchukuliwa hatua kwa kujitangaza kabla ya muda wa kupiga kura haujaisha! Mbona msimamizi alimtangaza Mbowe kutoshinda wakati upigaji unaendelea!
 
Tunakaa nyumbani kweli lakini ajabu kituoni mawakala wanapiga kura! Kituo wameenda watu 100 kura zimepigwa 369! Aina hii ya siasa mpaka lini? Mbona ccm na vyombo wamekosa aibu?
Yes gentleman,
kaeni kwa amani sana manyumbani kwenye TV's, huku mkijua fika kwamba dhana na nadharia potofu kuhusu uchaguzi huru, wa wazi na wa haki Tanazania, hazibadili chochote wala kuzuia uchaguzi kufanyika.

Muelezeni na mwenyekiti wa chama chenu bili kumficha 🐒
 


 
Kama ni hivyo mbona Tulia kakuchukuliwa hatua kwa kujitangaza kabla ya muda wa kupiga kura haujaisha! Mbona msimamizi alimtangaza Mbowe kutoshinda wakati upigaji unaendelea!
malalamiko binafsi ni vizuri yakapelekwa mahali husika gentleman,

chaguzi za Tanzania ni kwaajili ya waTanzania wote, akishindwa uchaguzi mtu moja au wawili haimaanishi Tanzania imeshindwa, hiyo ni demokrasia 🐒
 
Yes gentleman,
kaeni kwa amani sana manyumbani kwenye TV's, huku mkijua fika kwamba dhana na nadharia potofu kuhusu uchaguzi huru, wa wazi na wa haki Tanazania, hazibadili chochote wala kuzuia uchaguzi kufanyika.

Muelezeni na mwenyekiti wa chama chenu bili kumficha 🐒
Tambeni! Siku wabongo wakiamka mtatafutana!
 
Unabisha nini? Uchaguzi uitishwe hata sasa, weka mizani kura zipigwe kwa uhuru na uwazi uone matokeo. Nakuambia chama chako kikongwe ndicho kitakachopumzishwa, na msipokuwa wamoja kitapotea kwenye siasa kama KANU ya Kenya. Malalamiko ni ya kweli mkuu wangu
 
Andishi refu lakini pumba tupu.
Hizi ngonjera kawasimulie hapo lumumba tu walipo wajinga wenzio.
Chaguzi kila mtu kazishuhudia na wengine ndugu zetu wamekuwa wasimamizi na ujinga wote uliofanyikq wameusema hadharani.
Wasimamizi wamelazimishwa kujigeuza wapiga kura kwa msaada wa dola na maeneo mengi hata zoezi la kuhesabu kura halikufanyika bali kujaza kura tu ili kuibeba ccm.
Relax gentleman,
hivi nawe ni miongoni mwa lile kundi la perfect saints waropokaji eeh,

wenye chuki na mihemko dhidi ya ukweli, right?🐒
 
Mgombea wa chama chochote cha siasa kuchaguliwa na mpiga kura hua ni hiyari, uhuru na haki ya mwananchi mpiga kura. Mgombea wa cha siasa kukataliwa na wananchi kwa kuambulia kura zero, sio kuibiwa kura ila ndiyo hali halisi ya mgombea husika mbele ya wapiga kura. Ni muhimu sana kwa wagombea wanao kataliwa na wananchi kwa kuambulia kura zero, kukubali hali hiyo halisi na daima kua wangwana na kujipanga upya na chaguzi nyingine zijazo. Huenda mgombea uongozi huyo hajaeleweka vyema na kukubalika kwa wananchi kwa wakati huo.

Kama taifa la kidemokrasia Tanzania,
ni vizuri kujiepusha na dhana au nadharia potofu ya kuibiwa kura hali ya kua hukupigiwa kura wala hukuchaguliwa na mpiga kura yeyote eneo mahalia la kupigia kura. Ni upotoshaji wa kiwango cha juu sana kudai kuibiwa kitu ambacho huna, hususani kura zero. Ni vizuri kukubali kwamba ukikataliwa au ukikubaliwa na wananchi hiyo ndio demokrasia yenyewe.

Tunapoelekea kwenye uchaguzi mkuu wa kihistoria Tanzania, uchaguzi ambao utakua ni huru zaidi, wa wazi zaidi na wa haki zaidi ya chaguzi zote ziliozowahi kufanyika Tanzania tangu tupate uhuru, ni vizuri sana wagombea wa vyama vyote vya kisiasa, katika nafasi zote urais, ubunge na udiwani, kujiandaa na hali hiyo ya matokeo ya uchaguzi ya ama kukataliwa vibaya sana na wanachi au kukubaliwa sana na wananchi, bila kusingizia kuibiwa usichokua nacho na kusababisha fujo.

Vyama vyote vya siasa nchini na wagombea uongozi wao kwenye Uchaguzi mkuu ni vema kujiandaa kikamilifu kupokea matokeo yao ya kukubaliwa au kukataliwa kwa kura zero na wananchi kwa amani

Mungu Ibariki Tanzania
Hivi mtatufanya wajinga mpaka lini???????
 
Unabisha nini? Uchaguzi uitishwe hata sasa, weka mizani kura zipigwe kwa uhuru na uwazi uone matokeo. Nakuambia chama chako kikongwe ndicho kitakachopumzishwa, na msipokuwa wamoja kitapotea kwenye siasa kama KANU ya Kenya. Malalamiko ni ya kweli mkuu wangu
hakuna ubishi kwenye andiko hili muhimu lililosheheni ukweli mtupu gentleman,

huna haja ya kujipiga kifua kwa mihemko,
uchaguzi mkuu wa huru, wa haki, wa wazi na wa kihistoria Tanzania ni baadae October mwaka huu.

Usipange kukosa kutumia haki yako ya msingi kikatiba 🐒
 
Mgombea wa chama chochote cha siasa kuchaguliwa na mpiga kura hua ni hiyari, uhuru na haki ya mwananchi mpiga kura. Mgombea wa cha siasa kukataliwa na wananchi kwa kuambulia kura zero, sio kuibiwa kura ila ndiyo hali halisi ya mgombea husika mbele ya wapiga kura. Ni muhimu sana kwa wagombea wanao kataliwa na wananchi kwa kuambulia kura zero, kukubali hali hiyo halisi na daima kua wangwana na kujipanga upya na chaguzi nyingine zijazo. Huenda mgombea uongozi huyo hajaeleweka vyema na kukubalika kwa wananchi kwa wakati huo.

Kama taifa la kidemokrasia Tanzania,
ni vizuri kujiepusha na dhana au nadharia potofu ya kuibiwa kura hali ya kua hukupigiwa kura wala hukuchaguliwa na mpiga kura yeyote eneo mahalia la kupigia kura. Ni upotoshaji wa kiwango cha juu sana kudai kuibiwa kitu ambacho huna, hususani kura zero. Ni vizuri kukubali kwamba ukikataliwa au ukikubaliwa na wananchi hiyo ndio demokrasia yenyewe.

Tunapoelekea kwenye uchaguzi mkuu wa kihistoria Tanzania, uchaguzi ambao utakua ni huru zaidi, wa wazi zaidi na wa haki zaidi ya chaguzi zote ziliozowahi kufanyika Tanzania tangu tupate uhuru, ni vizuri sana wagombea wa vyama vyote vya kisiasa, katika nafasi zote urais, ubunge na udiwani, kujiandaa na hali hiyo ya matokeo ya uchaguzi ya ama kukataliwa vibaya sana na wanachi au kukubaliwa sana na wananchi, bila kusingizia kuibiwa usichokua nacho na kusababisha fujo.

Vyama vyote vya siasa nchini na wagombea uongozi wao kwenye Uchaguzi mkuu ni vema kujiandaa kikamilifu kupokea matokeo yao ya kukubaliwa au kukataliwa kwa kura zero na wananchi kwa amani

Mungu Ibariki Tanzania
Nipo Goba kwa Bedui, kwenye uchaguzi wa s/mitaa mjumbe wangu alipata ziro hata kura niliyopiga mwenyewe haikuonekana.
Don't please be an imbecile.
 
Nipo Goba kwa Bedui, kwenye uchaguzi wa s/mitaa mjumbe wangu alipata ziro hata kura niliyopiga mwenyewe haikuonekana.
Don't please be an imbecile.
huenda alikosea kuweka alama ya vema kwenye kisanduku sahihi badala aweke vema kwake akaweka kwa mgombea uongozi mwingine,

mambo haya hutokea mara nyingine gentleman, ni kawaida sana kwenye Demokrasia🐒
 
Back
Top Bottom