Kupata kura ziro kwenye uchaguzi ni uamuzi wa kidemokrasia wa wananchi na sio kuibiwa kura kama inavyopotoshwa na wanaokataliwa

Tlaatlaah

JF-Expert Member
May 18, 2023
27,710
27,002
Mgombea wa chama chochote cha siasa kuchaguliwa na mpiga kura hua ni hiyari, uhuru na haki ya mwananchi mpiga kura. Mgombea wa cha siasa kukataliwa na wananchi kwa kuambulia kura zero, sio kuibiwa kura ila ndiyo hali halisi ya mgombea husika mbele ya wapiga kura. Ni muhimu sana kwa wagombea wanao kataliwa na wananchi kwa kuambulia kura zero, kukubali hali hiyo halisi na daima kua wangwana na kujipanga upya na chaguzi nyingine zijazo. Huenda mgombea uongozi huyo hajaeleweka vyema na kukubalika kwa wananchi kwa wakati huo.

Kama taifa la kidemokrasia Tanzania,
ni vizuri kujiepusha na dhana au nadharia potofu ya kuibiwa kura hali ya kua hukupigiwa kura wala hukuchaguliwa na mpiga kura yeyote eneo mahalia la kupigia kura. Ni upotoshaji wa kiwango cha juu sana kudai kuibiwa kitu ambacho huna, hususani kura zero. Ni vizuri kukubali kwamba ukikataliwa au ukikubaliwa na wananchi hiyo ndio demokrasia yenyewe.

Tunapoelekea kwenye uchaguzi mkuu wa kihistoria Tanzania, uchaguzi ambao utakua ni huru zaidi, wa wazi zaidi na wa haki zaidi ya chaguzi zote ziliozowahi kufanyika Tanzania tangu tupate uhuru, ni vizuri sana wagombea wa vyama vyote vya kisiasa, katika nafasi zote urais, ubunge na udiwani, kujiandaa na hali hiyo ya matokeo ya uchaguzi ya ama kukataliwa vibaya sana na wanachi au kukubaliwa sana na wananchi, bila kusingizia kuibiwa usichokua nacho na kusababisha fujo.

Vyama vyote vya siasa nchini na wagombea uongozi wao kwenye Uchaguzi mkuu ni vema kujiandaa kikamilifu kupokea matokeo yao ya kukubaliwa au kukataliwa kwa kura zero na wananchi kwa amani

Mungu Ibariki Tanzania
 
Mgombea wa chama chochote cha siasa kuchaguliwa na mpiga kura hua ni hiyari, uhuru na haki ya mwananchi mpiga kura. Mgombea wa cha siasa kukataliwa na wananchi kwa kuambulia kura zero, sio kuibiwa kura ila ndiyo hali halisi ya mgombea husika mbele ya wapiga kura. Ni muhimu sana kwa wagombea wanao kataliwa na wananchi kwa kuambulia kura zero, kukubali hali hiyo halisi na daima kua wangwana na kujipanga upya na chaguzi nyingine zijazo. Huenda mgombea uongozi huyo hajaeleweka vyema na kukubalika kwa wananchi kwa wakati huo.

Kama taifa la kidemokrasia Tanzania,
ni vizuri kujiepusha na dhana au nadharia potofu ya kuibiwa kura hali ya kua hukupigiwa kura wala hukuchaguliwa na mpiga kura yeyote eneo mahalia la kupigia kura. Ni upotoshaji wa kiwango cha juu sana kudai kuibiwa kitu ambacho huna, hususani kura zero. Ni vizuri kukubali kwamba ukikataliwa au ukikubaliwa na wananchi hiyo ndio demokrasia yenyewe.

Tunapoelekea kwenye uchaguzi mkuu wa kihistoria Tanzania, uchaguzi ambao utakua ni huru zaidi, wa wazi zaidi na wa haki zaidi ya chaguzi zote ziliozowahi kufanyika Tanzania tangu tupate uhuru, ni vizuri sana wagombea wa vyama vyote vya kisiasa, katika nafasi zote urais, ubunge na udiwani, kujiandaa na hali hiyo ya matokeo ya uchaguzi ya ama kukataliwa vibaya sana na wanachi au kukubaliwa sana na wananchi, bila kusingizia kuibiwa usichokua nacho na kusababisha fujo.

Vyama vyote vya siasa nchini na wagombea uongozi wao kwenye Uchaguzi mkuu ni vema kujiandaa kikamilifu kupokea matokeo yao ya kukubaliwa au kukataliwa kwa kura zero na wananchi kwa amani 🐒

Mungu Ibariki Tanzania
Unahangaika bure. Hata wana CCM wenyewe wanasema wanaiba kura.
 
Mgombea wa chama chochote cha siasa kuchaguliwa na mpiga kura hua ni hiyari, uhuru na haki ya mwananchi mpiga kura. Mgombea wa cha siasa kukataliwa na wananchi kwa kuambulia kura zero, sio kuibiwa kura ila ndiyo hali halisi ya mgombea husika mbele ya wapiga kura. Ni muhimu sana kwa wagombea wanao kataliwa na wananchi kwa kuambulia kura zero, kukubali hali hiyo halisi na daima kua wangwana na kujipanga upya na chaguzi nyingine zijazo. Huenda mgombea uongozi huyo hajaeleweka vyema na kukubalika kwa wananchi kwa wakati huo.

Kama taifa la kidemokrasia Tanzania,
ni vizuri kujiepusha na dhana au nadharia potofu ya kuibiwa kura hali ya kua hukupigiwa kura wala hukuchaguliwa na mpiga kura yeyote eneo mahalia la kupigia kura. Ni upotoshaji wa kiwango cha juu sana kudai kuibiwa kitu ambacho huna, hususani kura zero. Ni vizuri kukubali kwamba ukikataliwa au ukikubaliwa na wananchi hiyo ndio demokrasia yenyewe.

Tunapoelekea kwenye uchaguzi mkuu wa kihistoria Tanzania, uchaguzi ambao utakua ni huru zaidi, wa wazi zaidi na wa haki zaidi ya chaguzi zote ziliozowahi kufanyika Tanzania tangu tupate uhuru, ni vizuri sana wagombea wa vyama vyote vya kisiasa, katika nafasi zote urais, ubunge na udiwani, kujiandaa na hali hiyo ya matokeo ya uchaguzi ya ama kukataliwa vibaya sana na wanachi au kukubaliwa sana na wananchi, bila kusingizia kuibiwa usichokua nacho na kusababisha fujo.

Vyama vyote vya siasa nchini na wagombea uongozi wao kwenye Uchaguzi mkuu ni vema kujiandaa kikamilifu kupokea matokeo yao ya kukubaliwa au kukataliwa kwa kura zero na wananchi kwa amani 🐒

Mgombea wa chama chochote cha siasa kuchaguliwa na mpiga kura hua ni hiyari, uhuru na haki ya mwananchi mpiga kura. Mgombea wa cha siasa kukataliwa na wananchi kwa kuambulia kura zero, sio kuibiwa kura ila ndiyo hali halisi ya mgombea husika mbele ya wapiga kura. Ni muhimu sana kwa wagombea wanao kataliwa na wananchi kwa kuambulia kura zero, kukubali hali hiyo halisi na daima kua wangwana na kujipanga upya na chaguzi nyingine zijazo. Huenda mgombea uongozi huyo hajaeleweka vyema na kukubalika kwa wananchi kwa wakati huo.

Kama taifa la kidemokrasia Tanzania,
ni vizuri kujiepusha na dhana au nadharia potofu ya kuibiwa kura hali ya kua hukupigiwa kura wala hukuchaguliwa na mpiga kura yeyote eneo mahalia la kupigia kura. Ni upotoshaji wa kiwango cha juu sana kudai kuibiwa kitu ambacho huna, hususani kura zero. Ni vizuri kukubali kwamba ukikataliwa au ukikubaliwa na wananchi hiyo ndio demokrasia yenyewe.

Tunapoelekea kwenye uchaguzi mkuu wa kihistoria Tanzania, uchaguzi ambao utakua ni huru zaidi, wa wazi zaidi na wa haki zaidi ya chaguzi zote ziliozowahi kufanyika Tanzania tangu tupate uhuru, ni vizuri sana wagombea wa vyama vyote vya kisiasa, katika nafasi zote urais, ubunge na udiwani, kujiandaa na hali hiyo ya matokeo ya uchaguzi ya ama kukataliwa vibaya sana na wanachi au kukubaliwa sana na wananchi, bila kusingizia kuibiwa usichokua nacho na kusababisha fujo.

Vyama vyote vya siasa nchini na wagombea uongozi wao kwenye Uchaguzi mkuu ni vema kujiandaa kikamilifu kupokea matokeo yao ya kukubaliwa au kukataliwa kwa kura zero na wananchi kwa amani 🐒

Mungu Ibariki Tanzania
Wewe ndo unapotosha uszani wananchi hatujui madudu yaliyomo
Unaposema kura 0 wakati mgombea mwenyewe kajipigia kura inamaana kura yake imeenda wapi mpaka iwe zero?
 
tatizo linakuja hata ile kura moja uliyojipigia mwenyewe haionekani, ikiwa hivyo unaona sawa? kama si sawa hapa ndiyo msingi wa madai ya tume huru yanapokuwa na mantiki.
Hilo sio Tatizo gentleman,
kwani hata mgombea uongozi kwenye Uchaguzi, unaruhusiwa kumpigia kura mgombea uongozi mwingine nawe ukaambulia kure zero,

so gentleman,
huna haja ya kupotosha ati umeibia wakati hukupata kura hata moja na kwahivyo utaibiwaje?🐒
 
Mgombea wa chama chochote cha siasa kuchaguliwa na mpiga kura hua ni hiyari, uhuru na haki ya mwananchi mpiga kura. Mgombea wa cha siasa kukataliwa na wananchi kwa kuambulia kura zero, sio kuibiwa kura ila ndiyo hali halisi ya mgombea husika mbele ya wapiga kura. Ni muhimu sana kwa wagombea wanao kataliwa na wananchi kwa kuambulia kura zero, kukubali hali hiyo halisi na daima kua wangwana na kujipanga upya na chaguzi nyingine zijazo. Huenda mgombea uongozi huyo hajaeleweka vyema na kukubalika kwa wananchi kwa wakati huo.

Kama taifa la kidemokrasia Tanzania,
ni vizuri kujiepusha na dhana au nadharia potofu ya kuibiwa kura hali ya kua hukupigiwa kura wala hukuchaguliwa na mpiga kura yeyote eneo mahalia la kupigia kura. Ni upotoshaji wa kiwango cha juu sana kudai kuibiwa kitu ambacho huna, hususani kura zero. Ni vizuri kukubali kwamba ukikataliwa au ukikubaliwa na wananchi hiyo ndio demokrasia yenyewe.

Tunapoelekea kwenye uchaguzi mkuu wa kihistoria Tanzania, uchaguzi ambao utakua ni huru zaidi, wa wazi zaidi na wa haki zaidi ya chaguzi zote ziliozowahi kufanyika Tanzania tangu tupate uhuru, ni vizuri sana wagombea wa vyama vyote vya kisiasa, katika nafasi zote urais, ubunge na udiwani, kujiandaa na hali hiyo ya matokeo ya uchaguzi ya ama kukataliwa vibaya sana na wanachi au kukubaliwa sana na wananchi, bila kusingizia kuibiwa usichokua nacho na kusababisha fujo.

Vyama vyote vya siasa nchini na wagombea uongozi wao kwenye Uchaguzi mkuu ni vema kujiandaa kikamilifu kupokea matokeo yao ya kukubaliwa au kukataliwa kwa kura zero na wananchi kwa amani 🐒

Mungu Ibariki Tanzania
Wapiga kura wepi hao,watu hawataki kupiga kura sababu no delivery
 
Mgombea wa chama chochote cha siasa kuchaguliwa na mpiga kura hua ni hiyari, uhuru na haki ya mwananchi mpiga kura. Mgombea wa cha siasa kukataliwa na wananchi kwa kuambulia kura zero, sio kuibiwa kura ila ndiyo hali halisi ya mgombea husika mbele ya wapiga kura. Ni muhimu sana kwa wagombea wanao kataliwa na wananchi kwa kuambulia kura zero, kukubali hali hiyo halisi na daima kua wangwana na kujipanga upya na chaguzi nyingine zijazo. Huenda mgombea uongozi huyo hajaeleweka vyema na kukubalika kwa wananchi kwa wakati huo.

Kama taifa la kidemokrasia Tanzania,
ni vizuri kujiepusha na dhana au nadharia potofu ya kuibiwa kura hali ya kua hukupigiwa kura wala hukuchaguliwa na mpiga kura yeyote eneo mahalia la kupigia kura. Ni upotoshaji wa kiwango cha juu sana kudai kuibiwa kitu ambacho huna, hususani kura zero. Ni vizuri kukubali kwamba ukikataliwa au ukikubaliwa na wananchi hiyo ndio demokrasia yenyewe.

Tunapoelekea kwenye uchaguzi mkuu wa kihistoria Tanzania, uchaguzi ambao utakua ni huru zaidi, wa wazi zaidi na wa haki zaidi ya chaguzi zote ziliozowahi kufanyika Tanzania tangu tupate uhuru, ni vizuri sana wagombea wa vyama vyote vya kisiasa, katika nafasi zote urais, ubunge na udiwani, kujiandaa na hali hiyo ya matokeo ya uchaguzi ya ama kukataliwa vibaya sana na wanachi au kukubaliwa sana na wananchi, bila kusingizia kuibiwa usichokua nacho na kusababisha fujo.

Vyama vyote vya siasa nchini na wagombea uongozi wao kwenye Uchaguzi mkuu ni vema kujiandaa kikamilifu kupokea matokeo yao ya kukubaliwa au kukataliwa kwa kura zero na wananchi kwa amani 🐒

Mungu Ibariki Tanzania
Uchawa unalipa sana, Mrema RIP alipata kura zero kwenye kituo alichopiga kura. Kwa CCM inawezekana ndo maana umekuja kuleta ushuhuda hapa.
 
Uchawa unalipa sana, Mrema RIP alipata kura zero kwenye kituo alichopiga kura. Kwa CCM inawezekana ndo maana umekuja kuleta ushuhuda hapa.
Ndio,
mambo hayo yapo,
huenda hakutaka kuharibu kura yake ikampasa ampigie mgombea ambae alimuona anafaa zaidi yake, Na kwahivyo hapakua na wizi wa kuiba kura zero.

Hilo ni jambo la kawaida kabisa na la kidemokrasia gentleman 🐒
 
Back
Top Bottom