Kumuoa binti msomi

Msichana anayemkataa mwanaume kwa vile ana kiwango chini yake cha elimu, anakuwa anajitambua. Huyo mwanamke ni wife material haswa! Uzoefu unaonesha kuwa miaka 5 ya kwanza kila kitu kitakuwa sawa ila mbele ya safari hasa baby na darling vikitoweka kinywani hapo inferiority complex ya mume ikikutana na superiority complex ya bibie huleta shida. Kawivu kanakuwepo hasa bibie akikutana na wasomi wenzie au kukumbushana ya mabibo hostel, hall 3 etc. Kwani jiulize, Kwanini ndoa za viongozi hazikawii kuvunjika hasa mama akiwa ni kiongozi. Halafu piga ua akinamama hupenda kutoa introduction kuwa huyu mume wangu ni mtendaji wa kijiji (wakati yeye mama akiwa mkulima) siyo awe afisa tarafa na aseme mume wangu ni dereva bajaji.
Atakae kuoa wewe ana hasara sana.
 
Of course wanawake kabla hawajapigwa zile mimba za kijinga huwa wanakuwa wana mawazo ya ramli sana. Wakishapigwa mimba ndio akili zinaanza kuwa active..... Wanakuwa wanafikiria sawa.
Hasa wadada wa chuo wakiwa chuo wanadanganywa na wavulana wajanja ila kosa waje mtaani maringo Kama yote...

"We utanipeleka wapi mtu mwenyewe huna hata elimu"
 
Mtoa mada kamanisha jinsia me, lakini elimu katka mahusiano au ndoa si chochote Cha msingi mridhiane, mwanamke hata akiwa msomi mkiridhiana mtaishi vzr tu...hebu acheni kuwaogopa wasomi nao wanahisia na wanahitaji kupendwa pia.
 
Mtoa mada kamanisha jinsia me, lakini elimu katka mahusiano au ndoa si chochote Cha msingi mridhiane, mwanamke hata akiwa msomi mkiridhiana mtaishi vzr tu...hebu acheni kuwaogopa wasomi nao wanahisia na wanahitaji kupendwa pia.
Wasomi nao pia waache kuringia elimu mapenzi ni hisia za kweli za MTU mmoja kwa mwenzake bila kujali kiwango cha elimu hali ya maisha na utamaduni husika
 
Pesa ndo hudumisha mapenz kama hazipo lazima yayumbe na kupewa maneno ya kashfa,
Wazee wa zamani walipendana kwa moyo mmoja na kutafuta pesa pamoja wakifurahia mapenzi Leo hii imekuwa tofauti bila pesa no long lasting relationship
 
Wazee wa zamani walipendana kwa moyo mmoja na kutafuta pesa pamoja wakifurahia mapenzi Leo hii imekuwa tofauti bila pesa no long lasting relationship

Saivi maisha yamebadilika sana, mtapendana vizuri akiwa under 20, akivuka apo huna pesa umeisha
 
Wasomi nao pia waache kuringia elimu mapenzi ni hisia za kweli za MTU mmoja kwa mwenzake bila kujali kiwango cha elimu hali ya maisha na utamaduni husika
Tafuta unaefanana nae mkuu,uta enjoy na yeye ata enjoy....
 
Mara nyingi katika masuala yanayowapa wakati mgumu vijana katika kuchagua wenza wao. Ni pamoja na suala la kiwango cha elimu walichonayo.

Wasichana wengine huwakataa wavulana kwa kigezo cha elimu waliyonayo? Je mnahisi elimu inaweza kuwa kikwazo cha mahusiano baina ya watu wawili lakini kabla lazima tutambue akili siyo elimu na elimu siyo akili

Mleta mada ni mvulana
Kama hujasoma tafuta ambaye hajasoma au ana shule kidogo and vice versa,kusema ukweli mapenzi yananoga mkiwa na ile kuongea lugha moja sasa standard 7 na angalau diploma story zinaboa in a long run,hata mkifanya argument kuna mmoja atahisi anadharauliwa
 
Kwani aliyesoma 'k' yake inakuwa tamu kuliko ya yule ambaye hajasoma?
Kama 'k' zao wote utamu ni sawa nitaoa ambaye elimu yake ni ya kiwango cha chini
 
Back
Top Bottom