zagarinojo
JF-Expert Member
- Jul 26, 2020
- 2,622
- 2,842
- Thread starter
- #41
Ila tatizo lipo kwa wanawake zaidiMwanamke au mwanaume anayechagua mwenza kwa vigezo nje ya maagizo ya MUNGU jua hayupo serious na maisha ya uhusiano.
Ila tatizo lipo kwa wanawake zaidiMwanamke au mwanaume anayechagua mwenza kwa vigezo nje ya maagizo ya MUNGU jua hayupo serious na maisha ya uhusiano.
Atakae kuoa wewe ana hasara sana.Msichana anayemkataa mwanaume kwa vile ana kiwango chini yake cha elimu, anakuwa anajitambua. Huyo mwanamke ni wife material haswa! Uzoefu unaonesha kuwa miaka 5 ya kwanza kila kitu kitakuwa sawa ila mbele ya safari hasa baby na darling vikitoweka kinywani hapo inferiority complex ya mume ikikutana na superiority complex ya bibie huleta shida. Kawivu kanakuwepo hasa bibie akikutana na wasomi wenzie au kukumbushana ya mabibo hostel, hall 3 etc. Kwani jiulize, Kwanini ndoa za viongozi hazikawii kuvunjika hasa mama akiwa ni kiongozi. Halafu piga ua akinamama hupenda kutoa introduction kuwa huyu mume wangu ni mtendaji wa kijiji (wakati yeye mama akiwa mkulima) siyo awe afisa tarafa na aseme mume wangu ni dereva bajaji.
Of course wanawake kabla hawajapigwa zile mimba za kijinga huwa wanakuwa wana mawazo ya ramli sana. Wakishapigwa mimba ndio akili zinaanza kuwa active..... Wanakuwa wanafikiria sawa.Ila tatizo lipo kwa wanawake zaidi
Hasa wadada wa chuo wakiwa chuo wanadanganywa na wavulana wajanja ila kosa waje mtaani maringo Kama yote...Of course wanawake kabla hawajapigwa zile mimba za kijinga huwa wanakuwa wana mawazo ya ramli sana. Wakishapigwa mimba ndio akili zinaanza kuwa active..... Wanakuwa wanafikiria sawa.
Wasomi nao pia waache kuringia elimu mapenzi ni hisia za kweli za MTU mmoja kwa mwenzake bila kujali kiwango cha elimu hali ya maisha na utamaduni husikaMtoa mada kamanisha jinsia me, lakini elimu katka mahusiano au ndoa si chochote Cha msingi mridhiane, mwanamke hata akiwa msomi mkiridhiana mtaishi vzr tu...hebu acheni kuwaogopa wasomi nao wanahisia na wanahitaji kupendwa pia.
Umenena vema mkuuWasomi nao pia waache kuringia elimu mapenzi ni hisia za kweli za MTU mmoja kwa mwenzake bila kujali kiwango cha elimu hali ya maisha na utamaduni husika
Ndoa ni kama ubunge tu ujue kusoma na kuandika
Kwa sisi tulioishia form four 🤣🤣 kuoa ni janga!
Pesa ndo hudumisha mapenz kama hazipo lazima yayumbe na kupewa maneno ya kashfa,Kumbe nowdays love is about money
Duh Topic 2
Wazee wa zamani walipendana kwa moyo mmoja na kutafuta pesa pamoja wakifurahia mapenzi Leo hii imekuwa tofauti bila pesa no long lasting relationshipPesa ndo hudumisha mapenz kama hazipo lazima yayumbe na kupewa maneno ya kashfa,
Wazee wa zamani walipendana kwa moyo mmoja na kutafuta pesa pamoja wakifurahia mapenzi Leo hii imekuwa tofauti bila pesa no long lasting relationship
Sasa kijana wa maskani unaoa ili iweje?Yeah naelewa lakini dada hawa wasomi hupenda wavulana wasomi pia....ni ngumu kupata msichana aliye na elimu yake kaolewa na jamaa wa maskani asiye na elimu
Tafuta unaefanana nae mkuu,uta enjoy na yeye ata enjoy....Wasomi nao pia waache kuringia elimu mapenzi ni hisia za kweli za MTU mmoja kwa mwenzake bila kujali kiwango cha elimu hali ya maisha na utamaduni husika
Nina hakika utarudi humu kuomba msaada huku ukilia lia hapaNina karibia kuoa mwanamke msomi kabisa muda si mwingi vijana msiogope kuo a mwanamke aliekuzid kidogo kielemu ila tafuta Alie na hofu na Mungu kwanza
Kama hujasoma tafuta ambaye hajasoma au ana shule kidogo and vice versa,kusema ukweli mapenzi yananoga mkiwa na ile kuongea lugha moja sasa standard 7 na angalau diploma story zinaboa in a long run,hata mkifanya argument kuna mmoja atahisi anadharauliwaMara nyingi katika masuala yanayowapa wakati mgumu vijana katika kuchagua wenza wao. Ni pamoja na suala la kiwango cha elimu walichonayo.
Wasichana wengine huwakataa wavulana kwa kigezo cha elimu waliyonayo? Je mnahisi elimu inaweza kuwa kikwazo cha mahusiano baina ya watu wawili lakini kabla lazima tutambue akili siyo elimu na elimu siyo akili
Mleta mada ni mvulana
Hujakutana na darasa la nne D halafu jeuriWanawake wasomi huwa wanakuwa watetezi wa haki za binadamu ndani ya ndoa,yaani ndoa inatakiwa iheshimu haki za binadamu ndani yaki.
Hili neno 'my' sio sahihi kutumiwa na mwanaumeNdio ni wavulana my ❤️