KadogooCate
JF-Expert Member
- Dec 16, 2017
- 484
- 1,099
Ndoa ni kama ubunge tu ujue kusoma na kuandikaKwani maisha ya ndoa yanahitaji kiwango gani cha elimu
Ndoa ni kitu ambacho hakihitaji wenye elimu ila kinahitaji walio tayari kuridhiana na kupendana katika hali zote