Kuelekea 2025 Kumekucha CCM: Nape na Makamba 'waula', walitumbuliwa ili kutambuliwa

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Acha uongo! Kuna watu wanaendelea kupukutishwa soon
Wale wa TCRA na TTCL walioandika mabango ya pongezi kwa Nape unadhani Peter Ulanga au Justina Mashiba wako salama? 😁
Wale walio karibu na Janaury Makamba na timu yake ambao wamekuwa kutwa nzima ni kumbrand kuliko Rais wenyewe na wale Mawaziri marafiki zake Mfano mapingili akiponea hapa baaasi hatarudia upuuzi wa kumbrand Mtanga mwenzake,

Account za bwana mmoja ambaye ana 81B alizokuwa akibadilisha kwa dollars kama njugu wamei freeze hapo kwenye Ngamia mchangani


Kwa kifupi mambo si mambo hapa ikulu


Britanicca
Wewe mchawi siku hizi nimeanza kukuogopa ingawa nasubiri uniambie ni lini nitaitwa kwenda kuwa waziri wa fedha. Hizo 81B ni za makato kutoka mikopo inayopokelewa na serikali?
 
Acha uongo! Kuna watu wanaendelea kupukutishwa soon
Wale wa TCRA na TTCL walioandika mabango ya pongezi kwa Nape unadhani Peter Ulanga au Justina Mashiba wako salama? 😁
Wale walio karibu na Janaury Makamba na timu yake ambao wamekuwa kutwa nzima ni kumbrand kuliko Rais wenyewe na wale Mawaziri marafiki zake Mfano mapingili akiponea hapa baaasi hatarudia upuuzi wa kumbrand Mtanga mwenzake,

Account za bwana mmoja ambaye ana 81B alizokuwa akibadilisha kwa dollars kama njugu wamei freeze hapo kwenye Ngamia mchangani


Kwa kifupi mambo si mambo hapa ikulu


Britanicca
Weee jamaa duh
 
"Mgawanyiko" kati ya nani na nani?

Inapokuja kwenye maslahi binafsi, usitegemee kuona mgawanyiko mahali popote ndani ya chama hicho. Hili ni genge la ulaji, siyo chama cha siasa kinacho pigania maslahi ya wananchi tena.
Kwani hujawahi ona vibaka wamezulumiana kisha wanaamua kuchomana Kwa askari?

Ndicho ninachokiongelea.
 
Kwa Post hii wewe si mvivu.
Wassira kwenye makaratasi ana wasifu mkubwa, ana kitu kikubwa lakini yeye kama walivyo wasomi wengi wa kiafrika matumizi ya elimu yao kutatua changamoto za jamii zao hakuna kitu kabisa.
Output zero, 100% zero output.
Wanajali matumbo yao na familia zao.
 
Wameitwa kwenye kazi maalum
Wakimaliza 2025,wanarudi kwenye nafasi zao
1721766997017.png
 
Kama ilani inatengengezwa na kina Nape na wasira basi nchi hii haitakuja kuendelea kamwe
Sijajua wasomi wa Political Science Nchi wanafanya kazi gani....ilani ya Chama haihitaji wanasiasa ni suala la kuchukua masuala muhimu yaliyotolewa kwenye ya Dira ya Taifa na ile ya Afrika kuyafanyia kazi.
 
Haya ndiyo mambo ya kutumbuliwa ili kutambuliwa. Mawaziri wa zamani Nape Nnauye na January Makamba wamejumuishwa kwenye Kikosi Maalum cha CCM kinachoandaa Ilani ya CCM ya mwaka 2025 hadi 2030. Kikosi hicho kinaongozwa na komredi Stephen Wassira.

Nyaraka za kichama zinaonesha kuwa Nape na Makamba sasa wamejumuishwa kwenye Kikosi hicho ili kuongeza nguvu ya uandaaji wa Ilani ya CCM ya uchaguzi ujao. Kwakuwa Ilani hubeba maono na mipango ya kila sekta, inaaminika kichama kuwa Nape na Makamba watatumia weledi wao kisiasa kupatikana kwa Ilani bora.

Tayari Nape na Makamba 'wameshajitambulisha' kwa Wassira pamoja na wajumbe wengine wa Kikosi hicho. Sasa ni dhahiri kuwa Nape na Makamba wamepumzishwa uwaziri ili kupewa nafasi ya kuisuka Ilani ya CCM. Inasemwa na waandamizi kuwa majukumu ya uwaziri yangewanyima nafasi ya kushiriki kikamilifu katika zoezi hilo.

Weledi na ukomavu wa akina Nape utaunganishwa na wa akina Wassira, Kabudi, Lukuvi na wengineo ili kupata Ilani bora ya CCM-nyaraka muhimu katika kuomba na kueleweka uchaguzini mwaka 2025. Kuna uwezekano mkubwa kuwa wote watarudi barazani baada ya uchaguzi wa 2025 na Kikosi hicho kutunukiwa nafasi ya Waziri Mkuu.

Kampeni zimeshaanza au tusubiri wakati wa uchaguzi?

Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Dodoma)
Huyo Wassira baada ya saa 24 atawakumbuka hao ni akina nani! Kama alishindwa kufunga vizuri koti lake la uzeeni memori bado haijakrashi! CCM hivi sasa imefilisika haina viongozi wenye uwezo wa siasa, tatizo ni kutegemea watoto wa viongozi kukiendesha chama.
 
Hawa wakora wawili wamepumzishwa uwaziri ili wajikite zaidi kubuni mbinu mpya za wizi wa kura kwani imeamuliwa zisitumike mbinu zile zilizozoeleka. Hiyo kusema Ilani ni tafsida tu.
Kwahiyo watu walidhani alitumbuliwa kwa kusema ccm huwa wanaiba kura, kumbe ndo kapelekwa kubuni mbinu mpya za kuiba kura?

Hii kali ya mwaka.
 
Haya ndiyo mambo ya kutumbuliwa ili kutambuliwa. Mawaziri wa zamani Nape Nnauye na January Makamba wamejumuishwa kwenye Kikosi Maalum cha CCM kinachoandaa Ilani ya CCM ya mwaka 2025 hadi 2030. Kikosi hicho kinaongozwa na komredi Stephen Wassira.

Nyaraka za kichama zinaonesha kuwa Nape na Makamba sasa wamejumuishwa kwenye Kikosi hicho ili kuongeza nguvu ya uandaaji wa Ilani ya CCM ya uchaguzi ujao. Kwakuwa Ilani hubeba maono na mipango ya kila sekta, inaaminika kichama kuwa Nape na Makamba watatumia weledi wao kisiasa kupatikana kwa Ilani bora.

Tayari Nape na Makamba 'wameshajitambulisha' kwa Wassira pamoja na wajumbe wengine wa Kikosi hicho. Sasa ni dhahiri kuwa Nape na Makamba wamepumzishwa uwaziri ili kupewa nafasi ya kuisuka Ilani ya CCM. Inasemwa na waandamizi kuwa majukumu ya uwaziri yangewanyima nafasi ya kushiriki kikamilifu katika zoezi hilo.

Weledi na ukomavu wa akina Nape utaunganishwa na wa akina Wassira, Kabudi, Lukuvi na wengineo ili kupata Ilani bora ya CCM-nyaraka muhimu katika kuomba na kueleweka uchaguzini mwaka 2025. Kuna uwezekano mkubwa kuwa wote watarudi barazani baada ya uchaguzi wa 2025 na Kikosi hicho kutunukiwa nafasi ya Waziri Mkuu.

Kampeni zimeshaanza au tusubiri wakati wa uchaguzi?

Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Dodoma)
Ilani za chama cha majizi hazinaga maana, baada ya uchaguzi rais anyepitishwa bila kuchaguliwa huwa ndiye ilani ya chama. Mfano Magufuli akihamishia Dodoma makao makuu bila kutumia ilani ya CCM
 
Haya ndiyo mambo ya kutumbuliwa ili kutambuliwa. Mawaziri wa zamani Nape Nnauye na January Makamba wamejumuishwa kwenye Kikosi Maalum cha CCM kinachoandaa Ilani ya CCM ya mwaka 2025 hadi 2030. Kikosi hicho kinaongozwa na komredi Stephen Wassira.

Nyaraka za kichama zinaonesha kuwa Nape na Makamba sasa wamejumuishwa kwenye Kikosi hicho ili kuongeza nguvu ya uandaaji wa Ilani ya CCM ya uchaguzi ujao. Kwakuwa Ilani hubeba maono na mipango ya kila sekta, inaaminika kichama kuwa Nape na Makamba watatumia weledi wao kisiasa kupatikana kwa Ilani bora.

Tayari Nape na Makamba 'wameshajitambulisha' kwa Wassira pamoja na wajumbe wengine wa Kikosi hicho. Sasa ni dhahiri kuwa Nape na Makamba wamepumzishwa uwaziri ili kupewa nafasi ya kuisuka Ilani ya CCM. Inasemwa na waandamizi kuwa majukumu ya uwaziri yangewanyima nafasi ya kushiriki kikamilifu katika zoezi hilo.

Weledi na ukomavu wa akina Nape utaunganishwa na wa akina Wassira, Kabudi, Lukuvi na wengineo ili kupata Ilani bora ya CCM-nyaraka muhimu katika kuomba na kueleweka uchaguzini mwaka 2025. Kuna uwezekano mkubwa kuwa wote watarudi barazani baada ya uchaguzi wa 2025 na Kikosi hicho kutunukiwa nafasi ya Waziri Mkuu.

Kampeni zimeshaanza au tusubiri wakati wa uchaguzi?

Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Dodoma)
Inawezekana walikuwemo kabla ya kutimuliwa, siamini eti wamechaguliwa baada ya kuondolewa kwenye uwaziri, kama waliowahurumia wamepoteza kazi,kina Maharage na wenzie,siyo rahisi mtu mwingine aibuke na kuwateua. Eti uwaziri ungewanyima nafasi,mbona Rais ni Mwenyekiti na bado ana majukumu ya urais!!
Taarifa ilisema uteuzi wao umetenguliwa na siyo wanakwenda kufanya kazi maalum.
 
Acha uongo! Kuna watu wanaendelea kupukutishwa soon
Wale wa TCRA na TTCL walioandika mabango ya pongezi kwa Nape unadhani Peter Ulanga au Justina Mashiba wako salama? 😁
Wale walio karibu na Janaury Makamba na timu yake ambao wamekuwa kutwa nzima ni kumbrand kuliko Rais wenyewe na wale Mawaziri marafiki zake Mfano mapingili akiponea hapa baaasi hatarudia upuuzi wa kumbrand Mtanga mwenzake,

Account za bwana mmoja ambaye ana 81B alizokuwa akibadilisha kwa dollars kama njugu wamei freeze hapo kwenye Ngamia mchangani


Kwa kifupi mambo si mambo hapa ikulu


Britanicca
Hapa pia Pascal Mayalla
 
Acha uongo! Kuna watu wanaendelea kupukutishwa soon wale Mawaziri marafiki zake Mfano mapingili akiponea hapa baaasi hatarudia upuuzi wa kumbrand Mtanga mwenzake,
Kwa kifupi mambo si mambo hapa ikulu
Britanicca
Mkuu nimekuvulia kofia!, mapingili chini!.
This is not good at all!.
P
 
Back
Top Bottom