Kuelekea 2025 Kumekucha CCM: Nape na Makamba 'waula', walitumbuliwa ili kutambuliwa

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Haya ndiyo mambo ya kutumbuliwa ili kutambuliwa. Mawaziri wa zamani Nape Nnauye na January Makamba wamejumuishwa kwenye Kikosi Maalum cha CCM kinachoandaa Ilani ya CCM ya mwaka 2025 hadi 2030. Kikosi hicho kinaongozwa na komredi Stephen Wassira.

Nyaraka za kichama zinaonesha kuwa Nape na Makamba sasa wamejumuishwa kwenye Kikosi hicho ili kuongeza nguvu ya uandaaji wa Ilani ya CCM ya uchaguzi ujao. Kwakuwa Ilani hubeba maono na mipango ya kila sekta, inaaminika kichama kuwa Nape na Makamba watatumia weledi wao kisiasa kupatikana kwa Ilani bora.

Tayari Nape na Makamba 'wameshajitambulisha' kwa Wassira pamoja na wajumbe wengine wa Kikosi hicho. Sasa ni dhahiri kuwa Nape na Makamba wamepumzishwa uwaziri ili kupewa nafasi ya kuisuka Ilani ya CCM. Inasemwa na waandamizi kuwa majukumu ya uwaziri yangewanyima nafasi ya kushiriki kikamilifu katika zoezi hilo.

Weledi na ukomavu wa akina Nape utaunganishwa na wa akina Wassira, Kabudi, Lukuvi na wengineo ili kupata Ilani bora ya CCM-nyaraka muhimu katika kuomba na kueleweka uchaguzini mwaka 2025. Kuna uwezekano mkubwa kuwa wote watarudi barazani baada ya uchaguzi wa 2025 na Kikosi hicho kutunukiwa nafasi ya Waziri Mkuu.

Kampeni zimeshaanza au tusubiri wakati wa uchaguzi?

Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Dodoma)
Nape na January damu damu we love them till death
 
Haya ndiyo mambo ya kutumbuliwa ili kutambuliwa. Mawaziri wa zamani Nape Nnauye na January Makamba wamejumuishwa kwenye Kikosi Maalum cha CCM kinachoandaa Ilani ya CCM ya mwaka 2025 hadi 2030. Kikosi hicho kinaongozwa na komredi Stephen Wassira.

Nyaraka za kichama zinaonesha kuwa Nape na Makamba sasa wamejumuishwa kwenye Kikosi hicho ili kuongeza nguvu ya uandaaji wa Ilani ya CCM ya uchaguzi ujao. Kwakuwa Ilani hubeba maono na mipango ya kila sekta, inaaminika kichama kuwa Nape na Makamba watatumia weledi wao kisiasa kupatikana kwa Ilani bora.

Tayari Nape na Makamba 'wameshajitambulisha' kwa Wassira pamoja na wajumbe wengine wa Kikosi hicho. Sasa ni dhahiri kuwa Nape na Makamba wamepumzishwa uwaziri ili kupewa nafasi ya kuisuka Ilani ya CCM. Inasemwa na waandamizi kuwa majukumu ya uwaziri yangewanyima nafasi ya kushiriki kikamilifu katika zoezi hilo.

Weledi na ukomavu wa akina Nape utaunganishwa na wa akina Wassira, Kabudi, Lukuvi na wengineo ili kupata Ilani bora ya CCM-nyaraka muhimu katika kuomba na kueleweka uchaguzini mwaka 2025. Kuna uwezekano mkubwa kuwa wote watarudi barazani baada ya uchaguzi wa 2025 na Kikosi hicho kutunukiwa nafasi ya Waziri Mkuu.

Kampeni zimeshaanza au tusubiri wakati wa uchaguzi?

Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Dodoma)

Utolewe kuwa waziri uende kufanya kazi zisizoeleweka useme promotion. Mnakula chakula gani kisicholeta virutubisho siku hizi? 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣
Anayekwenda kwa boss ni nani hapo? Wamepewa kazi sababu ni jobless hawana cha kufanya na baba zao bado wapo hai wengine
 
Wana weledi gani hao. Labda kama nikuwatolea aibu au kuwazuia wasianzishe zengwe lingine dhidi ya mama. Hao wanavyopenda uwaziri nini kingine kinaweza kuwaridhisha. Ilani ya uchaguzi ni uchumi na ustawi wa jamii kuliko siasa. Niambie Nnape anaweza kuweka input gani hapo :cool:. Hao wapigaji kwanza wataweka porojo tu. Kabudi na wassira hapo naona sahihi.
Wamwongeze P Msigwa kwenye timu
 
Hii nchi imejaa watu wapumbavu sana.

Badala ya watu kuwaza maendeleo na uzalishaji, kila kukicha ni kuwaza namna ya kusalia madarakani.
 
Acha uongo! Kuna watu wanaendelea kupukutishwa soon
Wale wa TCRA na TTCL walioandika mabango ya pongezi kwa Nape unadhani Peter Ulanga au Justina Mashiba wako salama? 😁
Wale walio karibu na Janaury Makamba na timu yake ambao wamekuwa kutwa nzima ni kumbrand kuliko Rais wenyewe na wale Mawaziri marafiki zake Mfano mapingili akiponea hapa baaasi hatarudia upuuzi wa kumbrand Mtanga mwenzake,

Account za bwana mmoja ambaye ana 81B alizokuwa akibadilisha kwa dollars kama njugu wamei freeze hapo kwenye Ngamia mchangani


Kwa kifupi mambo si mambo hapa ikulu


Britanicca
 
Haya ndiyo mambo ya kutumbuliwa ili kutambuliwa. Mawaziri wa zamani Nape Nnauye na January Makamba wamejumuishwa kwenye Kikosi Maalum cha CCM kinachoandaa Ilani ya CCM ya mwaka 2025 hadi 2030. Kikosi hicho kinaongozwa na komredi Stephen Wassira.

Nyaraka za kichama zinaonesha kuwa Nape na Makamba sasa wamejumuishwa kwenye Kikosi hicho ili kuongeza nguvu ya uandaaji wa Ilani ya CCM ya uchaguzi ujao. Kwakuwa Ilani hubeba maono na mipango ya kila sekta, inaaminika kichama kuwa Nape na Makamba watatumia weledi wao kisiasa kupatikana kwa Ilani bora.

Tayari Nape na Makamba 'wameshajitambulisha' kwa Wassira pamoja na wajumbe wengine wa Kikosi hicho. Sasa ni dhahiri kuwa Nape na Makamba wamepumzishwa uwaziri ili kupewa nafasi ya kuisuka Ilani ya CCM. Inasemwa na waandamizi kuwa majukumu ya uwaziri yangewanyima nafasi ya kushiriki kikamilifu katika zoezi hilo.

Weledi na ukomavu wa akina Nape utaunganishwa na wa akina Wassira, Kabudi, Lukuvi na wengineo ili kupata Ilani bora ya CCM-nyaraka muhimu katika kuomba na kueleweka uchaguzini mwaka 2025. Kuna uwezekano mkubwa kuwa wote watarudi barazani baada ya uchaguzi wa 2025 na Kikosi hicho kutunukiwa nafasi ya Waziri Mkuu.

Kampeni zimeshaanza au tusubiri wakati wa uchaguzi?

Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Dodoma)
Hamna kitu, kwanza kamusi ya kiswahili ILANI ni Tangazo la onyo, pili kinachoitwa ILANI ya ya last general election, haijatekelezwa hata nusu ya mambo yaliyomo.

Kilichofanyika ni kumpiga mtoto akaanza kulia na Kisha anapewa pipi.

Kutoka uwaziri mpaka kuaanda ILANI...,🤣🤣🤣

Then 2025 haitabiriki nani anagombea, atashinda, je atachagua kweli PM kutoka watu hao???

Kifupi hiyo ni danganya toto wameingizwa CHAKA.

Kapu la mjanja mjinga hatii mkono!
 
Acha uongo! Kuna watu wanaendelea kupukutishwa soon
Wale wa TCRA na TTCL walioandika mabango ya pongezi kwa Nape unadhani Peter Ulanga au Justina Mashiba wako salama? 😁
Wale walio karibu na Janaury Makamba na timu yake ambao wamekuwa kutwa nzima ni kumbrand kuliko Rais wenyewe na wale Mawaziri marafiki zake Mfano mapingili akiponea hapa baaasi hatarudia upuuzi wa kumbrand Mtanga mwenzake,

Account za bwana mmoja ambaye ana 81B alizokuwa akibadilisha kwa dollars kama njugu wamei freeze hapo kwenye Ngamia mchangani


Kwa kifupi mambo si mambo hapa ikulu


Britanicca
Nani huyo mwenye 81 b analafu anaacha crdb kizembe.
 
Acha uongo! Kuna watu wanaendelea kupukutishwa soon
Wale wa TCRA na TTCL walioandika mabango ya pongezi kwa Nape unadhani Peter Ulanga au Justina Mashiba wako salama? 😁
Wale walio karibu na Janaury Makamba na timu yake ambao wamekuwa kutwa nzima ni kumbrand kuliko Rais wenyewe na wale Mawaziri marafiki zake Mfano mapingili akiponea hapa baaasi hatarudia upuuzi wa kumbrand Mtanga mwenzake,

Account za bwana mmoja ambaye ana 81B alizokuwa akibadilisha kwa dollars kama njugu wamei freeze hapo kwenye Ngamia mchangani


Kwa kifupi mambo si mambo hapa ikulu


Britanicca
Nlkua nasubiria tu your comment niamini kama ni kwel🙌
 
Back
Top Bottom