Kuku wangu 1 anataga mayai 3-4 ndani ya masaa24!

Habari za uzima Wana jf🙏

Kwa heshima kubwa Sana nimekuja kwenu hapa.

Pamoja na kwamba hapa Kuna utani na mizaha ya hapa na pale
Naomba tuiweke kando
Tujadiri hili.

Mimi ni mfugaji mzoefu na Nina uzoefu kweli hasa kwenye kuku.

Kwa siku za Hivi karibu kuku wangu amenifanya niwaze sana maana sijawahi ona kuku ndani ya masaa24 umekuwa kawaida sana kutaga mayai3 na siku nyingine 4!

Naelewa ya kwamba process ya kutengezeka Kwa yai Moja hutumia masaa24.

Lkn Kwa kuku huyu imekuwa tofauti. Asipotaga mayai 3 basi kesho yake mchana ata Taga yai kubwa sana kama hapo kwenye picha.

Ipo Hivi Kila siku usiku anataga mayai 2-3 na mchana anataga yai 1 Yale ya usiku mara zote yanakuwa tepetepe kama yanvyooneka kwenye picha.

Je hii imekaaje ?
Wataalamau wa mifugo karibuni sana

Kuku huyu ni sasso anafugwa kienyeji simpi madawa Wala madini kama DCP nk simpi inshort anaishi kienyeji 100%

Karibuni
Hii sio kweli
 
Wazungu tayari wametupata. Wanajua Ujinga wetu. Najua hao kuku unawafurahia ksbb wanakupa faida. Lakini sisi Waafrica asili yetu ni kuku wa kienyeji pure. Tumeachana na hivyo tunakimbilia tunavyotengenezewa maabara na wazungu. Nia yao watumia chakula kama siraha ya maangamizi kwa mwafrica.
1. Zamani ilikuwa tukipanda mahindi punje moja inatoa mhindi mmoja wenye punje nyingi. Ule mhindi unapukuchuliwa kutoa mahindi mengi. Unachagua ktk mahindi yako unaweka ya mbegu. Wazungu wakagundua huko tunaweza kupitisha siraha ya maangamizi. Wakaleta mahindi ya maabara. Punje moja ya mhindi inaenda kutoa mahindi hata ma3 kwenye shina moja. Ujinga wetu tukaacha mbegu zetu za asili tukaingia upate mengi. Yale yaliyowekwa genetics za kuua taratibu kwa njia mbalimbali.

Hayo mahindi huwwezi kuyarudisha tena shambani mpaka ukanunue tena mbegu zingine ambazo ni mpya,zimewekwa genestic mpya. Ili siraha iwe mpya kila wakati.
2. Iko kwenye miti ya matunda pia kama maembe n.k
3. Kwenye mifugo pia. Wanatuondolea taratibu vyote vya asili wanatuletea vilivyopandikizwa genestic za kuua. Ksbb wanajua Ujinga wetu wakatumia njia hiyo kuboresha hiyo mifugo kutudanganya tuingie mazima. Kama ni ng'ombe wa maziwa wa kienyeji anatoa lita 2 kwa siku wenyewe wakamfanya wa kwao atoe lita 8. Kama mwembe unazaa miaka miwili toka upande.
Hivyo hivyo kwenye kuku.

Kuathirika kwetu Waafrica kupo kwenye magonjwa siku hizi ni mengi sana. Hata kwa vijana wadogo wanaumwa magonjwa ya watu wazima. Tofauti na wazungu. Pia wazungu wanafariki kuanzia miaka 80. Sisi kuanzia 50 hapo.
Kifupi wametupata
Mkuu punguza akili za kijima, kwani umepata madhara gani kula hayo mahindi au kuku?
 
Anafugwa kienyeji 100%
Bado haisaidii
Mkuu punguza akili za kijima, kwani umepata madhara gani kula hayo mahindi au kuku?
Yaani kama hujui madhara ya kula kuku hawa wa kisasa na mayai ya kisasa. Na mahindi na mpunga huu wa kutumia madawa na mbolea...! Basi wewe unaishi tu ili mradi ufike utakapoishia.

Unafikiri haya magonjwa ya uvimbe uvimbe,matatizo ya viuno,matatizo ya nguvu za kiume kwa vijana wengi siku hizi. Kwa uchache hayo yanatokana na nini? Na magonjwa siku hizi ni mengi tena ya ajabu ajabu. Yote hayo yanatokana na haya mavyakula yenye madawa na mbolea. Wewe unabugia tu ndugu?

Kwa taarifa yako mazao yanahitajika sana ulayo kama cocoa,parachichi hizi wanatuma na watu kabisa wa mafunzo namna gani yapandwe. Wanasisitiza yatumie mbolea za wanyama(samadi). Yasipuliziwe dawa. Hata wakihitaji mchele tu wanahitaji ule ambao haujatumia mbolea za kiwandani,pia usiotumiwa dawa za kiwandani. Wanakuja na kipimo kabisa kujua kama umetumia mbolea za kiwandani
 
Bado haisaidii

Yaani kama hujui madhara ya kula kuku hawa wa kisasa na mayai ya kisasa. Na mahindi na mpunga huu wa kutumia madawa na mbolea...! Basi wewe unaishi tu ili mradi ufike utakapoishia.

Unafikiri haya magonjwa ya uvimbe uvimbe,matatizo ya viuno,matatizo ya nguvu za kiume kwa vijana wengi siku hizi. Kwa uchache hayo yanatokana na nini? Na magonjwa siku hizi ni mengi tena ya ajabu ajabu. Yote hayo yanatokana na haya mavyakula yenye madawa na mbolea. Wewe unabugia tu ndugu?

Kwa taarifa yako mazao yanahitajika sana ulayo kama cocoa,parachichi hizi wanatuma na watu kabisa wa mafunzo namna gani yapandwe. Wanasisitiza yatumie mbolea za wanyama(samadi). Yasipuliziwe dawa. Hata wakihitaji mchele tu wanahitaji ule ambao haujatumia mbolea za kiwandani,pia usiotumiwa dawa za kiwandani. Wanakuja na kipimo kabisa kujua kama umetumia mbolea za kiwandani
Tunaambiwa kwenye history mtemi milambo wa tabora alikufa kwa ugonjwa wa kansa ya ukoo ina maana na yeye alikuwa anakula kuku wa kizungu na ugali wa mahindi ya kisasa?

Hayo magonjwa yote uliyotaja yalikuwepo hapo kabla gonjwa jipya ni ukimwi pekee yake. Kichatugharimu siku hizi ni lifestyle tunakula mavyakula mengi huku tukiwa hatuna shughuli nzito za kuburn calories hii ndio sababu kuu ya kuongezeka kwa vifo na sio vyakula.
 
Habari za uzima Wana jf

Kwa heshima kubwa Sana nimekuja kwenu hapa.

Pamoja na kwamba hapa Kuna utani na mizaha ya hapa na pale
Naomba tuiweke kando
Tujadiri hili.

Mimi ni mfugaji mzoefu na Nina uzoefu kweli hasa kwenye kuku.

Kwa siku za Hivi karibu kuku wangu amenifanya niwaze sana maana sijawahi ona kuku ndani ya masaa24 umekuwa kawaida sana kutaga mayai3 na siku nyingine 4!

Naelewa ya kwamba process ya kutengezeka Kwa yai Moja hutumia masaa24.

Lkn Kwa kuku huyu imekuwa tofauti. Asipotaga mayai 3 basi kesho yake mchana ata Taga yai kubwa sana kama hapo kwenye picha.

Ipo Hivi Kila siku usiku anataga mayai 2-3 na mchana anataga yai 1 Yale ya usiku mara zote yanakuwa tepetepe kama yanvyooneka kwenye picha.

Je hii imekaaje ?
Wataalamau wa mifugo karibuni sana

Kuku huyu ni sasso anafugwa kienyeji simpi madawa Wala madini kama DCP nk simpi inshort anaishi kienyeji 100%

Karibuni
Jaribu kutafuta Jogoo mzuri alafu mayai yake uyatotoleshee, watoto uwafanyie selective interbreeding upate breed ya kuku wanaotaga hvyo wote
 
Tunaambiwa kwenye history mtemi milambo wa tabora alikufa kwa ugonjwa wa kansa ya ukoo ina maana na yeye alikuwa anakula kuku wa kizungu na ugali wa mahindi ya kisasa?

Hayo magonjwa yote uliyotaja yalikuwepo hapo kabla gonjwa jipya ni ukimwi pekee yake. Kichatugharimu siku hizi ni lifestyle tunakula mavyakula mengi huku tukiwa hatuna shughuli nzito za kuburn calories hii ndio sababu kuu ya kuongezeka kwa vifo na sio vyakula.
Pole sana. Endelea ulipoishia. Kutokujua Jambo tunaita uko gizani
 
awapi.........!!
chick.jpg
 
Back
Top Bottom