Kuhamia Dodoma: Haya ndio mateso kwa wananchi,watumishi na tanuru la kuchoma kodi

Whatever the challenge that may occur, it is stupid to keep Dar es Salaam as the capital city.
The problem is not that it has no significance. Its just, it has been done without any stategic analysis, thats all.

It is however economically and politically secure. Think bout it. If you cant see it, you chose to.

We cant be proud of our development as a country if everything is found in only one region.

I think we should decentralise centres for major services, if we really want to move forward. We have more than 30 regions for pete sake, come on!
 
Kwa hiyo waheshimiwa sana wakiwa dar wako nje ya vituo vyao vya kazi? Yaleyale kuacha kupishana hewani kuja kupishana mchangani.

Na washawasha!
 
Dar inafikika kutoka kokote.

Pia hakukuwa na haja ya uharaka,kipindi wamezuia kwa muda kuhamia Dodoma walikuwa wanafanya nini na mpaka sasa wameongeza nini?
Wewe ndio uko mbali sana, km Ballitic missile inatumwa kwanini barua isitumwe, wilayani huko Kilolo wameambiwa wasitumie makaratasi, madiwani watumie iPad, ndio Makatibu wawasiliane na mtaalam gani asiye na mtandao, kuhusu Majengo ni mengi kuliko tena maghorofa, hata zifike wizara 60 wataenea ndipo wakapate bure maghorofa ya UDOM, fika Dodoma usihadithiwe, hii ya mzigo ya mahindi kushuka Tandale, au ng'ombe Pugu endeleeni si ofisi, ofisi hata ndani ya Air Force One angani wanafanya wenzako chini ardhini wanatekeleza leo mafuriko jangwani imekata sasa barua za mkono su zitalowa? zinduka
 
Baadae wataanza kuajiri makarani huko huko Dodoma na wataalamu kidogo kidogo mwishowe wafanyakazi wengi walioko Dar watajikuta awaitajiki.

Abiria chunga mzigo wako, bora wengine wafanye voluntary move serikari aina hela ya kuamisha wote: chelewa chelewa ukute mwana si wako.

Hawa watu wanajijali wao tu.
 
Mtoa hoja ni mgonjwa wa kufikiri. Anajiangalia mwenyewe tu. Hoja zake hazina mashiko. Ni hewa tu. Uamuzi wa kuhamia Dodoma ni uamuzi wa busara sana. JPM ametumwa na Mungu kutekeleza hili.Wafanyakazi wanaopinga waache kazi. Mitaani kuna watu wengi hawana ajira na ni wasomi wazuri tu.
Tueleze hoja za msingi za kuhamia Dodoma bila maandalizi ya kutosha
 
Sababu za kuhamia Dodoma miaka ya 70 yawezekana hazipo leo.
Lakini kuwa na miji mikuu miwili yaani Dodoma Utawala na Dar Biashara kwa hali ya sasa ya uchumi itatugharimu.
Ifike wakati mwingine maamuzi kama haya ya kuhamia Dodoma yangerudishwa kwa wananchi wakajadiri upya.
Dodoma ina upepo mkali na vumbi kali,je mmeishapanda miti ya kupunguza kasi ya upepo na vumbi?
MTAMALIZA VISINGIZIO LAKINI.KUJA DODOMA HAKUNA MJADALA
 
Katika hili la kuhamia dodoma,rais nampa salute,siyo kila siku kuongea tu vitendo sifuri,sasa kuhamia dodoma ni lazima kama hutaki hama nchi
 
Jpm akamilishe jambo hili la kuhamia dodoma kwa asilimia 100 ndani ya kipndi chake cha utawala, vinginevyo rais ajaye anaweza kusitisha jambo hili na kubakia dar
 
Jamani tujifunze mabadiliko. Nigeria walikuwa na Lagos wakahamia Abuja, Burma/Myanmar walikuwa na Langoon/Yangon, sasa wapo Naypyitaw, Brazil wana Brazilia walikuwa Rio de geneiro. Na sisi tu kubali tuhame hii ni hasara kwa sasa lakini yaweza kuwa faida baadaye. Mzee Kahama ameondoka bila kuona kazi aliyoianza inafanikiwa asili mia RIP baba.
 
Back
Top Bottom