iparamasa
JF-Expert Member
- Nov 14, 2013
- 13,437
- 14,927
- Thread starter
- #21
Hao watumishi waliobaki Dar wataongozwa na nani? Link ya Dodoma na Dar ni hao wakurugenzi,wizara INA watumishi tuseme 600,walioenda Dodoma 50,kiutawala unafanyaje?KWANI KINACHO WASHINDA HAO WAKURUHWENZI KUHAMIA DODOMA NINI HADI WAAMUE NENDA RUDI YA DAR - DOM