Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 29,638
- 40,855
Wengi tunaamini kuwa, tunachokisoma mashuleni na vyuoni, ndivyo tunavyoenda kuviishi huko mtaani.
Tunategemea mtu aliyesoma fani kama udaktari wa kutibu, uhandisi, uanasheria, uhasibu, ugavi, masoko n.k aende akaishi kile alichokisomea, iwe kwa kuajiriwa au kwa kujiajiri.
Changamoto iliyopo kwa sasa hivi; utakuta mtu kahitimu labda sheria, mambo ya utawala, uhandisi wa mifumo, siasa na utawala n.k unamkuta yupo anafanya biashara labda ya kuuza nguo, viatu n.k ambayo haiendani na fani alioisomea.
Hiyo tunasema, ni matumizi mabaya ya ada au upotevu wa fedha.
Tunategemea mtu aliyesoma fani kama udaktari wa kutibu, uhandisi, uanasheria, uhasibu, ugavi, masoko n.k aende akaishi kile alichokisomea, iwe kwa kuajiriwa au kwa kujiajiri.
Changamoto iliyopo kwa sasa hivi; utakuta mtu kahitimu labda sheria, mambo ya utawala, uhandisi wa mifumo, siasa na utawala n.k unamkuta yupo anafanya biashara labda ya kuuza nguo, viatu n.k ambayo haiendani na fani alioisomea.
Hiyo tunasema, ni matumizi mabaya ya ada au upotevu wa fedha.