Paprika
JF-Expert Member
- Feb 25, 2017
- 5,951
- 9,878
Saana!Hilo nalo neno, lakini kuwaita wenzako bastards kisa tu walizaliwa nje ya ndoa na hawakupanga wao kuzaliwa naona ni neno lenye ukakasi sana!!!
Saana!Hilo nalo neno, lakini kuwaita wenzako bastards kisa tu walizaliwa nje ya ndoa na hawakupanga wao kuzaliwa naona ni neno lenye ukakasi sana!!!
Nijuzeunajua maana ya mtoto nje ya ndoa au unaongea tuu.
Katika Uislam Mwanamke haruhusiwi kuolewa akiwa katika Hali ya Ujauzito atasubiri mpaka eda yake iishe ambayo ndio kujifungua kwake kwaiyo ataolewa baada ya kujifungua ila kwafaida Mwanamke anaweza akapewa Talaka ktk hali hii!!!!Wadau,
Kuna hili swala huwa inatokea mtu anafunga ndoa mwanamke akiwa na ujauzito wake tayari, tena tumbo unakuta ni kubwa au kuzaa mtoto kwanza ndio ndoa inafungwa, hili swala kiimani limekaaje ni ruhusa au wachungaji/mashehe wanalazimisha?
Sio sahihiKikimani sex kabla ya ndoa ni dhambi... Kwa hiyo ata hiyo mimba si sawa... Ila ndo ishatokea tena!
Mimi naona ni bora tu mfunge ndoa ili msizae bastard!
Dada watu wakisha Du Nje ya Ndoa tayari Bastard anausika achana na kauli za waswahili eti kitanda akizai haramu!!!Sio sahihi
Yaani hapo unakuwa umeoa wake 2 yaani huyo mama na mtoto aliye ndani, kwa hyo akizaliwa mtoto anakuwa mke wa pili.
Nijuze
Huo ndio ukweli lile ni agano la watu wawili hatakiwi kuwepo mtu wa tatu sasa kama mwanamke anaujauzito mtajikuta wote watatu mnaunganishwa kuwa kitu kimoja, tatzo watu wanaraihisha mambo ili kuhalalisha wayafanyayo si sawaSidhani kama uko sahihi mkuu
Huo ndio ukweliTatizo letu tupo katika zama ambazo haraam imekua halali na hatuoni kama ni tatizo,,..zinaa ni kitendo kichafu na ndoa sio suluhisho la kufuta kosa hilo..kwanza inabdi watubie kwa Mola wao toba ilio ya kweli,baada ya hapo wasubiri mtoto azaliwe ndio ndoa ifungwe..
Unamnyima mtoto haki zake nyingi sana kidini kwa kumzaa nje ya ndoa.
Hii ni kwa imani ya Kiislam.
Haswaaa kuna jamaa kabisha hapo juu ukifuatilia unagundua huu ndio ukweli mtoto anapata wapi ujasiri wa kumpanda mama yake,au bint anapata wapi ujasiri wa kulala baba yake na kuanza kumuonea wivu mama yakeKuna mchungaji nilimsikia akisema,ndoa ni agano baina ya watu wawili, sasa mwanamke akiwa na mimba anaongezeka mtu wa tatu kwenye agano hilo
Kwa baadae unakuta hao watoto wanakuja kutembea na baba zao au kama ni wa kiume unakuta wanakuwa mashoga maana agano la ndoa lina nguvu
Wanaoelewa mtoto wa nje ya ndoa ana status gani hawasubiri mpaka mdada ajifungue... Kuna rafiki yangu alifunga ndoa wakati mimba ina miezi nane... Walienda tu kwa mwenyekiti na gauni lake la kawaida wakafunga ndoa yao na kurudi kufanya kapati ka familia... Aligoma kabisa mtoto wake azaliwe nje ya ndoa
Kiimani zote ni DHAMBI ,tusipindishe maneno..Wadau,
Kuna hili swala huwa inatokea mtu anafunga ndoa mwanamke akiwa na ujauzito wake tayari, tena tumbo unakuta ni kubwa au kuzaa mtoto kwanza ndio ndoa inafungwa, hili swala kiimani limekaaje ni ruhusa au wachungaji/mashehe wanalazimisha?