Nyalotsi
JF-Expert Member
- Jul 20, 2011
- 6,986
- 5,057
Na tuliozaliwa Kwenye ndoa za mke zaidi ya mmoja mnatuitaje??Kikimani sex kabla ya ndoa ni dhambi... Kwa hiyo ata hiyo mimba si sawa... Ila ndo ishatokea tena!
Mimi naona ni bora tu mfunge ndoa ili msizae bastard!
Tuacheni Maisha ya kuiga.
Yawezekana hata aliyekuzaa alizaliwa Kwa ndoa za mitala