Baada ya hapo 1998, mara zote walizokutana nani amekuwa kibonde!?1998,juve alitandikwa moja bila
Juventus ina beki na viungo wazuri sana wenye uwezo wa kutengeneza nafasi nyingi za kufunga. Shida ya juventus ipo kwenye kumalizia ndio tatizo hasa higuan amekuwa anapoteza nafasi nyingi sana za wazi. Real madrid wapo vizuri mbele na viungo ila alegri ni mzuri kwenye mbinu za kimchezo hivyo juventus nawapa nafasi ya kunyakua kombeJuventus Hana Viungo Wa Kuwadhibiti TON KROOS,LUKA MODRICK ,CASEMMIRO NA ISCO
Madrid hajawah kuwa kibonde wa yeyote hapa dunianiBaada ya hapo 1998, mara zote walizokutana nani amekuwa kibonde!?
Mwaka 1998 fainali champions leagueMadrid hajawah kuwa kibonde wa yeyote hapa duniani
Asante sana mkuu... Umenisaidia nilichokuwa nimekiandaa.Mwaka 1998 fainali champions league
Madrid 1-juventus 0
Mwaka 2003 nusu fainali
Madrid 2- juve 1
Juve 3- madrid 1 (madrid wakatolewa)
Mwaka 2005 hatua ya 16 bora
Madrid 1- juve o
Juve 2-madrid 0 (madrid wakatolewa)
Mwaka 2009 hatua ya makundi
Juve 2- madrid 1
Madrid 0- juve 2
Mwaka 2014 hatua ya makundi
Madrid 2- juve 1
Juve 2- madrid 2
Mwaka 2017 fainali
Madrid..... - juve .....
Na pia nikukumbushe kuwa, ni Juventus pekee tu ndio anaeongoza kumvua ubingwa real Madrid.Madrid hajawah kuwa kibonde wa yeyote hapa duniani
Lkn sio fainalAsante sana mkuu... Umenisaidia nilichokuwa nimekiandaa.
Na pia nikukumbushe kuwa, ni Juventus pekee tu ndio anaeongoza kumvua ubingwa real Madrid.
2003 na 2015.
Ficha ujinga wako acha kuqote Uzi wteFainali ya 1998 iliwaliza sana Zidane na Edgar