Kosa kubwa kwetu wanaume

Tatizo umeshindwa kunielewa kijana, nimekwambia kwa lugha nyepesi kabisa Bikra sio guarantee ya Ndoa kudumu ndipo nikakupa mfano kwamba Mimi sijaoa Bikra na bado tunaheshimiana sana. Nikakwambia kinachoharibu Ndoa nyingi ni vipaumbele vyao ukijumlisha na kutokuwa na hofu ya Mungu..ila naona umekuja kwaajili ya kubishana na sio kujifunza, hivyo nikuache na ubishi wako mkuu


safi kijana umenena vyema, pata bikra oa kwa faida yako, bt mkishindwa kuheshimiana na kujua wajibu wenu ndani ya ndoa lazma ndoa iwe shubiri
 
Mhhhhh katika hilo unakiri uongo mkuu NA INAONEKANA BADO hujaguswa na mengi labda hilo la kumcha MUNGU kama ana maanisha
lakini bado huwezi ruhusu aongozane nae kuna kitu utasikia hutaki kukubali ukweli tu MKE HALINDWI WALA KUCHUNGUZWA
LAKINI HAPA TUMELIONGELEA SWALA LA UAMINIFU au ngoja nikuulize wewe wa ngapi katika list kama wa pili nitaamini kidogo maana bado mgeni huyu kaanzia kwako
Ndugu nimalizie kusema kama awali UKIMUHESHIMU, UKIMUAMINI NA KUMJALI hata kama ungekuwa wa mia hawezi kukutenda. Ila ukianza uwalakini ukiambiwa na jirani tu "nimemkuta mke wako amesimama barabarani na kaka hata simjui" presha inakupanda unaanza kupumulia mashine na mbaya ajue humuamini anatimiza ule msemo "bora nifanye ili ukiongea uongee kitu cha ukweli"....muamini, mthamini na mjali mkeo hayo mengine ni tantalila tu Mkuu
 
Mkuu mpaka nikaoa sikukurupuka, nilishatoa visichana Bikra kama vitatu na sikuvioa...na uzuri zaidi mke niliyenaye tunaheshimiana na anajali future in short am happy to be with her ndio hapo ninapopinga kwamba Bikra haina positive impact kwenye Ndoa sababu Mimi ni mfano mkubwa tu
Wasichana watatu uliwakuta bikra WW Ni Mwalim Na ulikuwa unatembea Na wanafunzi, lkn ktk ukwel huwez kukutana Na bikra umr unaofaa kuoa umwache Ni uongo.
 
Wasichana watatu uliwakuta bikra WW Ni Mwalim Na ulikuwa unatembea Na wanafunzi, lkn ktk ukwel huwez kukutana Na bikra umr unaofaa kuoa umwache Ni uongo.
Sikusema nilikutana nao umri wa kuoa na wala sikuwa mwalimu na sikutembea na mwanafunzi...wote niliokuta Bikra sikutegemea kuzikuta na yalitokea mambo ya ajabu kipindi cha nyuma moja Wapo ikiwa nilikuwa sijatulia "Malaya" hivyo sikudumu nao na mtu pekee aliyebadili mtazamo wangu ni huyu mke wangu ndiye alinifanya nione kweli maisha ya mahusiano ni raha na ndipo napingana na mleta Uzi kwamba Bikra inaweza kuwa guarantee ya Ndoa kudumu
 
Wengi wamelowa na machenja... Ndoa zao wameshindwa kuzitunza.


Wapo walioolewa na Mpaka sasa ndoa zao wanazitunza....
 
kuoa mke ambaye hana bikraisikufanye uwe na jazba, mlaumu aliyemtoa mkeo bikra huwezi kutuelewa wenye wake mabikra lugha tunayozungumza hapa,na sio kwamba wanawake wanaoolewa bila bikra wana misbehave kwenye ndoa zao kuna wengi tu wanaojiheshimu kwenye ndoa zao,na pia wapo walioolewa na bikra zao na wana misbehave tunachozungumza ni ule utofauti wa kuoa mwanamke mbichi(bikra) na yule used (asiye na bikra) kama ambavyo umesikia hata EAC wanataka kuzuia vitu ambavyo ni USED
hahahaaa mkuu watu wanakua wakali coz hawajawakuta na bikra wake zao sasa hapo cjui kama muafaka utapatikana...huyu mleta uzi nae amefikiria nn jaman......ila mi naona issue c bikira ila ukioa mwanamke ambaye hajabuluzwa sana huko nyuma inasaidia....kuliko mtu amekua na relations kibao huko nyuma leo hii we unaoa daah inakua mtihan kwelikweli.....
 
Nikijaribu kujifikiria kama mwanaume naona kidogo makosa mengine tunayatafuta ndio maana hatufurahii ndoa zetu.

Na haya yanapelekea hawa wanawake wajionee wapo juu kwetu

Tunaoa sana kwasababu ya;

1- Mimba

2- Sura

Na bikra tunaziacha hili ni tatizo kubwa unaoa mwanamke aliyezoea jalamba saa tatu wewe nusu saa chali lazima awe anatoka nje maana humfikishi na kibaya wale wanaoenda kwa pupa kuandaana mwiko sekunde mbili huyo.

Wanawake walioolewa na bikra zao leteni comments

Najua hawa walioolewa wakiwa na ndoa tayari na ex wake watakataa tu

Ila mwanaume ili uishi vizuri na ufurahie ndoa tafuta bikra tu ukimwacha huyo utairudia.
halafu we mleta uzi inaonekana hujaoa wewe......bikira hamna zinaishia huko darasa la nne sasa c tumamua kuoa hivyohivyo ila tumechagua wale walio used kidogo.....maana kuna wengine wana mapafu ya mbwa wameanza marathon toka primary hao tumewashindwa
 
Dushe is like drug utapozichezea sana na kuzijua utofauti/ladha mbali mbali huwez kaa na moko labda ujitahdi sana . Kwel bora bikra sometmz
 
Yote kwa yote,iwe bado wasichana au katika ndoa..HOFU YA MUNGU ndio mwarobaini wa maadili ya mwanamke na hata mwanamme

kabisa lakini ujue kipindi hiki imani imepungua na inazidi kupungua KAMA UMEOA ALIYEBIKIRIWA KIUKWELI MUOMBE KWA KUMANISHA MKUU maana huyu kujaribiwa ni rahisi sana na kuanguka kwake maana akiongozwa na mwili tu tatizo
 
halafu we mleta uzi inaonekana hujaoa wewe......bikira hamna zinaishia huko darasa la nne sasa c tumamua kuoa hivyohivyo ila tumechagua wale walio used kidogo.....maana kuna wengine wana mapafu ya mbwa wameanza marathon toka primary hao tumewashindwa

Hujajua unachokiongea mkuu SIWEZI ISIFIA BIKRA BILA NDOA NAJUA MAZURI YAKE sijawahi jutia kuoa nyinyi wote mliooa hao sio wake zenu ndio maana presha na kesi za kusalitiwa nyingi BIKRA ZIPO SEMA UMEZIKOSA WENZIO TUMELEA MKUU
hata ukishindwa itafute hata msingi anza kulea ili ushindane na kesi za vimichepuko vya kijnga

WANAUME MLIOOA WALIOBIKIRIWA WENGI WENU HAMJIAMINI NAO na ndio mnaoongoza kununua dawa za nguvu za kiume ukipinga una lako tu
 
Mleta Uzi Nina Shaka kidogo na elimu yako ama iwe ya darasani au ya mtaani...kuna mwanazuoni aliwahi kusema Binadamu wote wana hekima kabla hawajafumbua vinywa vyao...kama unaamini Bikra ndio inalinda ndoa pole sana tena pole...ningekusaidia baadhi ya vitabu ukavisome uongeze utashi
1) Falling in love again written by David & Carole Hocking
2) Life strategies written by Phillip C
3) Understanding the love of your life written by walk thru the Bible ministries
4) Mapenzi kuchipua na kunyauka written by Munga Tehanan
5) Ndoa yataka Moyo written by Faustin Mwikila Kamugisha
Ukishavisoma hivyo vitabu na vingine then utarudi hapa siku za usoni ama kuondoa Uzi wako huu au kujipinga na Uzi huu
Umekaririshwa
 
Back
Top Bottom