Suley2019
JF-Expert Member
- Oct 7, 2019
- 1,833
- 4,586
Anaandika Boniface Jacob katika ukurasa wake wa X
Nimepokea taarifa mbaya kutoka Halmashauri ya Wilaya ya Mafia inayohusu kiongozi mkubwa wa Halmashauri hiyo kumbaka mfanyakazi wake wa ndani (house girl) ambaye ana umri wa miaka 16.
Vyombo vya dola wilaya ya Mafia vyote vinafahamu lakini kwa masikitiko makubwa wameamua kumsaida mwenzao kwa kumlazimisha binti apokee fedha ili wamalize kesi.
Swali:
Je, tukio hili linaweza kuhusiana na Utenguzi alioufanya Rais Samia leo 19/04/2024
Soma:
- Rais Samia atengua uteuzi wa Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Mafia, Kassim Seif Ndumbo
- Polisi Mafia wamchunguza DED aliyetenguliwa na Samia