nzwalile the great
Member
- Aug 9, 2007
- 8
- 4
Alichosema mbowe ni cha kweli, na sasa ninawasiwasi kuwa hata Chenge tunaweza kumpoteza muda wowote maana pia anamengi ya kutueleza.
Ikumbukwe kuwa, chenge alikuwa mwanasheris mkuu, hivyo anamengi sana anayoyafahamu kuhusu mafisadi wenzake, je watamtoa kafara?
Ikumbukwe kuwa, chenge alikuwa mwanasheris mkuu, hivyo anamengi sana anayoyafahamu kuhusu mafisadi wenzake, je watamtoa kafara?