..HUUU HAUKUWA WAKATI MUAFAKA
..KWA HILI IMEONESHA AKILI YA MEMBE NA JK ZINAFANANA....YAANI WATU WANAOONGEA ALAFU NDIO WANAFIKIRI..SIJUI WANAITWAJE WATU WA HIVI!!!....MAANA UTAGUNDUA KAULI YA JK PIA NI YA KUTAPATAPA .KWA KUSEMA ...NI KAZI YA MUNGU!!!!....KWANI MWENYE MAMLAKA YA ROHO ZETU SI ANAJULIKANA NI MOLA!!....ANGEWEZA KUONGEA KIVINGINE..
KWA KAULI HIZI BASI NA HALI YA MAMBO ILIVYOKUA HADI ANAFARIKI..UKIFANYA UCHAMBUZI WA HARAKA UTABAKIA NA JIBU MOJA NALO NI; KIFO CHA BALALI SI CHA KAWAIDA!
Kuhani Mkuu,
Swali no moja tu kwako: Kama sentenso yako ya mwisho ni kweli, ni muda mrefu sana kuanzia Januari 16 hadi Mei 16 alipofariki marhemu. Mbona USA hawakufanya kitu?
Kuhani Mkuu,
Swali no moja tu kwako: Kama sentenso yako ya mwisho ni kweli, ni muda mrefu sana kuanzia Januari 16 hadi Mei 16 alipofariki marhemu. Mbona USA hawakufanya kitu?
Ndiyo tatizo lako wewe la kutaka kutetea hata visivyostahili kutetewa. Kifo cha Ballali kina utata mwingi sana hasa ukichukulia jinsi alivyoondoka nchini mpaka alipofariki. Inakuwaje mtu aliyewahi kushika nafasi za juu serikalini afariki dunia lakini Watanzania watangaziwe baada ya siku tano tangu kifo kitokee tena kwa kupitia gazeti binafsi? Sirikali ilifahamishwa lini kuhusu kifo cha Ballali na ni nani aliyewahamisha na kwanini waliamua kukaa kimya baada ya kufahamishwa juu ya kifo hicho? Inakuwaje mtu mkubwa kama Ballali azikwe nje ya nchi.
JK amesema kifo cha Ballali ni kazi ya Mungu, lakini bila kufafanua zaidi. Usiri mkubwa juu ya Ballali tangu alipoondoka na kama siri kali ilikuwa inajua amelazwa hospitali ipi na alikuwa anaumwa nini na kwa nini sirikali haikuweka jitihada za kumuhoji akiwa hospitalini ndizo zinazua speculation chungu nzima. Na waswahili husema, panapofuka moshi.....
viza ya mtu inapokuwa revoked huko Us unaondoka hapo hapo siku hizi toka September 11, tunawajua wengi waliorudi hapo hapo, hasa kule Texas, yaani Dallas.
Unajua this is sad, ni kifo gani duniani ambacho sio kazi ya Mungu? Hivi huyu mkuu anaelewa kuwa haya yanayoendelea katika taifa letu yana-accomplish one thing, and one thing only nacho ni kuendelea kuishusha hadhi ya serikali yake ambayo tayari iko kwenye life support?
Ni taifa na serikali gani duniani inayoendeshwa namna hii? Gavana wa benki kuu anaondoka nchini, halafu anatumiwa watu wa kumchunguza, baadaye anafariki ghafla, serikali inajaribu kuomba kuhudhuria mazishi lakini inakataliwa, and then hata serikali yenyewe haina uhakika na kifo cha a former Gavana wake wa Benki kuu ya taifa? Halafu hata pale ilipothibitisha bado inahangaika kujisafisha kuwa haihusiki na hicho kifo?
Yaani hii serikali haisikii aibu, wala huzuni? Serikali imeshatamka kuwa Balali amefariki, lakini hadi ninapoongea wakuu wakubwa wa taifa wanatusumbua na simu ili tuwathibitishie kama ni kweli amefariki, it is very sad indeed!
Hii issue ya suala la status la marehemu kweli linachanganya.
Kwa uelewo wangu, hauwezi ku-hold more than one viza in the U.S. Sasa iliwezekana vipi kwa marehemu ku-hold some sort of a visa, yet kuwa U.S. GC holder?
GC is an 'immigrant visa', while all other visa are categorized as 'non-immigrant visa.' Na once mtu aki-upgade to immigrant visa (GC), then the other non-immigrant visa aliyokuwa nayo inakuwa automatically dissolved.
Kwa hiyo kama Ballali alikuwa na GC, then hakuwa na haja ya yeye kuwa na U.S.visa ya aina nyingine yeyote.
Sasa kama ubalozi wa U.S. waliishu statement ya ku-revoke visa ya Ballali iliyokuwa stamped kwenye passport, then we know one thing for sure .....hakuwa GC holder. Kwa sababu, GC haiwi stamped kwenye passport......ila inatengenezewa ki-ID card chake.
By the way, mtu huwezi kuwa raia wa nchi fulani halafu yet ukawa na visa ya nchi hiyo. For what? I mean, visa is used merely for entry permit. Sasa kama wewe ni raia, then why would you need a visa to enter your own country? It just doesn't make any sense!
Mbowe na wenzake kama walishindwa kushinikiza Bunge kumruhusu mbunge wa chama chao kuhudhuria vikao basi usitegemee kwenye hili wanaweza kushinikiza chochote. Jinsi anavyozungumza kisanii utaona tu kuwa na yeye anaishi kwenye dunia ya speculations tu.Kauli ya Mbowe ni mwanzo mzuri endapo atashinikiza uchunguzi ufanyike na wauaji waunganishwe moja kwa moja na EPA huku wakitakiwa pia kuface death penalty kwa kifo hicho cha Ballali.
Na hii iwe mara baada ya wao kurudisha pesa.