Kibongobongo haya ni Mafanikio Makubwa kwako Kijana ukiwa nayo. Furahia Maisha

Úzi wa bluu tiki,sema sikuusoma wote ni mrefu sana kama unju bin unuki.
 
mimi nimejiriwa nina familia na watoto watatu wanasoma ninamiliki nyumba moja na nyingine ipo kwenye usawa wa linta nina kiwanja kimoja ila najiona maskini wakutupwa.astafirullah
 
Na mimi nipo hapa Wallet Pub nastua mtori huku nikisubiri jibu pia..

Kabla hujafika Wallet Pub,
Kuna Barabara inayoingia kushoto ukiwa unatokea Msamvu, kuna bango la Kana Open School. Shuka na hiyo njia, unaweza kuulizia ulipokuwa Ofisi ya Taikon wa Fasihi. Ingawaje Kwa sasa nimehama nipo DSM
 
Kabla hujafika Wallet Pub,
Kuna Barabara inayoingia kushoto ukiwa unatokea Msamvu, kuna bango la Kana Open School. Shuka na hiyo njia, unaweza kuulizia ulipokuwa Ofisi ya Taikon wa Fasihi. Ingawaje Kwa sasa nimehama nipo DSM
Ahaaaa unakunja pale kwenye Grocery nyuma wanauza kitimito... Nimekusoma mkuu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom