The Khoisan
JF-Expert Member
- Jun 5, 2007
- 16,602
- 14,785
lakini Wakatoliki haohao walibwabwaja dhidi ya magufuli ambaye ni mkatoliki mwenzao hadi baadhi ya maaskofu kudaiwa kuwa sio raia
Jamaa anajidai kasahau. Kuna watu humu wana Selective memories au wanafanya tu kwa makusudi ili kufanikisha agenda yao.