Kassim Majaliwa kama mapato ya utalii yameongezeka sasa kwanini usimshauri Rais Samia akafuta tozo zinazosumbua raia wa chini wasio hatia?

Nyankurungu2020

JF-Expert Member
Oct 2, 2020
4,084
6,569
Kwa nini mnatusumbua kwa mitozo ya ajabu ajabu wakati kumbe mapato ya utalii yamepaa kwa 81.8%? Acheni kuonea wanyonge.
Screenshot_20221006-194119.jpg
 
Back
Top Bottom