GAS STATE
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 1,770
- 953
hivi Kambarage alipofuta uongozi wa kijadi na ukabila alitenda kinyume na haki za binadamu, unapokuwa kiongozi simamia unachoona kinafaa hata kama hakipendwi. wanaume wengi wa kiarabu wamekufa ktk mapinduzi na wengine kukimbilia Oman je wanawake wataolewa wapi kama sio kwa weusi