Wana JF
Kuna tetesi kuwa CCM wanampango wa kumpitisha Rais mstaafu wa Zanzibar katika kugombea urais 2015. Hoja ni kuendeleza mbinu yao ya kutumia udini ili kushinda katika uchaguzi huo pia wataleta ushawishi kuwa ameweza kutuliza ghasia za kisiasa Zanzibar watakapochakachua lengo ni kuwa na Serikali ya umoja wa kitaifa na huku bara. Hii mnaionaje?
Source: Sema usikike
Kuna tetesi kuwa CCM wanampango wa kumpitisha Rais mstaafu wa Zanzibar katika kugombea urais 2015. Hoja ni kuendeleza mbinu yao ya kutumia udini ili kushinda katika uchaguzi huo pia wataleta ushawishi kuwa ameweza kutuliza ghasia za kisiasa Zanzibar watakapochakachua lengo ni kuwa na Serikali ya umoja wa kitaifa na huku bara. Hii mnaionaje?
Source: Sema usikike