Kanumba ndani ya Big Brother House 2009

Waliosema kiingereza ni janga la Taifa hawajakosea imefika wakati elimu kuanzia primari iwe kwa kiingereza mahausigeli na mama mboga wa Malawi,Zambia,Kenya na Uganda wanaongea kiingereza kizuri kushinda Kanumba.Wakina Kanumba ni wengi tukubali kiswahili 'will take us nowhere' na tutaishia kuogopa soko huru la ajira kwakuwa hatuko 'competetive'.

Where will English take you to?

Tafadhali tofautisha lugha na maarifa. Binafsi ningefurahi siku moja kusikia mtu anasema kuwa mimi ni mchumi ua mhandisi lakini siwezi kuzungumza kiingereza kama ambavyo tunakiri bila tatizo kuwa hatuwezi kuzungumza kifaransa. Tukifikia hapo tutakuwa tumetatua walau tatizo muhimu kwenye suala la lugha na maarifa. Sisi tunakosa maarifa tunasingizia lugha. Hivyo vitu siyo sawa! Kwa hali ilivyo sasa ni vurugu tupu. Kiingereza hatuji na hata kiswahili pia.
 
Waliosema kiingereza ni janga la Taifa hawajakosea imefika wakati elimu kuanzia primari iwe kwa kiingereza mahausigeli na mama mboga wa Malawi,Zambia,Kenya na Uganda wanaongea kiingereza kizuri kushinda Kanumba.Wakina Kanumba ni wengi tukubali kiswahili 'will take us nowhere' na tutaishia kuogopa soko huru la ajira kwakuwa hatuko 'competetive'.
Nawaonea huruma sana wale wanaopigania kiswahili kitumike hadi universities. Unang'ang'ania lugha yako wakati kiuchumi unawategemea wenye lugha zao.
 
Where will English take you to?

Tafadhali tofautisha lugha na maarifa. Binafsi ningefurahi siku moja kusikia mtu anasema kuwa mimi ni mchumi ua mhandisi lakini siwezi kuzungumza kiingereza kama ambavyo tunakiri bila tatizo kuwa hatuwezi kuzungumza kifaransa. Tukifikia hapo tutakuwa tumetatua walau tatizo muhimu kwenye suala la lugha na maarifa. Sisi tunakosa maarifa tunasingizia lugha. Hivyo vitu siyo sawa! Kwa hali ilivyo sasa ni vurugu tupu. Kiingereza hatuji na hata kiswahili pia.

English will take you to wider part of the international market. Huwezi tegemea lugha yako wakati kiuchumi hujakamilika.
 
Kwani wewe hujui kuwa kingereza ni "JANGA LA KITAIFA"?

Braza sio la kitaifa tu, la kimataifa. Nchi nyingi Kiingereza hawakifagilii, ukianzia na Wafaransa na Wajerumani. Ushawahi kumsikia Putin, Merkel ama Sarkozy wanaongea lugha hii? Unadhani kwa nini?
Hata hao mnaofikiri wanajua Kiingereza nao wanababaisha.
Hata mimi sijui Kirusi wala Kijerumani, kwa hiyo sijisikii inferior kwa kutojua lugha hizi.
 
Mitoto inatoa EXCUSES za kitoto eti sio lugha yetu sijui vile, kama unajua hujui unaenda kufanya nini?. Shame on all of you who supported Kanumba's presence in that House.


kumbuka alipata mwaliko, Mbona hukupata wewe na mimi. Yaani hakuna aliyekuona. Sometimes its better not to disclose/air-out things that you think you know.
 
@Dark City China and Japan have either the money or the population to popularise their language lakini sisi ni maskini ndio hatuwezi kuuza lugha zetu. Mimi ningependa kijaluo kiwe top lakini ufukara na kukosa mengu hunikosea
 
kumbuka alipata mwaliko, mbona hukupata wewe na mimi. Yaani hakuna aliyekuona. Sometimes its better not to disclose/air-out things that you think you know.


lol...............................omg!!!
 
jamani wana JF hii ni miujiza.mbona kuna vijana wengi bogo wanaongea kingereza vizuri,ikawaje wakamuona Kanumba au coz he is star!
 
jamani wana JF hii ni miujiza.mbona kuna vijana wengi bogo wanaongea kingereza vizuri,ikawaje wakamuona Kanumba au coz he is star!

Pole Tom, kigezo hakikuwa kuongea kingereza, Mnet/multichoice walimchagua masuperstar wa Africa. Sema lolote uwezalo lakini Kanumba ni star ktk Africa.
 
Is wider International market=English? Where are the Chines and Japanese?

Hao wachina na wajapani wenyewe wamegundua umuhimu wa lugha hiyo. Sasa hivi huko china nasikia kuanzia chekechea wanakomaliwa kujua english. Na mchina mtaalam anaejua kiingereza wao wenyewe wanamvalue sana na market yake iko juu usipime bana. Wamarekani wengi sasa hivi wana soko la ajira ya kufundisha kiingereza nchini China. Kila mchina anaeweza kupata chance ya kujifunza english sasa hivi anajifunza kwa nguvu zote. Nasikia kwenye vyuo vyao vikuu utakuta undergraduate karibu wote wanajifunza kiingereza kwa kasi ya ajabu,regardless their majors. Acheni kudanganya wabongo hapa. Wapeni moyo vijana wajitahidi kupandisha kiingereza otherwise tutaachwa hivi hivi kwa kusema ni janga la kimataifa sio kweli! ni janga la hapa kwetu. Ktk East Africa wakenya na waganda wako juu sana ukilinganisha na sisi. Rwanda nao wameshaanza kukishit kifaransa na hivi sasa wanajifunza kiingereza kwa kasi ya ajabu. Tusipoangalia hata Rwanda watatupita muda si mrefu kwa kukataa kukubali ukweli kuhusu umuhimu wa english. Let's encourage more and more poeple to learn and practise english.
 
Wabongo sio lazima mjue kiingereza ndio mpate heshima au muonekane mnajua,hata Albert Einstein alikuwa anaongea kiingereza kibovu ile mbaya lakini alikuwa Havard professor,namshangaa sana na JK kwanini hatumii kiswahili akiwa ugenini wakati kiingereza chake kibovu na anababaika na hawezi kupeleka message vizuri kwa kiingereza..atumie translator sio uababishaji wake JK!
 
Guys, kanumba alikuwa mgeni ndani ya BBA for 24 hrs i think. Na kwa mujibu wa udaku kaka kala shavu la kuingia BBA kiushkaji, nilisikia ana rafiki yake pande flani hivi za channel ya uchaguzi wa nani aende kama mgeni ndani ya nyumba....anyway, haijalishi kaka kala shavu japo ngeli hajui exposure kapata na anazidi kweli kuwapiga gap wasanii wenzako. All the best kanumba ila British council kaka ndio ukatembelee we ni msanii mkubwa BBA siyo Nigeria.
 
Binafsi sioni kwanini tunampiga madongo Kanumba kwa kuchemka kidogo kwenye kuongea lugha iliyokuja na ngalawa na boti kutoka Ulaya. Cha msingi ni kuwa tunahitaji kujifunza lugha hiyo kwa matumizi ya kuwasiliana na watu kwenye biashara na baadhi ya kazi zetu. Otherwise hakuna sababu ya kupondana eti Kanumba kaenda kajifagilia kuwa yeye ni celebrity. Kwani nani anayimwa kujifagilia kwenye eneo lake kama anaweza na kama ndio tabia yake kujifagilia.
By the way "Big Up brother Kanumba"
 
[FONT=Verdana, Arial, Helvetica, sans-serif]Who is your favourite housemate so far?[/FONT] [FONT=Verdana, Arial, Helvetica, sans-serif]Kevin[/FONT][FONT=Verdana, Arial, Helvetica, sans-serif]
green.gif
18.87 % (127)
[/FONT] [FONT=Verdana, Arial, Helvetica, sans-serif]Quinn[/FONT][FONT=Verdana, Arial, Helvetica, sans-serif]
pink.gif
14.86 % (100)
[/FONT] [FONT=Verdana, Arial, Helvetica, sans-serif]Jeremy[/FONT][FONT=Verdana, Arial, Helvetica, sans-serif]
darkgreen.gif
12.04 % (81)
[/FONT] [FONT=Verdana, Arial, Helvetica, sans-serif]Hannington[/FONT][FONT=Verdana, Arial, Helvetica, sans-serif]
blue.gif
10.40 % (70)
[/FONT] [FONT=Verdana, Arial, Helvetica, sans-serif]Itai[/FONT][FONT=Verdana, Arial, Helvetica, sans-serif]
brown.gif
9.66 % (65)
[/FONT] [FONT=Verdana, Arial, Helvetica, sans-serif]Kaone[/FONT][FONT=Verdana, Arial, Helvetica, sans-serif]
gold.gif
8.62 % (58)
[/FONT] [FONT=Verdana, Arial, Helvetica, sans-serif]Edward[/FONT][FONT=Verdana, Arial, Helvetica, sans-serif]
aqua.gif
7.13 % (48)
[/FONT] [FONT=Verdana, Arial, Helvetica, sans-serif]Wayoe[/FONT][FONT=Verdana, Arial, Helvetica, sans-serif]
red.gif
5.94 % (40)
[/FONT] [FONT=Verdana, Arial, Helvetica, sans-serif]Phil[/FONT][FONT=Verdana, Arial, Helvetica, sans-serif]
orange.gif
3.86 % (26)
[/FONT] [FONT=Verdana, Arial, Helvetica, sans-serif]Teddy[/FONT][FONT=Verdana, Arial, Helvetica, sans-serif]
purple.gif
3.71 % (25)
[/FONT] [FONT=Verdana, Arial, Helvetica, sans-serif]Yacob[/FONT][FONT=Verdana, Arial, Helvetica, sans-serif]
yellow.gif
2.97 % (20)
[/FONT] [FONT=Verdana, Arial, Helvetica, sans-serif]Leonel[/FONT][FONT=Verdana, Arial, Helvetica, sans-serif]
grey.gif
1.93 % (13)
[/FONT][FONT=Verdana, Arial, Helvetica, sans-serif]Total votes: 673[/FONT]

Where is Kanumba in the BB House chart above?


Kanumba sio Mshiriki wa BBA aliingia kwa masaa 24 tu ili kuwakaribisha washiriki wa mwaka huu.
 
watanzania wengi kingereza ni tatizo lakitaifa...hivyo sioni tatizo kwa Kanumba kukossea/kubabaika lungha ya wenzetu....cha msingi hapa ni kwamba tuchukue hii kama changamoto kwa wasanii wengine kwamba at least tujifunze ile basic english....ya kawaida tu ya kuombea maji ya darasa la saba(shule za walala hoi!!) itakusaidia sana if u are aiming higher in your carrier because in one way or another u will almost always need to use english in the international arena....please wake up tusilaumu tu hapa kwa sababu u are alone with ur computer so u can comment whatever u want lakini ww unakijua? au mimi maimuna zaidi!!! big up Kanumba I am ur fan but my comment is very neutral...work hard pal!
 
watanzania wengi kingereza ni tatizo lakitaifa...hivyo sioni tatizo kwa Kanumba kukossea/kubabaika lungha ya wenzetu....cha msingi hapa ni kwamba tuchukue hii kama changamoto kwa wasanii wengine kwamba at least tujifunze ile basic english....ya kawaida tu ya kuombea maji ya darasa la saba(shule za walala hoi!!) itakusaidia sana if u are aiming higher in your carrier because in one way or another u will almost always need to use english in the international arena....please wake up tusilaumu tu hapa kwa sababu u are alone with ur computer so u can comment whatever u want lakini ww unakijua? au mimi maimuna zaidi!!! big up Kanumba I am ur fan but my comment is very neutral...work hard pal!
Tatizo letu hapa ni kuwa wengi wetu mtu akiwa 'STAR' tunamwekea viwango vyetu wenyewe na tunalazimisha awe kama tunavyotaka.

Jamani, Kanumba amefikia hapo kwa juhudi zake binafsi na anastahili pongezi, kule BBA hakwenda kuwakilisha Taifa ila walimwalika kwa umaarufu wake binafsi sijui hapa tunadaiana nini na yeye?

Kuhusu ugha ya ki-inglishi, mbona wabongo wengi inatushinda? Wengi wanaoshabikia hapa wakijaribiwa watajiumauma vilevile!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom