HIVI ROMAN NA RUMI NI SAWA ?Kapitie nondo zako vizuri ndio uwe unaanzisha uzi wa kupotosha watu.....kosa dogo ulilolifanya kuonesha hukielewi unachokiandika ni tafsiri ya Roman Catholic sio Kanisa la rumi.... Siku nyingine ukitaka kuwadanganya wanaojua zaidi yako jipange sana