Maisha pesa
JF-Expert Member
- Nov 6, 2015
- 681
- 630
- Thread starter
- #41
Angepima halafu akakimbia ningeelewa lakini hivihiviAtakuwa kakimbia mgegedo tu.
Angepima halafu akakimbia ningeelewa lakini hivihiviAtakuwa kakimbia mgegedo tu.
Njoo wewe basi unipoze lakini sharti la kwanza ni kupimaKwani amezaliwa peke yake mwenye jinsia ya kike
UmewahiwaNjoo wewe basi unipoze lakini sharti la kwanza ni kupima
Mnh! 76% ya wadada wa bongo mko katika mahusiano wakati 90% ya wanaume ni single!!!Umewahiwa
Weeeh!, unataka wakuchambe. Watakuchamba mpaka utajuta kwanini umesema hivyo!wanawake wa dar wengi wana mdudu
HahaDeath was around the corner
Kachinje bata mwekundu umeponea chupuchupu
mMi najua ukitamka mdudu, akili yangu inarukia kwenye nyama pendwa.wanawake wa dar wengi wana mdudu
Wapi?kule kumeziba
Katikati ya miguu?Wapi?
Mnh! Wewe bhanaKatikati ya miguu?
Ino olakaibora, mbona wamasai Smartphones tunazo za kumwaga tu mkuu labda useme kingine"pole sana ndugu, huyo dada akiangalia love background yake ana nusu imani nayo''' kwake yy kwenda kupima ni sawasawa na Smartphones kwa wamasai"