tpaul
JF-Expert Member
- Feb 3, 2008
- 24,000
- 22,231
Sitaki salamu, naingia kwenye mada moja kwa moja. Wahenga walisema akutukanaye hakuchagulii tusi na asiyekutaka hakuambii toka bali atakutoa kwa visa ovu dhidi yako.
Kabla ya kwenda mbali kwanza naomba ku declare intrerst kuwa mm ni mwanaCCM kindakindaki na juzi nilikuwepo ndani ya ukumbi kule Dodoma nikishuhudia katiba ikisiginwa bila woga wowote. Kitendo cha Rais Samia kumpendekeza Nchimbi kuwa mgombea mwenza wake, hivyo automatically kuwa makamu wa Rais ikiwa CCM ikishinda kiti cha urais, ni ubaguzi mkubwa sana kwa waziri mkuu, Kassim Majaliwa. Majaliwa amefanya kazi chini serikali ya Magufuli tangu Rais Samia akiwa makamu wa Rais na baadaye kuwa rais. Ina maana kwa muda wote huo bado hajaona kama Majaliwa anafaa kwa lolote hadi anaenda kumuokota mtu aliyekiasi chama na kujiunga na team Lowassa ndiye awe makamu wa rais? Hili jambo mimi kama kada mwaminifu wa CCM linanisikitisha na kunikatisha tamaa kupindukia. Rais kama hamtaki majaliwa na anaona hafai kuwa kiongozi si amshauri ajiudhuru kama alivyofanya Philip Mpango?
Nina wasiwasi hata Mpango hukutakiwa kwenye uongozi wa sasa ndio maana alishauriwa ajitoe kwenye nafasi yake kwa kuandika barua halafu watu wanakuja kutuletea drama kwamba eti alikataa mwenyewe. Ashindwe kukataa kipindi cha Magufuli aliponyweshwa sumu aje kujiuzuru kipindi hiki ambacho tayari afya yake imeishaimarika? Tatizo mnatuona watanzania wote ni mazombie!
Hata kama hupendi kufanya kazi na mtu sio kumbagaza kiasi hiki mbele ya jamii na kusigina career yake ya kisiasa aliyoijenga kwa muda mrefu. Haipendezi hata kidogo.
Sote tumeshuhudia marais wakisuka safu zao za uongozi ndani ya chama chetu tangu kipindi cha mwalimu Nyerere lakini hatukuwahi kuona ubaguzi wa kiwango hiki. Na kibaya zaidi ubaguzi huu hauanzii kwenye uongozi wa juu tu bali hadi huku chini ni ubaguzi tupu. Ni katika utawala huu ndipo tumeshuhudia wazanzibar wakiteuliwa kushika nyadhifa za watanganyika wakati watanganyika hawawezi kupata nafasi kama hizo ktk nchi ya Zanzibar. Hivi inakuwaje raia kutoka Pemba anateuliwa kuwa RAS wa mkoa hapa Tanganyika? Hata Magufuli alikuwa dikteta lakini hatujawahi kushuhudia akifanya ubaguzi kama huu. Kwanza yule mpemba aliyepo kule baraza la mitihani aliingiaje pale? Haya mambo yanatia hasira sana. Yaani watanganyika wanakosa nafasi za ajira halafu wapemba wanakuja kujazwa kwenye nafasi za ajira za watanganyika? Ni nini hiki jamani?
Ujenzi wa Kizimkazi umetumia matrilioni ya fedha za watanganyika. Kana kwamba hii haitoshi, bado wapemba wanakuja kuchukua nafasi za watanganyika. Kwani Tanganyika imegeuzwa kuwa koloni la Zanzibar? Viongozi mnaofanya teuzi mnatuletea mambo ambayo yanaweza kuja kupelekea mauaji ya kimbari siku za usoni ikiwa hatua za makusudi hazitachukuliwa kuacha kasumba hii mara moja. Time will tell.
Kabla ya kwenda mbali kwanza naomba ku declare intrerst kuwa mm ni mwanaCCM kindakindaki na juzi nilikuwepo ndani ya ukumbi kule Dodoma nikishuhudia katiba ikisiginwa bila woga wowote. Kitendo cha Rais Samia kumpendekeza Nchimbi kuwa mgombea mwenza wake, hivyo automatically kuwa makamu wa Rais ikiwa CCM ikishinda kiti cha urais, ni ubaguzi mkubwa sana kwa waziri mkuu, Kassim Majaliwa. Majaliwa amefanya kazi chini serikali ya Magufuli tangu Rais Samia akiwa makamu wa Rais na baadaye kuwa rais. Ina maana kwa muda wote huo bado hajaona kama Majaliwa anafaa kwa lolote hadi anaenda kumuokota mtu aliyekiasi chama na kujiunga na team Lowassa ndiye awe makamu wa rais? Hili jambo mimi kama kada mwaminifu wa CCM linanisikitisha na kunikatisha tamaa kupindukia. Rais kama hamtaki majaliwa na anaona hafai kuwa kiongozi si amshauri ajiudhuru kama alivyofanya Philip Mpango?
Nina wasiwasi hata Mpango hukutakiwa kwenye uongozi wa sasa ndio maana alishauriwa ajitoe kwenye nafasi yake kwa kuandika barua halafu watu wanakuja kutuletea drama kwamba eti alikataa mwenyewe. Ashindwe kukataa kipindi cha Magufuli aliponyweshwa sumu aje kujiuzuru kipindi hiki ambacho tayari afya yake imeishaimarika? Tatizo mnatuona watanzania wote ni mazombie!
Hata kama hupendi kufanya kazi na mtu sio kumbagaza kiasi hiki mbele ya jamii na kusigina career yake ya kisiasa aliyoijenga kwa muda mrefu. Haipendezi hata kidogo.
Sote tumeshuhudia marais wakisuka safu zao za uongozi ndani ya chama chetu tangu kipindi cha mwalimu Nyerere lakini hatukuwahi kuona ubaguzi wa kiwango hiki. Na kibaya zaidi ubaguzi huu hauanzii kwenye uongozi wa juu tu bali hadi huku chini ni ubaguzi tupu. Ni katika utawala huu ndipo tumeshuhudia wazanzibar wakiteuliwa kushika nyadhifa za watanganyika wakati watanganyika hawawezi kupata nafasi kama hizo ktk nchi ya Zanzibar. Hivi inakuwaje raia kutoka Pemba anateuliwa kuwa RAS wa mkoa hapa Tanganyika? Hata Magufuli alikuwa dikteta lakini hatujawahi kushuhudia akifanya ubaguzi kama huu. Kwanza yule mpemba aliyepo kule baraza la mitihani aliingiaje pale? Haya mambo yanatia hasira sana. Yaani watanganyika wanakosa nafasi za ajira halafu wapemba wanakuja kujazwa kwenye nafasi za ajira za watanganyika? Ni nini hiki jamani?
Ujenzi wa Kizimkazi umetumia matrilioni ya fedha za watanganyika. Kana kwamba hii haitoshi, bado wapemba wanakuja kuchukua nafasi za watanganyika. Kwani Tanganyika imegeuzwa kuwa koloni la Zanzibar? Viongozi mnaofanya teuzi mnatuletea mambo ambayo yanaweza kuja kupelekea mauaji ya kimbari siku za usoni ikiwa hatua za makusudi hazitachukuliwa kuacha kasumba hii mara moja. Time will tell.