Missile of the Nation
JF-Expert Member
- May 24, 2018
- 15,061
- 55,955
- Thread starter
- #21
Lema karusha bomu kama la "Oreshnik". Mgambo wanaruka na kukanyaganaLEma kamwaga ugali na mboga vyote kwa wkt mmoja, sultan must go.
Lema karusha bomu kama la "Oreshnik". Mgambo wanaruka na kukanyaganaLEma kamwaga ugali na mboga vyote kwa wkt mmoja, sultan must go.
Semeni vizuri hatutaki code language, Mdee anampooza Mbowe, kwa hiyo Mbowe, Ben Kigaila, Salum Mwalimu na wengine ni maarchitect wa covid 19 kwenda bungeni.Dah, Mbowe alikiri kumuita Mdee Nairobi hotelini wakati Mdee keshasaliti chama.
Mbowe msanii.
Utaduwaa mno!Ninachowapenda Makamanda mna moyo sana, tena kuna wanaoamini mama Sami hashindi mitano tena.
Yani Mbowe atawapa fundisho kubwa sana kwamba uchaguzi wa chama cha siasa siyo uchaguzi wa TLS.
Uchaguzi wa Bavicha aliyeshinda anastahili, simjui lakini nimesoma wasifu wake tu ana sifa zote bila kujali anamuunga mkono nani kwenye Uwenyekiti.
Mbowe atawaduwaza.