Kama Mbowe angekuwa na busara angeivunja Sekretariati na kuiunda upya kuondoa wachumba/wapenzi wa wabunge 19

Missile of the Nation

JF-Expert Member
May 24, 2018
15,057
55,952
Zimekuwepo na hoja zinajengwa za kudai eti ndugu Mbowe ni mwenye busara. Hata hivyo mimi napinga hii hoja kutokana na matendo ya mwenyekiti.

Busara haipimwi tu kwa kauli bali inapimwa kwa maamuzi na hata matendo.

Hebu fikiria Jambo hili. Kwa mujibu wa katiba ya CHADEMA, Mwenyekiti ndiye anayeteua wajumbe wa Sekretariat kwa maana ya katibu mkuu, naibu katibu mkuu bara na naibu katibu mkuu Zanzibar.

Kwa hivi sasa Naibu katibu mkuu upande wa Zanzibar ni Salum Mwalimu na naibu katibu mkuu bara ni Benson Kigaila. Wote hawa wameteuliwa na Mbowe.

Kwa bahati mbaya, Salum Mwalimu na Benson Kigaila wake/wapenzi wao ni miongoni mwa wale wanawake 19 walioingia bungeni kwa kufoji na kughushi nyaraka za chama.

Cha kushangaza, hawa akina Benson Kigaila, na Salum Mwalimu ni wajumbe wa kamati kuu ambayo kimsingi ndiyo iliyojadili kosa la akina mama na pia kupanga hatua za kuchukua dhidi ya hawa akina mama, ikiwemo kukusanya ushahidi wa kuwapeleka mahakamani. Tena hawa akina Kigaila na Mwalimu ndiyo wanaopaswa kuifanya hiyo kazi.

Hapa kuna mgongano wa maslahi mkubwa ajabu.Je hatuoni kuwa hawa wajumbe watakapokuwa nyumbani/kitandani na wake/wapenzi wao lazima watatoa siri za nipango ya kamati kuu dhidi ya hao wake zao?

Je Mbowe analijua dili zima ndiyo maana kajizima data?. Kwq nini hakubadili wajumbe wa Sekretariat wakati kuna mgongano wa maslahi wa wazi kabisa?.

Ziko wapi hizo busara za Mwenyekiti wakati anashindwa kuilinda taasisi na madudu mazito kama haya?.

Kama hizi ndo busara za Mbowe basi kwa kweli upinzani hauhitaji busara zenye upofu kama hizi!
 
Yaani Mbowe aache kupiga pesa aogope propaganda za kuitwa hana busara?,.......wabunge 19,kila mmoja anaweka account ya Mbowe milioni 2,kwa mwezi mtoto wa mjini ana milioni 38.
Mbowe nitamuona mpumbavu sana,baba mkwe wake amemuachia urithi unaongiza mabilioni ya pesa kwenye ukoo,kisha kirahisi tu awaachie chama wakuja
 
Mbowe ameamua kumaliza mwendo kwa fedheha kubwa, kwa revelation ile ya Lemma jana inahitaji akili ya maiti kwa mjumbe yeyote yule kumpigia kura Mbowe.
Ninachowapenda Makamanda mna moyo sana, tena kuna wanaoamini mama Sami hashindi mitano tena.

Yani Mbowe atawapa fundisho kubwa sana kwamba uchaguzi wa chama cha siasa siyo uchaguzi wa TLS.

Uchaguzi wa Bavicha aliyeshinda anastahili, simjui lakini nimesoma wasifu wake tu ana sifa zote bila kujali anamuunga mkono nani kwenye Uwenyekiti.

Mbowe atawaduwaza.
 
Zimekuwepo na hoja zinajengwa za kudai eti ndugu Mbowe ni mwenye busara. Hata hivyo mimi napinga hii hoja kutokana na matendo ya mwenyekiti.

Busara haipimwi tu kwa kauli bali inapimwa kwa maamuzi na hata matendo.

Hebu fikiria Jambo hili. Kwa mujibu wa katiba ya CHADEMA, Mwenyekiti ndiye anayeteua wajumbe wa Sekretariat kwa maana ya katibu mkuu, naibu katibu mkuu bara na naibu katibu mkuu Zanzibar.

Kwa hivi sasa Naibu katibu mkuu upande wa Zanzibar ni Salum Mwalimu na naibu katibu mkuu bara ni Benson Kigaila. Wote hawa wameteuliwa na Mbowe.

Kwa bahati mbaya, Salum Mwalimu na Benson Kigaila wake/wapenzi wao ni miongoni mwa wale wanawake 19 walioingia bungeni kwa kufoji na kughushi nyaraka za chama.

Cha kushangaza, hawa akina Benson Kigaila, na Salum Mwalimu ni wajumbe wa kamati kuu ambayo kimsingi ndiyo iliyojadili kosa la akina mama na pia kupanga hatua za kuchukua dhidi ya hawa akina mama, ikiwemo kukusanya ushahidi wa kuwapeleka mahakamani. Tena hawa akina Kigaila na Mwalimu ndiyo wanaopaswa kuifanya hiyo kazi. Hapa kuna mgongano wa maslahi mkubwa ajabu.Je hatuoni kuwa hawa wajumbe watakapokuwa nyumbani/kitandani na wake/wapenzi wao lazima watatoa siri za nipango ya kamati kuu dhidi ya hao wake zao?

Je Mbowe analijua dili zima ndiyo maana kajizima data?. Kwq nini hakubadili wajumbe wa Sekretariat wakati kuna mgongano wa maslahi wa wazi kabisa?.

Ziko wapi hizo busara za Mwenyekiti wakati anashindwa kuilinda taasisi na madudu mazito kama haya?.

Kama hizi ndo busara za Mbowe basi kwa kweli upinzani hauhitaji busara zenye upofu kama hizi!
ataondoa wangapi?。 je wajua baada ya kutimuana zuga kwenye CC kuna watu waliitana hotelini Nairobi kwenda kupeana pole na kupoozana?unawajua hao walioitana Nairobi ni kina nani na waliitwa na nani?。Voices From Within: Unaweza usiamini! Aliyetoa A Go ahead kwa Mdee na Wenzake ni Kigogo wa Chadema!. Alikuwepo Ukumbini na Vikaoni! Je, ni nani?
P
 
ataondoa wangapi?。 je wajua baada ya kutimuana zuga kwenye CC kuna watu waliitana hotelini Nairobi kwenda kupeana pole na kupoozana?unawajua hao walioitana Nairobi ni kina nani na waliitwa na nani?。Voices From Within: Unaweza usiamini! Aliyetoa A Go ahead kwa Mdee na Wenzake ni Kigogo wa Chadema!. Alikuwepo Ukumbini na Vikaoni! Je, ni nani?
P
Kwahiyo kaka anakula mzigo wa Sauti ya Zege?

Maana usikute issue siyo kiti tu kumbe kuna ya chini ya kapeti hatuambiwi ukweli tulio nje.
 
Hiyo mgombea mnayesema ni mashairi Hana kashfa naye si alimpa dada yake ubunge ambaye alikuwa anaishi marekani anakuja tuu baadhi ya vikao vya bunge huku akiwa haileweki anaongea nini? Hotoba yake ya mwisho bungeni kabla hajafariki alikuwa anawahimiza wanaume wapake DEODORANT 😀😀😀
 
Zimekuwepo na hoja zinajengwa za kudai eti ndugu Mbowe ni mwenye busara. Hata hivyo mimi napinga hii hoja kutokana na matendo ya mwenyekiti.

Busara haipimwi tu kwa kauli bali inapimwa kwa maamuzi na hata matendo.

Hebu fikiria Jambo hili. Kwa mujibu wa katiba ya CHADEMA, Mwenyekiti ndiye anayeteua wajumbe wa Sekretariat kwa maana ya katibu mkuu, naibu katibu mkuu bara na naibu katibu mkuu Zanzibar.

Kwa hivi sasa Naibu katibu mkuu upande wa Zanzibar ni Salum Mwalimu na naibu katibu mkuu bara ni Benson Kigaila. Wote hawa wameteuliwa na Mbowe.

Kwa bahati mbaya, Salum Mwalimu na Benson Kigaila wake/wapenzi wao ni miongoni mwa wale wanawake 19 walioingia bungeni kwa kufoji na kughushi nyaraka za chama.

Cha kushangaza, hawa akina Benson Kigaila, na Salum Mwalimu ni wajumbe wa kamati kuu ambayo kimsingi ndiyo iliyojadili kosa la akina mama na pia kupanga hatua za kuchukua dhidi ya hawa akina mama, ikiwemo kukusanya ushahidi wa kuwapeleka mahakamani. Tena hawa akina Kigaila na Mwalimu ndiyo wanaopaswa kuifanya hiyo kazi.

Hapa kuna mgongano wa maslahi mkubwa ajabu.Je hatuoni kuwa hawa wajumbe watakapokuwa nyumbani/kitandani na wake/wapenzi wao lazima watatoa siri za nipango ya kamati kuu dhidi ya hao wake zao?

Je Mbowe analijua dili zima ndiyo maana kajizima data?. Kwq nini hakubadili wajumbe wa Sekretariat wakati kuna mgongano wa maslahi wa wazi kabisa?.

Ziko wapi hizo busara za Mwenyekiti wakati anashindwa kuilinda taasisi na madudu mazito kama haya?.

Kama hizi ndo busara za Mbowe basi kwa kweli upinzani hauhitaji busara zenye upofu kama hizi!
Mbowe ana busara sana, ndiyo maana hajaivunja akijua na wao wanatafula pesa na kule CHADEMA hawalipwi.
 
Zimekuwepo na hoja zinajengwa za kudai eti ndugu Mbowe ni mwenye busara. Hata hivyo mimi napinga hii hoja kutokana na matendo ya mwenyekiti.

Busara haipimwi tu kwa kauli bali inapimwa kwa maamuzi na hata matendo.

Hebu fikiria Jambo hili. Kwa mujibu wa katiba ya CHADEMA, Mwenyekiti ndiye anayeteua wajumbe wa Sekretariat kwa maana ya katibu mkuu, naibu katibu mkuu bara na naibu katibu mkuu Zanzibar.

Kwa hivi sasa Naibu katibu mkuu upande wa Zanzibar ni Salum Mwalimu na naibu katibu mkuu bara ni Benson Kigaila. Wote hawa wameteuliwa na Mbowe.

Kwa bahati mbaya, Salum Mwalimu na Benson Kigaila wake/wapenzi wao ni miongoni mwa wale wanawake 19 walioingia bungeni kwa kufoji na kughushi nyaraka za chama.

Cha kushangaza, hawa akina Benson Kigaila, na Salum Mwalimu ni wajumbe wa kamati kuu ambayo kimsingi ndiyo iliyojadili kosa la akina mama na pia kupanga hatua za kuchukua dhidi ya hawa akina mama, ikiwemo kukusanya ushahidi wa kuwapeleka mahakamani. Tena hawa akina Kigaila na Mwalimu ndiyo wanaopaswa kuifanya hiyo kazi.

Hapa kuna mgongano wa maslahi mkubwa ajabu.Je hatuoni kuwa hawa wajumbe watakapokuwa nyumbani/kitandani na wake/wapenzi wao lazima watatoa siri za nipango ya kamati kuu dhidi ya hao wake zao?

Je Mbowe analijua dili zima ndiyo maana kajizima data?. Kwq nini hakubadili wajumbe wa Sekretariat wakati kuna mgongano wa maslahi wa wazi kabisa?.

Ziko wapi hizo busara za Mwenyekiti wakati anashindwa kuilinda taasisi na madudu mazito kama haya?.

Kama hizi ndo busara za Mbowe basi kwa kweli upinzani hauhitaji busara zenye upofu kama hizi!
LEma kamwaga ugali na mboga vyote kwa wkt mmoja, sultan must go.
 
Hiyo mgombea mnayesema ni mashairi Hana kashfa naye si alimpa dada yake ubunge ambaye alikuwa anaishi marekani anakuja tuu baadhi ya vikao vya bunge huku akiwa haileweki anaongea nini? Hotoba yake ya mwisho bungeni kabla hajafariki alikuwa anawahimiza wanaume wapake DEODORANT 😀😀😀
Imebuma
 
Ninachowapenda Makamanda mna moyo sana, tena kuna wanaoamini mama Sami hashindi mitano tena.

Yani Mbowe atawapa fundisho kubwa sana kwamba uchaguzi wa chama cha siasa siyo uchaguzi wa TLS.

Uchaguzi wa Bavicha aliyeshinda anastahili, simjui lakini nimesoma wasifu wake tu ana sifa zote bila kujali anamuunga mkono nani kwenye Uwenyekiti.

Mbowe atawaduwaza.
Hayo ni matamanio yako na ni haki yako ila siyo hali halisi.
 
Ninachowapenda Makamanda mna moyo sana, tena kuna wanaoamini mama Sami hashindi mitano tena.

Yani Mbowe atawapa fundisho kubwa sana kwamba uchaguzi wa chama cha siasa siyo uchaguzi wa TLS.

Uchaguzi wa Bavicha aliyeshinda anastahili, simjui lakini nimesoma wasifu wake tu ana sifa zote bila kujali anamuunga mkono nani kwenye Uwenyekiti.

Mbowe atawaduwaza.
Utakuwa na majonzi sana tarehe 21.

Jiandae tu Lissu ndo Mwenyekiti wa CHADEMA kuanzia 21 Januari, 2025
 
Back
Top Bottom