GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,267
- 120,307
Sasa kwanini usiombe tu Kazi huko Kwao ili tujue moja? Mechi yetu nawe najua utatukazia mno na hata Kushirikiana nao Kuroga / Kuturoga.
Sasa kwanini usiombe tu Kazi huko Kwao ili tujue moja? Mechi yetu nawe najua utatukazia mno na hata Kushirikiana nao Kuroga / Kuturoga.
Kwani Kalimangonga ndiye aliueidakia KMC hapo Jana?Sasa kwanini usiombe tu Kazi huko Kwao ili tujue moja? Mechi yetu nawe najua utatukazia mno na hata Kushirikiana nao Kuroga / Kuturoga.
Wachezaji kina Mutale na Kibu siku 400 bila goliKwa simba hii hawezi kabisa atamkaba nani na speed ya timu.ilo la kushirikiana lipo wazi kabsa watafanya hivyo
Mwaka huu ubaya ubwela kumamakeh...jino kwa jino, Hadi mechi ya mwisho tutafanya umafia wote mamaeh na Simba bingwa ..by the way mmeshampa pesa yote ikangalombo? Mana tuliwasiliana nae tukamwambia timu unayoenda kucheza ni mbovu na zaidi ni matapeli na huwarusha pesa wachezaji wake na Zaid huwabania zikija ofa nono, kwaio jamaa huko anataka signing fee yote mumuwekee kwenye akaunti mamaeh, la sivyo hachezi, na atarudi kwao au sisi mnyama tunaweza kumtafutia timu nyingine, Bado Kuna bomu la baleke.Niliwaambia hii sio Simba hayo ni mapaka mkabisha. Si mnasikia milio hiyo?
Halafu wanacheza kimataifa huyo dube na musonda na abuya wanacheza mchangani kupanga kuchaguaWachezaji kina Mutale na Kibu siku 400 bila goli
Kapewa ISTMwaka huu ubaya ubwela kumamakeh...jino kwa jino, Hadi mechi ya mwisho tutafanya umafia wote mamaeh na Simba bingwa ..by the way mmeshampa pesa yote ikangalombo? Mana tuliwasiliana nae tukamwambia timu unayoenda kucheza ni mbovu na zaidi ni matapeli na huwarusha pesa wachezaji wake na Zaid huwabania zikija ofa nono, kwaio jamaa huko anataka signing fee yote mumuwekee kwenye akaunti mamaeh, la sivyo hachezi, na atarudi kwao au sisi mnyama tunaweza kumtafutia timu nyingine, Bado Kuna bomu la baleke.