Kafulila: Polisi Tanzania kuanza kutumia mashine maalumu za ki-electronic kupima uzima wa magari nchi nzima bila kutumia pesa ya Serikali

View attachment 2986181
Mkurugenzi Mkuu wa Ubia kati ya Sekta binafsi na Serikali ya JMT Mhe David Kafulila akiwa kwenye kipindi Cha DAKIKA 45 kinachorusha katika runinga ya ITV ameuambia umma wa Watanzania mambo muhimu yafuatayo,

1. Polisi kwa mara ya kwanza Tanzania chini ya Serikali ya awamu ya sita ya Dkt Samia Suluhu Hassan watapata mwekezaji kwaajili ya kupatiwa mashine maalumu za kukagua na kuchunguza uzima na uimara wa magari yote nchini ki-electronic ili kupunguza ajali za mara kwa mara.

2. Mkurugenzi huyo amesema mradi huo wa UBia hautatumia pesa ya Serikali hata mia bali utatumia pesa za Mwekezaji ili Fedha za Serikali zilizotengwa kununua vifaa hivyo zitapelekwa katika maeneo mengine ya kimaendeleo.

3. Mkurugenzi huyu ameueleza Umma wa Watanzania kuwa, kwa mara ya kwanza chini ya Rais Samia Suluhu Hassan PPP inaonesha matokeo katika kuisaidia Serikali katika kufikia malengo yake bila kuumiza Wananchi wa vipato vya chini.

4. Ifahamike kuwa, Mradi huu wa kununua mashine za ki-electronic kwaajili ya kupima Ubora na Uzima wa Magari yote utagharimu mabilioni ya Shilingi kama tungesema ni Serikali itoe pesa hizi basi ni wazi watu w

etu wangekamuliwa ili mashine hizi zinunuliwe kwani ni za muhimu hasa kwa wakati huu ambao Uchumi wa Tanzania unakua kwa kasi na watu wananunua magari Kila Leo.

5. Kwa lugha nyepesi kazi ya PPP ni kuipa nafuu Serikali katika kutekeleza miradi yake ya maendeleo kwa kutumia pesa kutoka nje ya Serikali kwaajili ya miradi ya Serikali na mwisho wa siku Wananchi wanapata huduma bora na zinazostahili.

# Kwa mambo haya hakika Mama Samia anatosha mpaka 2030.
Hii ianze mara moja tuko tayari
 
View attachment 2986181
Mkurugenzi Mkuu wa Ubia kati ya Sekta binafsi na Serikali ya JMT Mhe David Kafulila akiwa kwenye kipindi Cha DAKIKA 45 kinachorusha katika runinga ya ITV ameuambia umma wa Watanzania mambo muhimu yafuatayo,

1. Polisi kwa mara ya kwanza Tanzania chini ya Serikali ya awamu ya sita ya Dkt Samia Suluhu Hassan watapata mwekezaji kwaajili ya kupatiwa mashine maalumu za kukagua na kuchunguza uzima na uimara wa magari yote nchini ki-electronic ili kupunguza ajali za mara kwa mara.

2. Mkurugenzi huyo amesema mradi huo wa UBia hautatumia pesa ya Serikali hata mia bali utatumia pesa za Mwekezaji ili Fedha za Serikali zilizotengwa kununua vifaa hivyo zitapelekwa katika maeneo mengine ya kimaendeleo.

3. Mkurugenzi huyu ameueleza Umma wa Watanzania kuwa, kwa mara ya kwanza chini ya Rais Samia Suluhu Hassan PPP inaonesha matokeo katika kuisaidia Serikali katika kufikia malengo yake bila kuumiza Wananchi wa vipato vya chini.

4. Ifahamike kuwa, Mradi huu wa kununua mashine za ki-electronic kwaajili ya kupima Ubora na Uzima wa Magari yote utagharimu mabilioni ya Shilingi kama tungesema ni Serikali itoe pesa hizi basi ni wazi watu w

etu wangekamuliwa ili mashine hizi zinunuliwe kwani ni za muhimu hasa kwa wakati huu ambao Uchumi wa Tanzania unakua kwa kasi na watu wananunua magari Kila Leo.

5. Kwa lugha nyepesi kazi ya PPP ni kuipa nafuu Serikali katika kutekeleza miradi yake ya maendeleo kwa kutumia pesa kutoka nje ya Serikali kwaajili ya miradi ya Serikali na mwisho wa siku Wananchi wanapata huduma bora na zinazostahili.

# Kwa mambo haya hakika Mama Samia anatosha mpaka 2030.
Tuna na Mama Daima
 
Ila huyu jamaa kama naanza kumuelewa,

Tanzania tumezubaa sana kule UK mpaka SGR yao ni mali ya mtu binafsi.

Hongera Rais Samia, Hongera Kafulila
Aliyekuambia ni mali ya mtu binafsi ni nani?miafrika ni miafrika tu.kumbuka ulaya serikali zimejijengea uwezo mkubwa sana tofauti na Africa ambako badala ya kujenga uwezo wanakuza mafisadi na wezi wa kutisha kila kona fedha ya umma inaliwa bila hofu.
 
View attachment 2986181
Mkurugenzi Mkuu wa Ubia kati ya Sekta binafsi na Serikali ya JMT Mhe David Kafulila akiwa kwenye kipindi Cha DAKIKA 45 kinachorusha katika runinga ya ITV ameuambia umma wa Watanzania mambo muhimu yafuatayo,

1. Polisi kwa mara ya kwanza Tanzania chini ya Serikali ya awamu ya sita ya Dkt Samia Suluhu Hassan watapata mwekezaji kwaajili ya kupatiwa mashine maalumu za kukagua na kuchunguza uzima na uimara wa magari yote nchini ki-electronic ili kupunguza ajali za mara kwa mara.

2. Mkurugenzi huyo amesema mradi huo wa UBia hautatumia pesa ya Serikali hata mia bali utatumia pesa za Mwekezaji ili Fedha za Serikali zilizotengwa kununua vifaa hivyo zitapelekwa katika maeneo mengine ya kimaendeleo.

3. Mkurugenzi huyu ameueleza Umma wa Watanzania kuwa, kwa mara ya kwanza chini ya Rais Samia Suluhu Hassan PPP inaonesha matokeo katika kuisaidia Serikali katika kufikia malengo yake bila kuumiza Wananchi wa vipato vya chini.

4. Ifahamike kuwa, Mradi huu wa kununua mashine za ki-electronic kwaajili ya kupima Ubora na Uzima wa Magari yote utagharimu mabilioni ya Shilingi kama tungesema ni Serikali itoe pesa hizi basi ni wazi watu w

etu wangekamuliwa ili mashine hizi zinunuliwe kwani ni za muhimu hasa kwa wakati huu ambao Uchumi wa Tanzania unakua kwa kasi na watu wananunua magari Kila Leo.

5. Kwa lugha nyepesi kazi ya PPP ni kuipa nafuu Serikali katika kutekeleza miradi yake ya maendeleo kwa kutumia pesa kutoka nje ya Serikali kwaajili ya miradi ya Serikali na mwisho wa siku Wananchi wanapata huduma bora na zinazostahili.

# Kwa mambo haya hakika Mama Samia anatosha mpaka 2030.
Mimi leo na Kafulila tu mpaka kieleweke
 
View attachment 2986181
Mkurugenzi Mkuu wa Ubia kati ya Sekta binafsi na Serikali ya JMT Mhe David Kafulila akiwa kwenye kipindi Cha DAKIKA 45 kinachorusha katika runinga ya ITV ameuambia umma wa Watanzania mambo muhimu yafuatayo,

1. Polisi kwa mara ya kwanza Tanzania chini ya Serikali ya awamu ya sita ya Dkt Samia Suluhu Hassan watapata mwekezaji kwaajili ya kupatiwa mashine maalumu za kukagua na kuchunguza uzima na uimara wa magari yote nchini ki-electronic ili kupunguza ajali za mara kwa mara.

2. Mkurugenzi huyo amesema mradi huo wa UBia hautatumia pesa ya Serikali hata mia bali utatumia pesa za Mwekezaji ili Fedha za Serikali zilizotengwa kununua vifaa hivyo zitapelekwa katika maeneo mengine ya kimaendeleo.

3. Mkurugenzi huyu ameueleza Umma wa Watanzania kuwa, kwa mara ya kwanza chini ya Rais Samia Suluhu Hassan PPP inaonesha matokeo katika kuisaidia Serikali katika kufikia malengo yake bila kuumiza Wananchi wa vipato vya chini.

4. Ifahamike kuwa, Mradi huu wa kununua mashine za ki-electronic kwaajili ya kupima Ubora na Uzima wa Magari yote utagharimu mabilioni ya Shilingi kama tungesema ni Serikali itoe pesa hizi basi ni wazi watu w

etu wangekamuliwa ili mashine hizi zinunuliwe kwani ni za muhimu hasa kwa wakati huu ambao Uchumi wa Tanzania unakua kwa kasi na watu wananunua magari Kila Leo.

5. Kwa lugha nyepesi kazi ya PPP ni kuipa nafuu Serikali katika kutekeleza miradi yake ya maendeleo kwa kutumia pesa kutoka nje ya Serikali kwaajili ya miradi ya Serikali na mwisho wa siku Wananchi wanapata huduma bora na zinazostahili.

# Kwa mambo haya hakika Mama Samia anatosha mpaka 2030.
 
View attachment 2986181
Mkurugenzi Mkuu wa Ubia kati ya Sekta binafsi na Serikali ya JMT Mhe David Kafulila akiwa kwenye kipindi Cha DAKIKA 45 kinachorusha katika runinga ya ITV ameuambia umma wa Watanzania mambo muhimu yafuatayo,

1. Polisi kwa mara ya kwanza Tanzania chini ya Serikali ya awamu ya sita ya Dkt Samia Suluhu Hassan watapata mwekezaji kwaajili ya kupatiwa mashine maalumu za kukagua na kuchunguza uzima na uimara wa magari yote nchini ki-electronic ili kupunguza ajali za mara kwa mara.

2. Mkurugenzi huyo amesema mradi huo wa UBia hautatumia pesa ya Serikali hata mia bali utatumia pesa za Mwekezaji ili Fedha za Serikali zilizotengwa kununua vifaa hivyo zitapelekwa katika maeneo mengine ya kimaendeleo.

3. Mkurugenzi huyu ameueleza Umma wa Watanzania kuwa, kwa mara ya kwanza chini ya Rais Samia Suluhu Hassan PPP inaonesha matokeo katika kuisaidia Serikali katika kufikia malengo yake bila kuumiza Wananchi wa vipato vya chini.

4. Ifahamike kuwa, Mradi huu wa kununua mashine za ki-electronic kwaajili ya kupima Ubora na Uzima wa Magari yote utagharimu mabilioni ya Shilingi kama tungesema ni Serikali itoe pesa hizi basi ni wazi watu w

etu wangekamuliwa ili mashine hizi zinunuliwe kwani ni za muhimu hasa kwa wakati huu ambao Uchumi wa Tanzania unakua kwa kasi na watu wananunua magari Kila Leo.

5. Kwa lugha nyepesi kazi ya PPP ni kuipa nafuu Serikali katika kutekeleza miradi yake ya maendeleo kwa kutumia pesa kutoka nje ya Serikali kwaajili ya miradi ya Serikali na mwisho wa siku Wananchi wanapata huduma bora na zinazostahili.

# Kwa mambo haya hakika Mama Samia anatosha mpaka 2030.
Hakuna mwekezaji anakuja kuweka hela yake hapa bure ni lazima tutalipa tu kwa namna yoyote ile tusidanganyane
 
View attachment 2986181
Mkurugenzi Mkuu wa Ubia kati ya Sekta binafsi na Serikali ya JMT Mhe David Kafulila akiwa kwenye kipindi Cha DAKIKA 45 kinachorusha katika runinga ya ITV ameuambia umma wa Watanzania mambo muhimu yafuatayo,

1. Polisi kwa mara ya kwanza Tanzania chini ya Serikali ya awamu ya sita ya Dkt Samia Suluhu Hassan watapata mwekezaji kwaajili ya kupatiwa mashine maalumu za kukagua na kuchunguza uzima na uimara wa magari yote nchini ki-electronic ili kupunguza ajali za mara kwa mara.

2. Mkurugenzi huyo amesema mradi huo wa UBia hautatumia pesa ya Serikali hata mia bali utatumia pesa za Mwekezaji ili Fedha za Serikali zilizotengwa kununua vifaa hivyo zitapelekwa katika maeneo mengine ya kimaendeleo.

3. Mkurugenzi huyu ameueleza Umma wa Watanzania kuwa, kwa mara ya kwanza chini ya Rais Samia Suluhu Hassan PPP inaonesha matokeo katika kuisaidia Serikali katika kufikia malengo yake bila kuumiza Wananchi wa vipato vya chini.

4. Ifahamike kuwa, Mradi huu wa kununua mashine za ki-electronic kwaajili ya kupima Ubora na Uzima wa Magari yote utagharimu mabilioni ya Shilingi kama tungesema ni Serikali itoe pesa hizi basi ni wazi watu w

etu wangekamuliwa ili mashine hizi zinunuliwe kwani ni za muhimu hasa kwa wakati huu ambao Uchumi wa Tanzania unakua kwa kasi na watu wananunua magari Kila Leo.

5. Kwa lugha nyepesi kazi ya PPP ni kuipa nafuu Serikali katika kutekeleza miradi yake ya maendeleo kwa kutumia pesa kutoka nje ya Serikali kwaajili ya miradi ya Serikali na mwisho wa siku Wananchi wanapata huduma bora na zinazostahili.

# Kwa mambo haya hakika Mama Samia anatosha mpaka 2030.
expand...
HILI LIFANYIKE KWA HARAKA.
^^^^^^^^
Pamoja na kazi nzuri anayoifanya David Kafulila bado Watanzania wanahitaji kupewa Elimu ya kutosha juu ya mambo mazuri kama haya ,

Shida ya Watanzania ni Taarifa tu ndio hawana ndio maana unaweza ukadhani ni wakorofi kumbe hapana
 
View attachment 2986181
Mkurugenzi Mkuu wa Ubia kati ya Sekta binafsi na Serikali ya JMT Mhe David Kafulila akiwa kwenye kipindi Cha DAKIKA 45 kinachorusha katika runinga ya ITV ameuambia umma wa Watanzania mambo muhimu yafuatayo,

1. Polisi kwa mara ya kwanza Tanzania chini ya Serikali ya awamu ya sita ya Dkt Samia Suluhu Hassan watapata mwekezaji kwaajili ya kupatiwa mashine maalumu za kukagua na kuchunguza uzima na uimara wa magari yote nchini ki-electronic ili kupunguza ajali za mara kwa mara.

2. Mkurugenzi huyo amesema mradi huo wa UBia hautatumia pesa ya Serikali hata mia bali utatumia pesa za Mwekezaji ili Fedha za Serikali zilizotengwa kununua vifaa hivyo zitapelekwa katika maeneo mengine ya kimaendeleo.

3. Mkurugenzi huyu ameueleza Umma wa Watanzania kuwa, kwa mara ya kwanza chini ya Rais Samia Suluhu Hassan PPP inaonesha matokeo katika kuisaidia Serikali katika kufikia malengo yake bila kuumiza Wananchi wa vipato vya chini.

4. Ifahamike kuwa, Mradi huu wa kununua mashine za ki-electronic kwaajili ya kupima Ubora na Uzima wa Magari yote utagharimu mabilioni ya Shilingi kama tungesema ni Serikali itoe pesa hizi basi ni wazi watu w

etu wangekamuliwa ili mashine hizi zinunuliwe kwani ni za muhimu hasa kwa wakati huu ambao Uchumi wa Tanzania unakua kwa kasi na watu wananunua magari Kila Leo.

5. Kwa lugha nyepesi kazi ya PPP ni kuipa nafuu Serikali katika kutekeleza miradi yake ya maendeleo kwa kutumia pesa kutoka nje ya Serikali kwaajili ya miradi ya Serikali na mwisho wa siku Wananchi wanapata huduma bora na zinazostahili.

# Kwa mambo haya hakika Mama Samia anatosha mpaka 2030.
Hongera sana ndg yangu Kafulila naona nia yako ni njema Mungu akupe tarajio la moyo wako,

Hakika unanisaidia CCM na Rais Samia na Serikali,

Unajibu hoja kwaakili na kwa staha sana,

Hakika Umebarikiwa sana ndg yangu.

Nafuatilia maandiko yako yote hata usiku huu,

#Ubarikiwe, Ubarikiwe Ubarikiwe X7
 
Back
Top Bottom