Ngungenge
JF-Expert Member
- Jun 11, 2016
- 2,914
- 3,386
- Thread starter
- #21
Ki msingi na Sisi katutukana sababu kikosi cha Tanzania kiko chini ya south Africa that's y tunataka ashughulikiweKwenye Mkutano wa viongozi wa East africa commander in Chief Samia kasema mambo ya historia yabaki historia tujadili ya sasa,Kagame kabweka yote na kumponda sana Rais wa Africa kusini na majeshi yake kajaribu sana kuavoid neno Tanzania na Jeshi lake.