Lazaroj
JF-Expert Member
- Aug 10, 2015
- 1,451
- 1,050
anaharibu lugha za watu"kunywa nzagamba ya kisukuma "angeuliza maana yake kabla ya kupostNzagamba ni fahari.... kama kiswahili pia haujui fahari ni Ng'ombe dume.
anaharibu lugha za watu"kunywa nzagamba ya kisukuma "angeuliza maana yake kabla ya kupostNzagamba ni fahari.... kama kiswahili pia haujui fahari ni Ng'ombe dume.
Nenda MMU kwenye thread za jinsi ya kumfikisha mwanamke kileleni utaelewa, huku patakupa shida kama hata magazeti unayosoma ni ya Shigongo na tv program unaangalia chereko.Si ajabu ww ndo una matatizo
kamanda utakuwa umeoteshwa ndoto. kwa hiyo huu ni ufafanuzi wa ndoto yako naona. unakumbuka gazeti la Mwanahalisi lilituhabarisha nini kuhusu Richmond saga kwa muda wa miaka 8. nini kimetokea baadae kwa gazeti hilihili.! tufungue macho kidogo. hatuwezi liamini tena gazeti wala waandishi makanjanja. wanataka kutumia matukio ili kuuza gazeti. ndio maana tuliitwa wapumbaf na malofa. hujastuka tuu.Hakuna ulaji mnono uliopata kutokea katika nchi hii tangu uhuru kama huu wa IPTL na mwanae ESCROW.
Ni ulaji ambao ulitengenezwa na kigogo wa vigogo na utazama na gogo la magogo kwa sababu sasa mambo yanaanza kuanikika.
Ufisadi huu ndiyo uliotaka ututumbukize kwenye miaka mingine 10 ya maktaim ya kiuchumi kwa kutaka kumpandikiza mmoja wao awe Rais wetu wa awamu ya tano ili awalindie wezi mali walizoiba.
Niliisha andika mara nyingi huko nyuma kwamba Magufuli asihangaike sana kumtafuta mwizi na wajanja wanaoifilisi nchi hii kupitia IPTL kwa sababu kwa namna yoyote ile na kwa jinsi mambo yalivyosokotana itafika mahali wahusika wenyewe kwa wenyewe watapandishana kwenye stuli, watavishana kitanzi shingoni na watamsimamisha mheshimiwa Rais John Pombe Magufuli ili asimame abitue stuli.
Rais ataibitua stuli taratibu kwa mguu wake wa kushoto na kurudi kuketi kwenye sofa lake kuendelea kunywa Nzagamba ya kisukuma. Wezi wetu watabakia wananing'inia.
Imeishajulikana mabilioni yalifichwa Australia na dogo mmoja wa ukoo wa lililokuwa gogo kuu la ikulu, haina shida siku itafika.
Bila shaka itafika siku akina Servacius Likwelile, Fredrick Werema, Eliakim Maswi, Sospeter Muhongo, Benno Ndulu, Joseph Makandege, singasinga Seth, Mizengo Pinda na hata Jakaya Kikwete mwenyewe watasimama wapaze sauti na watatuambia zilikofichwa pesa zetu walizotuhubiria mpaka bungeni kwamba pesa ile haikuwa yetu, ilikuwa yao wezi mashujaa.
Nafikiri kwa namna gazeti la Mwanahalisi toleo no. 332 la tarehe 28-3 March 2016 lilivyoripoti, sina chembe ya kulitilia shaka litatumalizia kadhia hii kwa kuiendeleza stori hii mpaka mwisho. Niwaombe watanzania safari hii tushikamane tusiogope kinyacho kama ni mitaani tuingie kushinikiza yeyote aliye husika ashtakiwe, hata kama ni Kikwetwe akamatwe maana hatukumchagua aende ikulu kutuibia.
Mliofungwa Segerea na Ukonga jiandaeni safari hii muyapokee magogo siku si nyingi zijazo.
Babu Seya upoooo?
Empty tin always shoutsNenda MMU kwenye thread za jinsi ya kumfikisha mwanamke kileleni utaelewa, huku patakupa shida kama hata magazeti unayosoma ni ya Shigongo na tv program unaangalia chereko.
RICHMOND JEE ? tusisahau kama tuna list maskendo tusiruke mengine wajameni. List of shame iliainisha bayana tena ilitungwa ma Tundu Antipasi Lissu na Dr Slaa.IPTL na Escrow havitaisha kuondoka na watu
go mwanahalisi, go
ni kwanini umeicha RICHMOND ya Lowasa. wakati inaendelea kutula hela mpaka leo hii. khaaa !Richmond ndio ilizaa IPTL baadaaeHakuna ulaji mnono uliopata kutokea katik! nchi hii tangu uhuru kama huu wa IPTL na mwanae ESCROW.
Ni ulaji ambao ulitengenezwa na kigogo wa vigogo na utazama na gogo la magogo kwa sababu sasa mambo yanaanza kuanikika.
Ufisadi huu ndiyo uliotaka ututumbukize kwenye miaka mingine 10 ya maktaim ya kiuchumi kwa kutaka kumpandikiza mmoja wao awe Rais wetu wa awamu ya tano ili awalindie wezi mali walizoiba.
Niliisha andika mara nyingi huko nyuma kwamba Magufuli asihangaike sana kumtafuta mwizi na wajanja wanaoifilisi nchi hii kupitia IPTL kwa sababu kwa namna yoyote ile na kwa jinsi mambo yalivyosokotana itafika mahali wahusika wenyewe kwa wenyewe watapandishana kwenye stuli, watavishana kitanzi shingoni na watamsimamisha mheshimiwa Rais John Pombe Magufuli ili asimame abitue stuli.
Rais ataibitua stuli taratibu kwa mguu wake wa kushoto na kurudi kuketi kwenye sofa lake kuendelea kunywa Nzagamba ya kisukuma. Wezi wetu watabakia wananing'inia.
Imeishajulikana mabilioni yalifichwa Australia na dogo mmoja wa ukoo wa lililokuwa gogo kuu la ikulu, haina shida siku itafika.
Bila shaka itafika siku akina Servacius Likwelile, Fredrick Werema, Eliakim Maswi, Sospeter Muhongo, Benno Ndulu, Joseph Makandege, singasinga Seth, Mizengo Pinda na hata Jakaya Kikwete mwenyewe watasimama wapaze sauti na watatuambia zilikofichwa pesa zetu walizotuhubiria mpaka bungeni kwamba pesa ile haikuwa yetu, ilikuwa yao wezi mashujaa.
Nafikiri kwa namna gazeti la Mwanahalisi toleo no. 332 la tarehe 28-3 March 2016 lilivyoripoti, sina chembe ya kulitilia shaka litatumalizia kadhia hii kwa kuiendeleza stori hii mpaka mwisho. Niwaombe watanzania safari hii tushikamane tusiogope kinyacho kama ni mitaani tuingie kushinikiza yeyote aliye husika ashtakiwe, hata kama ni Kikwetwe akamatwe maana hatukumchagua aende ikulu kutuibia.
Mliofungwa Segerea na Ukonga jiandaeni safari hii muyapokee magogo siku si nyingi zijazo.
Babu Seya upoooo?
Isee wewe ni kiboko kuliko kiboko mwenyewe, yaani mtoto anamzaa baba? Kuna watu humu ni hewa kwelikweli, kwamba unatuaminisha Tanzania ilikuwepo kabla ya Tanganyika?ni kwanini umeicha RICHMOND ya Lowasa. wakati inaendelea kutula hela mpaka leo hii. khaaa !Richmond ndio ilizaa IPTL baadaae
Umekataa kuwa mtanzania kabisa, tumsaidie Pombe jamani au imekugusa mkuu?Haya jipeni matumaini maisha yaendelee
I love you, pls be my Valentine.Empty tin always shouts
Kafulila namkubali sana, zitto attention seekerZitto kabwe wala David kafulila walikua bench substitution mkuu!!
ok tuseme IPTL ilimzaa RICHMOND. sasa kwa nini hukuitaja. kwani haikuwa skendo mbaya yaTaifa kwa kufisadiwa na wafanyabiashara hewa. wa briefcaseIsee wewe ni kiboko kuliko kiboko mwenyewe, yaani mtoto anamzaa baba? Kuna watu humu ni hewa kwelikweli, kwamba unatuaminisha Tanzania ilikuwepo kabla ya Tanganyika?
Daaah!! Unanivunja moyo wewe lkn sikati tamaa mileleKashfa yoyote inayo mgusa rais aliyeko ama aliyeondoka madarakani hufa kifo cha mende ama hugonga mwamba na kuishia hapo.
IPTL kama INA mgusa Kikwete basi hapo ndiyo mwisho wake.
Magufuli ili amtumbue Kikwete inabidi afanye mabadiliko kwenye vifungu vya katiba vinavyompa kinga rais aliyeko ama aliyemaliza muda wake. Swali ni je, JPM ana ubavu huo? Yeye mwenyewe haogopi kitakacho mpata siku za usoni?
Kwa swala la iptl na escrow nadhani tunafurahisha kunyerokunyero zetu tu. Jamaa wataendelea kupeta na tutawaona hivi hivi.
majipu watatumbuliwa haohao wakurugenzi tu..kuhusu waziri au mwanasheria au waziri wa serikali iliyopita kutumbuliwa hakuna kitu kama hcho..we wengine hadi wamesharudi kwe cabinet huku wakiwa na tuhuma afu we unawataja eti watatumbuliwa wapi?Hakuna ulaji mnono uliopata kutokea katika nchi hii tangu uhuru kama huu wa IPTL na mwanae ESCROW.
Ni ulaji ambao ulitengenezwa na kigogo wa vigogo na utazama na gogo la magogo kwa sababu sasa mambo yanaanza kuanikika.
Ufisadi huu ndiyo uliotaka ututumbukize kwenye miaka mingine 10 ya maktaim ya kiuchumi kwa kutaka kumpandikiza mmoja wao awe Rais wetu wa awamu ya tano ili awalindie wezi mali walizoiba.
Niliisha andika mara nyingi huko nyuma kwamba Magufuli asihangaike sana kumtafuta mwizi na wajanja wanaoifilisi nchi hii kupitia IPTL kwa sababu kwa namna yoyote ile na kwa jinsi mambo yalivyosokotana itafika mahali wahusika wenyewe kwa wenyewe watapandishana kwenye stuli, watavishana kitanzi shingoni na watamsimamisha mheshimiwa Rais John Pombe Magufuli ili asimame abitue stuli.
Rais ataibitua stuli taratibu kwa mguu wake wa kushoto na kurudi kuketi kwenye sofa lake kuendelea kunywa Nzagamba ya kisukuma. Wezi wetu watabakia wananing'inia.
Imeishajulikana mabilioni yalifichwa Australia na dogo mmoja wa ukoo wa lililokuwa gogo kuu la ikulu, haina shida siku itafika.
Bila shaka itafika siku akina Servacius Likwelile, Fredrick Werema, Eliakim Maswi, Sospeter Muhongo, Benno Ndulu, Joseph Makandege, singasinga Seth, Mizengo Pinda na hata Jakaya Kikwete mwenyewe watasimama wapaze sauti na watatuambia zilikofichwa pesa zetu walizotuhubiria mpaka bungeni kwamba pesa ile haikuwa yetu, ilikuwa yao wezi mashujaa.
Nafikiri kwa namna gazeti la Mwanahalisi toleo no. 332 la tarehe 28-3 March 2016 lilivyoripoti, sina chembe ya kulitilia shaka litatumalizia kadhia hii kwa kuiendeleza stori hii mpaka mwisho. Niwaombe watanzania safari hii tushikamane tusiogope kinyacho kama ni mitaani tuingie kushinikiza yeyote aliye husika ashtakiwe, hata kama ni Kikwetwe akamatwe maana hatukumchagua aende ikulu kutuibia.
Mliofungwa Segerea na Ukonga jiandaeni safari hii muyapokee magogo siku si nyingi zijazo.
Babu Seya upoooo?
Likewise empty headedI love you, pls be my Valentine.
Ianzishie Uzi mkuu aliyehusika aende nayo.ni kwanini umeicha RICHMOND ya Lowasa. wakati inaendelea kutula hela mpaka leo hii. khaaa !Richmond ndio ilizaa IPTL baadaae
Huku akipepesapepesa macho kama wale wa Ohi,,, akizungumza na wazee wa mafisiem wa Dar alisema,,,," Pesa ya Escrow si pesa ya serikali" sasa nyie mbwigilambwigila mnasemaje?