Lolote bata limpate tu, alikuwa anaburuza sana wabunge kipindi cha MwendazakeMuhtasari
Mheshimiwa Job Yustino Ndugai ni mwanasiasa wa Tanzania na aliwahi kuwa Spika wa Bunge la Tanzania tangu Novemba 2015 hadi alipojiuzulu Januari 6. Hapo awali alikuwa Naibu Spika kuanzia 2010 hadi 2015 kabla ya kuwa Spika chini ya serikali ya Magufuli. View attachment 3281708
Ohoooo!!Hebu sema vizuri tuanze kusherehekea.
Yule tumbili wa kibena naye alichemka mbayaNimemkumbuka kama nilivyomkubuka mchungaji aliyevua gwanda na kubebeshwa mapichapicha kama muongoza msafara wa marehemu hayati
Mkuu wacha watu wafikiri vyovyote, maana wewe ndiye uliyeleta puzzle hii.Never!
Mkuu Mshana jr kuna nini na huyu mtu maana kuna uzi tena umemtaja na ukaweka picha zenye maudhui ya kufanana na haya.Muhtasari
Mheshimiwa Job Yustino Ndugai ni mwanasiasa wa Tanzania na aliwahi kuwa Spika wa Bunge la Tanzania tangu Novemba 2015 hadi alipojiuzulu Januari 6. Hapo awali alikuwa Naibu Spika kuanzia 2010 hadi 2015 kabla ya kuwa Spika chini ya serikali ya Magufuli. View attachment 3281708
Na binadamu daima hushangilia mambo mabaya😂Mkuu wacha watu wafikiri vyovyote, maana wewe ndiye uliyeleta puzzle hii.
Utahangaika sana kuwarudisha watu ndani ya pandora.
Maana kama ni code word, mtu huwa mpaka apewe na muomgozo unaoitwa SOI(security operational instructions) ili kuweza kuelewa kilichokusidiwa.
Alishiriki moja kwa moja kuharibu demokrasia ya nchi hii ili kumfurahisha dhalimu magu.huyu jamaa alijiona Mungu MTU kipindi Fulani.
Km nimekuelewa nadhani akaribishwe maana mtaji wa kikoba ni kuwa na wanachama wengi.Dini sio msahafu kwamba haubadiliki