Stephano Mgendanyi
JF-Expert Member
- May 16, 2020
- 1,994
- 961
Leo tarehe 9 Mei, 2024 Saa Kumi na Moja Jioni, Mbunge wa Jimbo la Igunga Mhe. Nicholaus George Ngassa atachangia Bajeti ya Wizara ya Maji kuhusu;
1. Usambazaji wa Maji Vijijini (Upanuzi wa Mradi wa Maji ya Ziwa Victoria)
📌 Mradi wa Bulenya, Mwamashiga, Mbutu, Isakamaliwa, kining'inila, Mwamashimba, Mwamakona, Igurubi na Kinungu.
📌 Mradi wa Ipumbulya, Mwanshoma, Nguvumoja, Imenya, Lugubu, Mgazi, Chagana na Itumba.
2. Uchimbaji wa Visima vya Maji (Mradi wa Visima 900 maarufu Visima vya Mama Samia)
📌 Kityelo (Itumba), Nguvumoja, Mgazi (Lugubu), Imenya (Lugubu), Ibole (Igurubi) Kining'inila, Mwajilunga (Kinungu), Mwajinjama (Mtungulu), Chagana (Lugubu) na Isakamaliwa.
3. Vyanzo mbadala vya Fedha za kugharamia Miradi ya Maji Nchini.
1. Usambazaji wa Maji Vijijini (Upanuzi wa Mradi wa Maji ya Ziwa Victoria)
📌 Mradi wa Bulenya, Mwamashiga, Mbutu, Isakamaliwa, kining'inila, Mwamashimba, Mwamakona, Igurubi na Kinungu.
📌 Mradi wa Ipumbulya, Mwanshoma, Nguvumoja, Imenya, Lugubu, Mgazi, Chagana na Itumba.
2. Uchimbaji wa Visima vya Maji (Mradi wa Visima 900 maarufu Visima vya Mama Samia)
📌 Kityelo (Itumba), Nguvumoja, Mgazi (Lugubu), Imenya (Lugubu), Ibole (Igurubi) Kining'inila, Mwajilunga (Kinungu), Mwajinjama (Mtungulu), Chagana (Lugubu) na Isakamaliwa.
3. Vyanzo mbadala vya Fedha za kugharamia Miradi ya Maji Nchini.